Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gotham city šŸ˜
FB_IMG_1645810727436.jpg
 
Nilidhani hii wakulungwa walisema ni concentration ya Private Wealth. Ndio maana hawana hata hela za mafuta kuendeshea mabasi kwa ajili ya Public ambao ni wengi pamoja na kulipa madereva.
Unaweza kua na point,wanaweza kua na failure zao ila hela wametuzidi...tatizo watz humu ndani hawataki kusikia icho kitu
 
ishu ya
  • GDP ya Kenya hasa ukicompare ya Morocco na development zake hazina uhusiano
  • Uwepo wa slums or unplanned settlement
  • Uwepo wa njaa nchini Kenya (lack of foods)
  • Mazingira machafu barabaran
  • Ukosefu wa social services infrastructure like Stands, Markets

hiv vyote vinanipa wasiwasi kuhusu GDP ya Kenya, yan hakuna uhusiano wowote wa GDP yao na maisha yao yalivyo.. full kuungaunga
Heri kwetu Tanzania kuna maendeleo flan hiv yanaonekana
FB_IMG_1645417504630.jpg
 
Kuna kipindi Magufuli alipokuwa waziri wa ardhi alikuja na hiyo plan ya kuwahamisha wakazi wa hayo maeneo ya Mwanza ili maeneo hayo yajengwe makazi na miundombinu ya kisasa ili kutunza mazingira lakini Mkwere aliogopa kukosa kura kwenye uchaguzi wa 2010 hivyo hiyo plan ikatupwa chini. Magufuli was naturally a visionary leader.

Hata Dar es Salaam viongozi wetu na wataalamu wa wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wanatakiwa kufanya maamuzi magumu ya kuja na plan ya kumodernize maeneo makazi ambayo yanalipa jiji taswira ambayo si nzuri. Hzi habari za uoga wa kijinga wa kisiasa ndizo zinatufanya kuacha watu kujenga holela halafu huko mbele itavi-cost vizazi vyetu kutumia nguvu kubwa sana kurekebisha makasa ya miaka mingi nyuma.
Yaani kuna muda lazima tufike wakati nchi hii tukubali ukweli tu.Viongozi wa nchi hii sijui uwa wanafanya nini serikalini? Ebu jiulize yaani mtu mpaka anafikia anajenga nyumba ambayo haitajiki kujengwa kwa maeneo ya mijini maafisa mipango mji uwa wapo wapi? Sasa kuwaondoa watu kama hao ni gharama kubwa sana.
Me nafikiri inahitajika tupate vijana wapya wenye damu ya kufanya kazi hasa idara ya mipango miji ili baada ya miaka 20 mbele tuwe na taifa lililojengwa na kupangwa kama nchi za Ulaya au Asia,tukijisahau tutakuwa na taifa la ovyo kama kenya
 
Back
Top Bottom