Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FB_IMG_1645963521747.jpg
 
Hahahaha, mbona unakasirika?, Nimekuuliza swali, unapaswa kunijibu, how comes bigger economy with poorest citizens?
lakini wamesema worst than zimbabwe only, and not tanzania or any other country... note; even england is poorer than germany. alafu.!?
 
It is pretty easy to foresee how Dodoma city will be if u look at this city i Botswana and its dry climate and soil type!
 
Kumbe wewe umetokea kwa wale washamba ambao mzungu akiwaulizwa bei ya banana wanajibu "Hazijabanana, unghali mwemwe"
mwewe😂haina shida bora uhai! Napepea nikichapa ruti hapo dar kwenye uswazi yenu kujionea bure!Kweli nani kapanga mji wenu darislum kituko! Mpaka imeharibu sura ya BRT yenu,kapitia pabaya😢
 
Ni kweli kabsa lakini vyoo vyao ni kama haya mabanda yenu mnayo laliaga hapo Kenya.

Ila kenya mna shida sana mnalala kwenye nyumba kama hizi? Ata mbwa wa tz anawazidi maisha maana huku sikuhizi mbwa anajengewa nyumba kabsa ya matofali na kuezekwa kwa mabati kabisa

This is kenya,
Vipi umekumbuka lakini kuziba bati lako ili mvua isikunyeshee tena?👇👇

View attachment 2132567
😂si vyoo vyao pia kama Stage zenu za BRT au sio bratha😢na vyoo vingine vibovu ndio munaviitaga uswazi💩
 
Hakuna nchi yoyote hapa Africa ukiacha South Africa yenye kuchimba chuma na kukiyeyusha katika kiwango cha nchi, huko Uganda Kama wanafanya ni wawekezaji wadogo wadogo ambao sio kiwango kikubwa wa mradi Kama wa Liganga - Mchuchuma, Kama unazungumzia wachimbaji wadogo wadogo, hata kule Liganga wapo wachina wengi tu wanachimba chuma
Aisee watu ni wabishi,Kazi ya kuchimba na kuyeyusha kwani inafanywa na Nchi au watu wawekezaji binafsi?

Nani anaechimba chuma Liganga ambae ni mwekezaji mdogo?

Hapo Uganda zimewekezwa $200 mil.sawa na bil.500 zaTzn,hii ni pesa ndogo?

Acha visingizio kuna shida somewhere.
 
mukuru,kibra etc,visehemu vidogo😕 lakini ebu zoom picha utadhani uswazi ya darislum from left to right😢😢😢
Utitiri wa slums uliopo Kenya ndio unafanya wakenya wengi waishi kwenye slums, Huwezi kuniambia kuna idadi kubwa ya watu Karen (japo nayo ina slums), runda, west etc sababu huko kuna idadi ndogo sana ya watu kutokana na kuwa na nyumba chache ndani ya mapori makubwa tofauti na kwenye slums eneo dogo watu shazi
 
Utitiri wa slums uliopo Kenya ndio unafanya wakenya wengi waishi kwenye slums, Huwezi kuniambia kuna idadi kubwa ya watu Karen (japo nayo ina slums), runda, west etc sababu huko kuna idadi ndogo sana ya watu kutokana na kuwa na nyumba chache ndani ya mapori makubwa tofauti na kwenye slums eneo dogo watu shazi
 
View attachment 2132765
Westlands hii toa hizo tower alafu leta hapa uone inavyolazwa chali na westUpanga onlyView attachment 2132769.. we jamaa umewahi kufika Dar.? au unaishia kuiona kwenye picha tu.? East upanga je.? View attachment 2132774hivi unajua ni gorofa ndefu kiasi gani zipo Upanga alone.?
I always say dar is a slum compared to the mighty Nairobi... now some guys want to compare the entire Westland's to tiny Upanga .... without knowing Westland's is a big district with some subdistrict not only it's cbd.

Westlands CBD
Screenshot_20220227-153927.jpg
 
Back
Top Bottom