Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe Putin aliwahi kuishi Tanzania View attachment 2131084
Yeah! Ila hakuishi sema alikuja kupambana kumuondoa mbepari ili waweke ukomunist Africa.

Hiyo ni sababu kubwa sana kwanini tanzania mpka sasa uwa haziivi na America au Britain,kwa sababu alikuwa anafadhili sana shughuli za kijamaa Africa ata hiyo GDP yenyewe uwa tunannyimwa makusudi kabsa kwa sababu IMF ni mali ya mmarekani
 
I believe it's 100% of Dar. Nionyeshe mtaa Dar uliopangika kuliko Langata.
Watoe wapi? Hizi ndo zao
Screenshot_20210523-235214~2.png
141555035-aerial-view-of-the-temeke-area-in-dar-es-salaam.jpg
 
Mchina asifiwe 😂😂😂😂

Ninyi mnamiliki matako tu hapo 🙂
All those units are for sale and it's Kenyans who are buying them. Nyumbu zote ziko na watu ndani hapo ndani are owned by Kenyans. Zoea maisha ya dreamhouse nanii
 
Tuongee kwa facts acha kupiga domo kama wakenya wenzako,me nafikiri wewe utakuwa open minded kuliko hao wakazi wa mathare,haya leta point sasa mzee baba
Niambie nini hicho kipo Mwanza ambacho hakipo Mombasa niondoke huu uzi?
 
Kuna vitu Mwanza vipo ila mombasa havipo lakini hakuna kitu ambacho mombasa kipo halafu mwanza kisiwepo,so mwanza ni habari nyingine ngoja miradi ikamilike utajua hujui
mwambie kwanza akuoneshe modern street kama hzi hapo mombasa akijibu tu nitag 🤣
na umkumbushe kua hzi ni streets na sio main roads 👇👇👇👇





 
😂😂😂 Acha kutoa maboko we jamaa hiyo interchange pekee inakuonyesha how poor is Accra 👇. Angalia makazi ya watu hapo chiniView attachment 2130861.. the best of Accra 👇View attachment 2130866sasa hizo pesa unaizingumzia, zinatengenezwa kupitia nini.? Because what I see down there is poverty, extreme poverty.. unaongea kama chizi vile.? Heb wacha kututia aibu
Haya, yalinganishe na hizi dreamhouses za Dar.🤣🤣




1.png
 
Kuna vitu Mwanza vipo ila mombasa havipo lakini hakuna kitu ambacho mombasa kipo halafu mwanza kisiwepo,so mwanza ni habari nyingine ngoja miradi ikamilike utajua hujui
mwambie akuoneshe modern bus terminal kama hii mombasa na atimize ahadi yake 🤣🤣🤣👇👇👇👇


Niambie nini hicho kipo Mwanza ambacho hakipo Mombasa niondoke huu uzi?
 
Back
Top Bottom