Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu upuzi sijui nani aliwafunza kila Mtanzania ignorant anashinda akiukariri.
Hapa ni mombasa kenya,halafu unataka upalinganishe na mwanza una akili kweli bro?

S20225-224633.jpg


S20225-224550.jpg


S20225-224521.jpg
 
Kwahyo kupitiaiyo picha umeshaona izo shughuli za kiuchumi?
Kwanza unajua hawa jamaa ndio top exporter wa gold Africa?...Do you take a time to read why Ghana is ahead of Tz in both GDP and GDP per capita?hata iyo per capita wanazidi Kenya
Haya ndiyo madhara ya mzee wako kuuza ng'ombe ili kusomesha ng'ombe[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Leta stat otherwise ww unajionyesha ulivyo huna akili.Unatetea hadi vitu viko wazi kabisa sasa labda uniambie Accra mnawazidi nn mm nimeshasema wanatuzidi utajiri na huwezi bisha kwa facts sanasana utatukana tu
Mzee wako kauza ng'ombe ili akusomeshe kumbe kauza ng'ombe na kusomesha ng'ombe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe jamaa unakuwaga kama hujaenda shule,

Unakuwaga kama vile hujaenda shule kbsa.
Hiyo orodha kaiandaa raia wa Ghana,halafu unategemea aitoe nchi yake kwenye list? Hakuna kitu kama hicho accra itabaki kuwa level za Arusha imeisha hiyo.... Huyu jamaa mama yake ni mghana halafu baba mnigeria (Igbo)[emoji116][emoji116]

View attachment 2130744
Wakati mwingine muwaachege na upumbavu wao.
 
Mnadhani Accra ni Ovyo......why are tanzanians extremely ignorant lakini...smh.
Mnadhani ni nyinyi tu ndio mnaendelea.......View attachment 2130766
tuusan Accra c ndiyo hii [emoji3516][emoji3516][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwehu kweli wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mall ya kisasa_Rock city mall-Hii mall inakimbizana na mall za nairobi.

Bus terminal_nyamhongolo bus terminal -hii ata hiyo mnayoita eti airport hapo mombasa haiigizi ata pua

Nimetaja kwa uchache sana
Hehehehe. Uko na shida ya akili bradhee

Rock City Mall
1.png


Vs
City Mall

1.jpg


Nyali Center
nyali-centre-kenya-1.jpg


Likoni Mall

 
Hizi hizi nyumba zikajengwa Dar jinsi zilivyo mtashinda humu mkizipost. Lakini kwa vile ziko kwengine mnazidharau. Typical Tanzanians. [emoji706][emoji706]
Tz kuna nyumba siyo mchezo ndiyo maana ni ngumu kwa mkenya yoyote kuonyesha slum dar kwa sababu maeneo yasiyo pangiliwa yananyumba kali sana nyumba mbaya na mbovu ni zakuhesabu ,sema serikali pumbavuu ya ccm ndiyo inayo tukwamisha kupangilia makaazi ya watu ni ndoto hata maeneo wanayo sema wamepangilia ukiyatazama kwa juu utashangaa barabara zimepinda p8nda kama minyoo aipo 90⁰ ,kama nilivyo sema kiundwe chombo cha mipango miji chenye mamlaka makubwa na ujuzi siyo hawa makada wa chama cha mapunduzi wanaojihita wasomi na kujipa majukumu wasiyo yaweza wala kuyajua
 
Back
Top Bottom