Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ilikua zamani sana labda ni google sources zingine, pia maeneo yanatofautiana. kuna maeneo yanatitia kuliko surface ya bahari especially mito yenye tope
Basi potezea hii maneno kwavile indicators zote ulizo-mention zinaonyesha hamna tofauti ya uimara wa madaraja haya mawili tena Tanzanite ni kubwa zaidi! halafu kingine kuna daraja la Kigongo Busisi la urefu 3.2 km na upana 28.45 m na barabara zake (6 lanes) za kuliunganisha zaidi ya 35 km litagharimu $300 mln yaani tofauti ya $41 mln na Kazungule bridge la urefu wa 923 m na upana 18.5 m! Yaani potezea hii maneno!


 
Hao wawekezaji kwa nini hawaji Tzn? Sasa kama Uganda ndio Wana deposits nyingi inakuaje Tzn yenye deposits kiduchu inajivuta vuta?
Kote wawekezaji wapo na wanaendelea na heka heka za uwekezaji, kila nchi Kuna changamoto zake, kila muwekezaji anazo changamoto zake.

Kwamfano tukianza na Tanzania, ili kuchimba chuma kunahitajika umeme mwingi na uwe na Bei ndogo Sana, kwasasa Tanzania umeme wetu ni ghali, hivyo, Kuna wazo kwamba watumie makaa ya mawe yanayopatikana kusini mwa Tanzania, au gesi ya mtwara, Sasa hiyo ni miradi ndani ya mradi mkuu, lazima kujipanga upya, pia Kuna swala la kusafirisha hicho chuma baada ya kuzalishwa hadi bandarini, reli ni muhimu na huko Liganga hakuna reli kwa Sasa.

Upande wa Uganda, Mambo ni Kama hayo, wanafikiria kutumia Bomba litakalojengwa la kusafirisha mafuta Yao ili nao waweze kuunganisha na Bomba la gesi toka Tanzania kabla hawajaanza kuchimba chuma, Machimbo ya chuma yanahitaji umeme mwingi Sana.
 
Basi potezea hii maneno kwavile indicators zote zilizo-mention zinaonyesha hamna tofauti ya uimara wa madaraja haya mawili tena Tanzanite ni kubwa zaidi! halafu kingine kuna daraja la Kigongo Busisi la urefu 3.2 km na upana 28 m na barabara zake (6 lanes) za kuliunganisha zaidi ya 35 km litagharimu $300 mln yaani tofauti ya $41 mln na Kazungule bridge la urefu wa 923 m na upana 18 m! Yaani potezea hii maneno!


Okay, huu ndio mchango wangu wa mwisho:
What are the advantages and disadvantages of a curved beam?

1645956756207.png
 
Sikatai, hata hapa Kenya kuna watu wako na magari maelfu lakini what's the situation of most people? Saa zingine tumia logic, wacha ushabiki. Most people in Tanzania don't own vehicles. There are entire villages in Tanzania without a single vehicle. Wanaomiliki magari mengi ni hao mabilionea akina Rostam - wengine majority hawana. Niko na asilimia 90 uhakika wewe mwenyewe unayepayuka hapa huna gari. Acheni ushabiki wa kijinga. In 2014, Tanzania had 7 vehicles per 1000 people - that translatec to less than 400,000 vehicles in the whole country. Saa hii nadhani labda mmefika 10 vehicles per 1000 people which translates to 600,000 vehicles in the whole country.
Mbona unalia mzee? Mwenye kujua idadi ya gari Tanzania ni blogger aliepo London au ni TRA iliopo Tanzania? 🤣🤣🤣🤣🤣

Relax carbon dioxide itoke 😂
Hata ufurame mpaka kesho huwezi kupinga hii data!

Screenshot_20220117-134516.png
 
Nmetumia lumion 5 pia na ukweli ilihemesha machine yangu sana HP CORE i7 4gb RAM 2gb nvidia. Atlantis sijuwahi tumia. ArchiCAD zote nko poa pia.
Naonelea nirudie hizi kazi bana. Architecture
i like this bro.. yani kumbe tuko wengi hapa, tot ni mimi tu kwenye hii nyanja ya uhandisi. itabidi urejelee hizi kazi atleast urefresh, isije ika evaporate....
enyewe nakumbuka ukisema hàpa eti ww ni alumni wa jkuat.... thts great men.! jkuat is the best campus when it's comes to matters engineering. cheers.! 🤜🏼🤛🏼
 
Kote wawekezaji wapo na wanaendelea na heka heka za uwekezaji, kila nchi Kuna changamoto zake, kila muwekezaji anazo changamoto zake.

Kwamfano tukianza na Tanzania, ili kuchimba chuma kunahitajika umeme mwingi na uwe na Bei ndogo Sana, kwasasa Tanzania umeme wetu ni ghali, hivyo, Kuna wazo kwamba watumie makaa ya mawe yanayopatikana kusini mwa Tanzania, au gesi ya mtwara, Sasa hiyo ni miradi ndani ya mradi mkuu, lazima kujipanga upya, pia Kuna swala la kusafirisha hicho chuma baada ya kuzalishwa hadi bandarini, reli ni muhimu na huko Liganga hakuna reli kwa Sasa.

Upande wa Uganda, Mambo ni Kama hayo, wanafikiria kutumia Bomba litakalojengwa la kusafirisha mafuta Yao ili nao waweze kuunganisha na Bomba la gesi toka Tanzania kabla hawajaanza kuchimba chuma, Machimbo ya chuma yanahitaji umeme mwingi Sana.
Leta sababu nyingine za kisera nk,ishu ya umeme wa uhakika na nafuu ya bei Tzn tuko vizuri kuliko Uganda.
 
Unanunua token na mpesa 2009? Tanzania kipindi hicho unanunua token kwenye ATM Yaani mpesa tulishatoka huko
Sasa hivi ni ukinunua token tu kwenye app yoyote tayari umeme unawaka instantly bila kuin token kwenye meter

Unaona sasa mlivyo nyuma?
naona kachanganya mada hakuelewa kiswahili vzr alijua kununua token kama za kawaida hzi tunazonunua 😂😂😂😂 kumbe hajui hata smart meters inafanya kazi vipi

ni yule yule mjuaji wa kila kitu alaf kichwani kuna sufuria limejaa mavi ya nguruwe 😃😃
 
Huyo kondoo sidhani hata kama ameleewa hiyo tweet

Naona katag kondoo wenzake!
ndio hicho nilichosema sasa hvi 😃😃👇👇 mjuaji wa kila kitu
naona kachanganya mada hakuelewa kiswahili vzr alijua kununua token kama za kawaida hzi tunazonunua 😂😂😂😂 kumbe hajui hata smart meters inafanya kazi vipi

ni yule yule mjuaji wa kila kitu alaf kichwani kuna sufuria limejaa mavi ya nguruwe 😃😃
 
Leta sababu nyingine za kisera nk,ishu ya umeme wa uhakika na nafuu ya bei Tzn tuko vizuri kuliko Uganda.
Huwezi kuchimba chuma kwa kutumia umeme wa $10cent na zaidi, hicho chuma kitakua ghali na hakiwezi kununulika, Marekani na China, umeme ni chini ya $1cent per unit, na nchi nyingi zinazozalisha chuma hapa duniani. Bei ya umeme na kutokuwepo kwa reli za uhahika, ndio sababu kuu za Nchi za Afrika kushindwa kuchimba chuma na madini mengine yenye uzito mkubwa.
 
Huwezi kuchimba chuma kwa kutumia umeme wa $10cent na zaidi, hicho chuma kitakua ghali na hakiwezi kununulika, Marekani na China, umeme ni chini ya $1cent per unit, na nchi nyingi zinazozalisha chuma hapa duniani. Bei ya umeme na kutokuwepo kwa reli za uhahika, ndio sababu kuu za Nchi za Afrika kushindwa kuchimba chuma na madini mengine yenye uzito mkubwa.
Huko Uganda wanachimba na kufanya smelting kwa bei gani ya umeme?

Hili jambo si ni dogo tuu, investor unamuuzia bei ya kumuwezesha kufanya Kazi.
 
Huko Uganda wanachimba na kufanya smelting kwa bei gani ya umeme?

Hili jambo si ni dogo tuu, investor unamuuzia bei ya kumuwezesha kufanya Kazi.
Hakuna nchi yoyote hapa Africa ukiacha South Africa yenye kuchimba chuma na kukiyeyusha katika kiwango cha nchi, huko Uganda Kama wanafanya ni wawekezaji wadogo wadogo ambao sio kiwango kikubwa wa mradi Kama wa Liganga - Mchuchuma, Kama unazungumzia wachimbaji wadogo wadogo, hata kule Liganga wapo wachina wengi tu wanachimba chuma
 
Back
Top Bottom