Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakunya hujitapa kwamba kijana wao ndio kavumbua mpesa 😂😂😂

Naomba watuletee huyo kijana tumkague hali yake kwa sasa

Mimi acha nimuweke huyu kijana mdogo wa kitanzania anaemiliki company kubwa ya software huko Dubai

 
Serikali kupitia wizara ya utalii imtumie (waingie nae mkataba) huyu kijana kuvuta watalii kuja Tanzania.
Kwenye videos zake awe anaandika maneno ya visit Tanzania.

Nimeona Instagram anapata hadi views milioni 70 kwa video moja...kukiwa na maana ndo Mtanzania anayepata views wengi Instagram.

Kule tiktok ndo balaa yaani anapiga views sio mchezo.

Yaani hadi PM wa India anamtambua.

 
@dyfre
Tony254
Is this not the country ranked 6th richest in Africa?
wacha nyege baridi. kenya still consistently No.6 as per worldbank and imf.. si u knw journalist are in business, anybody can write anythng, whts important here, is the rankings by trusted and reliable sources like imf. period.!
 
wacha nyege baridi. kenya still consistently No.6 as per worldbank and imf.. si u knw journalist are in business, anybody can write anythng, whts important here, is the rankings by trusted and reliable sources like imf. period.!
Hahahaha, mbona unakasirika?, Nimekuuliza swali, unapaswa kunijibu, how comes bigger economy with poorest citizens?
 
Kuna idadi kubwa sana ya watu wanao miliki magari zaidi matatu Tanzania na Dsm ndio usiseme kama ilivyo kwa Per Capita GDP ndivyo hata kwenye magari not necessary kua kila mtu ana miliki gari.But in my Opinion Africa haipaswi kusifiwa kwa magari ya kuagizwa tujisifu kwa vitu vinavyosaidia kupunguza utegemezi wa nje ya Africa
Na kuna idadi kubwa Zaidi ambao hawajawai na hawatawai miliki gari. Unaelewa?
 
210F2D7B-A24E-4C40-A7C6-5035D3536D0E.jpeg
 
saving means nothing.......Tumia pesa ikuzoee.....as usual a coward will save instead of using his brain to invest
Hakuna kinachoingia uta save nini acha kujitoa ufahamu bure na hata kama kuna kinachoingia rate ya kutoka ni kubwa na hapo ndipo hesabu ya GDP inapofunikwa na PPP. Hesabu hizi tunawafundisha kila siku humu lakini mmengangania GDP GDP tuu sijui aliyewaloga kafa au?
 
Back
Top Bottom