The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Hataki ukweliHuu upuzi sijui nani aliwafunza kila Mtanzania ignorant anashinda akiukariri.








Hataki ukweliHuu upuzi sijui nani aliwafunza kila Mtanzania ignorant anashinda akiukariri.








Vile unakuanga punguani nilijua ulitandikwa na njaa utotoni. Inaitwa malnutrition na husababisha akili ya mtoto kutodevelop vizuri na mtoto akawa punguani.🤣🤣Ona alivyopagawa, njaa ya nchi anafananisha na njaa ya darasani ambayo hata cc ilitupata![]()
Maafisa mipango miji ni makada wa chama cha mapinguzi wamejaa upumbavu toka utosini hadi makalioni , serikali inatakiwa kuokoa cement inayo kwenda kujenga slum na nyumba mbovu zisizo faa kwa binadamu kwa kuanzisha soft ware app itakayo tumika na kila mtz atakapo kuwa anataka kujenga na kununua viwanja ,Yaani kuna muda lazima tufike wakati nchi hii tukubali ukweli tu.Viongozi wa nchi hii sijui uwa wanafanya nini serikalini? Ebu jiulize yaani mtu mpaka anafikia anajenga nyumba ambayo haitajiki kujengwa kwa maeneo ya mijini maafisa mipango mji uwa wapo wapi? Sasa kuwaondoa watu kama hao ni gharama kubwa sana.
Me nafikiri inahitajika tupate vijana wapya wenye damu ya kufanya kazi hasa idara ya mipango miji ili baada ya miaka 20 mbele tuwe na taifa lililojengwa na kupangwa kama nchi za Ulaya au Asia,tukijisahau tutakuwa na taifa la ovyo kama kenya
Huyu c alisema hanijibu huyu oneni ss nimepiga mshono kaitika mwenyeweVile unakuanga punguani nilijua ulitandikwa na njaa utotoni. Inaitwa malnutrition na husababisha akili ya mtoto kutodevelop vizuri na mtoto akawa punguani.![]()








Aoneshe stand ya bus tuu ya Mombasa imekaaje tuone. Akirudi ni tag na mimi piamwambie kwanza akuoneshe modern street kama hzi hapo mombasa akijibu tu nitag
na umkumbushe kua hzi ni streets na sio main roads

If I recall correctly, Rock City mall was designed by a Kenyan architecture firm just like the parliament in Dodoma
Hehehehe. Uko na shida ya akili bradhee
Rock City Mall
View attachment 2131299
Vs
City Mall
View attachment 2131301
Nyali Center
View attachment 2131302
Likoni Mall
Sasa nikikup Arusha unakataa niniWe jamaa ni kituko,kwa hiyo hapo panaweza fanana na Jiji la Abidjan?
View attachment 2131167
View attachment 2131170
View attachment 2131171
View attachment 2131172
View attachment 2131173


hawa ni watot wa baba moja wanaelewan tu vyemaaTuonyesh kwa ground izo 38 bill ziko wapiiii...naona wamejeng amnaaa



Sasa tuonyeshe kuwa wametuzid ukianza n kamji kao hao...nilete km kana karibia hapa, biashara inayo fanyik hapa ...wacheni michezoooUnaweza kua na point,wanaweza kua na failure zao ila hela wametuzidi...tatizo watz humu ndani hawataki kusikia icho kitu
Kwanza siwalikuw chini yetu juzii tuu, bada ya kukoopaaa na kulamba miguu beberuuu eti wametudi...sasa ngoja takwim zijazo nasisi sahiii nimwendo wa mtukuze beberu ...tutajua nani ni naniUnaweza kua na point,wanaweza kua na failure zao ila hela wametuzidi...tatizo watz humu ndani hawataki kusikia icho kitu
toyota assembling plant, mombasaniKuna vitu Mwanza vipo ila mombasa havipo lakini hakuna kitu ambacho mombasa kipo halafu mwanza kisiwepo,so mwanza ni habari nyingine ngoja miradi ikamilike utajua hujui
sasa mwanza nnn kwa mombasani jameni.?Kuna vitu Mwanza vipo ila mombasa havipo lakini hakuna kitu ambacho mombasa kipo halafu mwanza kisiwepo,so mwanza ni habari nyingine ngoja miradi ikamilike utajua hujui
Wewe ni mjinga,ni board member wa AGRA na Kazi yao ni ku support wajasiamali wa kilimo,ndio hao wamama na wengine wako kwenye agro processing.
Kilimo kwanza kwa vitendo inaendelea.


Wewe jamaa unakuwa kama vile hujui kusoma kwa sasa rock city mall ni no 5 kwa hapa bongo,hiyo ni report ya 2016 now kuna malls zinajengwa na zishajengwa kila mahali ndani ya nchi hiihadi nimecheka yangu yote.. 😆😆😆
kumbe tanganyika hakuna shopping malls.. 🤔🤔🤔 !!??.
mzuri kujua hivyo leo
View attachment 2131379
Utafiti unaonyesha 94% of Nairobians are tenants na 4 out of 10 can't afford rent 😂😂😂😂😂😂All those units are for sale and it's Kenyans who are buying them. Nyumbu zote ziko na watu ndani hapo ndani are owned by Kenyans. Zoea maisha ya dreamhouse nanii
Useless dying monkey..Kilimo kwanza madness again
That dude has been a president for atleast 10 good years,
Najua unajua Tz ni Nchi ya Kilimo,
Najua unajua the potential behind kilimo
Najua unajua tukiwa serious na Kilimo tutafika wapi kama taifa,
Najua unajua tukipata uwekezaji wa $2b kwenye Kilimo direct tutafanya mapinduzi makubwa tutalisha Africa nzima
Now tell me, what did that guy do in agriculture during his 10 years as a president..
Halafu leo amestaafu wapumbavu kama wewe thinks he can make impact in Agriculture
Ningekuona wa maana ungemleta hata kayanza Pinda kwenye mambo ya Kilimo, sio hao wavivu.