Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya ni chawa wa USA kama sio mbona USA ilivyoionea Venezuela kisa kusapotiwa na Rusia hamkufungua hilo bakuli lenu, leo hii USA anamsapoti Ukraine mnajifanya kucharuka kama mlupo aliefika kileleni
Wakenya wako brainwashed kiasi kwamba wao wenyewe hawajui ka wanamawazo ya kitumwa yaani wanaona wazungu ka miungu vile... Full kupapatika ka kiuno cha mzaramo
 
Magufuli bus terminal 🇹🇿🇹🇿🔥ni kama airport ya JKIA.View attachment 2132532

Magufuli_bus_terminal.png

Ngoja niikuze.
 
kwani tanganyija kuna nn cha ajabu nchi maskini kama hio, an LDC country. mjaluo atatafuta nini huko, ilhali hela zenu hazina dhamana. sisi kenya tuko na kila kila kitu. hela tunazo

yani this alone
View attachment 2132373is even > thanView attachment 2132374
Nimeon wajinga kenya ila huu ujinga wako usipo uangalia utakuw chizi, kangalie pia currency yenu na south korea kisha endelea kuvimba na ujinga , iyo pesa yenu inamana gani kuwa na dhaman na haipa high parchesing power compare to Tsh?..akili ndogo bhna
 
kwani tanganyija kuna nn cha ajabu nchi maskini kama hio, an LDC country. mjaluo atatafuta nini huko, ilhali hela zenu hazina dhamana. sisi kenya tuko na kila kila kitu. hela tunazo

yani this alone
View attachment 2132373is even > thanView attachment 2132374
Ata kwacha ya zambia ni kubwa sana kuliko Tsh lakini huyo huyo zambia haingizi ata pua kwetu kwenye kila kitu.
Ebu angalia hapa pesa ya ghana ni kubwa mara 8 kwa naira.Ghana wana pesa kubwa kuliko Nigeria lakini ghana huyo huyo hamfkii nigeria kwenye kila nyanja.Kwahiyo uache ushamba ushakuwa mtu mzima now,usi-act kama class 6

S20227-085046.jpg
 
In my view kuna mambo mawili yanayonifanya niamini kua kazungula lina nguzo imara kuliko tanzanite na baadhi ya vitu vilivyochangia hiyo bei kuongezeka.
1. Watumiaji wakubwa ni magari ya mizigo
2. Wana tuta la reli
tuthibitishie kwa maelezo yakitaalam kuhusu uimara na ubora wa nguzo baina ya kazungula na tanzanite,umetumia vigezo gani vya kitaalam?

1.je ni kiasi gani cha cement kilichotumika tanzanite na kazungula?

2.je kila nguzo imeingia mita kuelekea chini ya ardhi baina ya Tanzanite na kazungula?

3.je tanzanite na kazungula zimetumia teknolojia gani ya ujenzi?

4.tanzanite na kazungula zimetumia m/km ngapi kutoka upande mmoja kwenda mwingine?,je kati ya daraja fupi na refu kiutaalam ni daraja lipi lapaswa kutazamwa zaidi kwa upande wa ubora na uimara wa nguzo punde ujenzi unapofanyika?

UACHE KUROPOKA

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Usilinganishe Nyeri na vitu za kipuzi.
Ndio hii Musoma tunayoongelea.


Musoma_Aerial_View.jpg


Hii ni kitu ya kulinganisha na Nyeri? . Hata Wote inachapa hii ten nill.
Nyeri ipi hiyo unayoiongelea ni ile ambayo middle class live in bedsitters za grain silo ama kuna nyeri nyingine?
 
What's making you so angry.......You tanzanians never argue with facts but emotions. You console yourselves here because 99.9% of tanzanians make up the membership over here.You even oppose your own government reports over here that some of the sober tanzanians pose to you.....then you expect us to take your arguments serious...Holy crap
Can you please respond to my question please, which influence?, Please stop crying about percentage of Tanzanians over here, JF is a Tanzanian forum, expect majority to be Tanzanians.
 
Back
Top Bottom