Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yani ata wee mtumzima ukitumia hilo tuu lako vizuri, ni stadium gani hapa inakaa vizuri zaidi.!??
na ujue kwamba yote inabeba spectators sawa 60,000.!

ni hili View attachment 2131681View attachment 2131678View attachment 2131677


ama hili View attachment 2131682View attachment 2131679View attachment 2131680
Ebu kuwa na akili kaka,hapa East and central Africa hakuna stadium imekaa sexy kama hapa 👇👇
Kenya itawachukua miaka mingi sana labda mkakope tena au mumpigie magoti mchina aweze kuwasaidia

images (9)(1).jpeg


DSC_0037(1).jpg


images (10)(1).jpeg
 
Wewe fala,sijaweka pics ya Accra nimeweka pics za Abdjan na nilikuwa najibu kenge mwenzio aliyesema miji ya west hakuna inaizidi Dar..

Sasa hapo na Dar wapi kuna slums? Hao wanaweka hizo interchange ku enforce efficient transport na sio kujiskia au kusubiria jam kama Tzn.

Pia Wana Uchumi wa kufanya hivyo,Tzn haupo.
Uwe unaacha matusi yasiyo na maana, unaonyesha udhaifu kwa hilo. Na si wewe tu yeyote anayetukana matusi hafai kuchangia mada
 
So comment hii ndiyo inaondoa ukweli kwamba Dar ni mji pekee EA kuwa na electric SGR? 3level interchange? BRT? Modern bus terminals? Modern Airport?

Je unataka Nairobi iizidi Dar kinguvu au? Narudia kukukumbusha mana mwenzio NairobiWalker jana alikasirika alipoambiwa hakuna infrastructure ipo Nairobi ikakosa Dar ila kuna infrastructures zipo Dar huwezi kuziona East and Central Africa
Moderm stadium umesahau
 
yani ata wee mtumzima ukitumia hilo tuu lako vizuri, ni stadium gani hapa inakaa vizuri zaidi.!??
na ujue kwamba yote inabeba spectators sawa 60,000.!

ni hili View attachment 2131681View attachment 2131678View attachment 2131677


ama hili View attachment 2131682View attachment 2131679View attachment 2131680
Wakenya kumbe mna uzalendo sn yn licha ya kuona kitu umeshindwa vby lkn bado unapambana na Kasarani yako iliyochoka a.k.a stadium ya WWI (first world war)

Ila watz mik.un.du kazi yao ni kuponda nchi yao na kusema bora wangezaliwa mbwa ulaya, wapo humu kumamae zao, yn ukweli wanaujua lkn ukosefu wa elimu bora unafanya wadharau Chao, hapa ndipo ninapoona ubora wa elimu ya Kenya dhidi ya elimu ya Tz, yn Tz mtu akisema tu this is.... Wasenge wa kayumba wanaanza kuogopa, mnaweza kuona humu wasenge wanavyoikosea heshima nchi yao wazi wazi, hii inatokana na ukosefu wa elimu bora inayofanya mtu kuwa reasoning zenye akili, eti mtu anasema kabisa Ghana iko mbele ya Tz, huu c ushoga huu.
 
Daaa wazee kama hii ndo Accra ya Ghana nnayoisikiaga basi hamna kitu, sasa hii si Makumbusho tuu jamani. Nna wasiwasi na data za GDP za Tz, hawa wazee wa takwimu wanahitaji kufumuliwa.
GDP ya Tz mimi sina shaka nayo najua ni GDP kubwa kabisa hapa EA shida ilianzia kwa Mkapa mpaka JK serikali ilikuwa ina suppress GDP figures ili kuendelea kunufaika na economic agreements za USA, EU na mataifa mengine Tajiri duniani kitu ambacho kwa mtazamo wangu ni upuuzi kabisa na zilikuwa fikra mgando za viongozi wetu hata juzi kuingia LMIC si jitihada za serikali bali IMF na WB waliforce maana sisi tulishajiwekea mpaka 2025 ndio tutoboe kwenye LMIC
 
Kwann unaona kariakoo ni big deal sana
Because alot of money change hands daily involving people from several east and southern african countries ( Burundi, Rwanda, RDC, Zambia, malawi, mozambique, Zimbabwe Uganda etc so it is a very big business district in the entire Eastern African region.
 
hapa kidogo waGhana walichezwo, eti hii pukwase interchange ili gharimu dalla $1b ilhali nairobi expressway dalla $0.6b

yani hiiView attachment 2131637

vs hii

View attachment 2131638
and note; nbi xpresswy ina stretch 27km, pukwase 1km only.!?
Ndio njia ya Mchina hiyo kupiga hela from sleepy African leaders. Interchange sehemu ambayo haitajiki.
 
Nimeona mtu akipost humu eti Tanzania wanazindua kununua tokens next year akiuliza Kenya tutafika link. 🤣🤣🤣
MK254 dyfre KANAIRO tuwaambie ukweli?🤣🤣

Sikujua wako nyuma hivi. Nimenunua tokens na MPESA tangu 2010.


Unanunua token na mpesa 2009? Tanzania kipindi hicho unanunua token kwenye ATM Yaani mpesa tulishatoka huko
Sasa hivi ni ukinunua token tu kwenye app yoyote tayari umeme unawaka instantly bila kuin token kwenye meter

Unaona sasa mlivyo nyuma?
 
Back
Top Bottom