chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Huyo jamaa hajawahi kupata akili, yeye na huyu the Sunk blah blah dumbass ni vihio Promax humu
Huyo jamaa hajawahi kupata akili, yeye na huyu the Sunk blah blah dumbass ni vihio Promax humu
Sijawahi,wewe ndio umewahiUshawahi kufika Dar.?
SijawahiUshawahi kufika Dar.?
Mmh wakati huo alikua na miaka 20Kumbe Putin aliwahi kuishi Tanzania View attachment 2131084
Ww sikuzote ni mafiiii....nilete tuu sehem imekaa ivi nifunge acc...zege wwAchana na hao wajinga, ukweli unauma ila ndio hivyo..
Dar inachozidi Miji ya West labda population napo Abdjan imezidi Dar kwa kila kitu.
Mchina asifiwe 😂😂😂😂
Hapo kuna sehemu inaitwa Jamestown kuna slum inaitwa Sodom and Gomora! BTW hawa Ghana wanafanana na Kunyaland kwenye kukopa na madeni!Port ya Accra inayosemekana imeiacha Dar solemba 🤣🤣🤣🤣
Yaani huu mji unazidi Nairobi tu kwa uzuri lakini kwa Dar mtakua mnagongwa si bure 😂😂😂😂
View attachment 2131095
View attachment 2131096
View attachment 2131097
Apooo mkuuu usiguse deni lao la taifaa...niushuzi njee ndaniiRICH Ila hawana hela ya mafuta na ya kuendesha BRT yao ?, Dar toka ianze haijawahi simamisha huduma pamoja na changmoto zote. Mpaka hapo hatufanani😎
View attachment 2130950
Hii ndio GDP kubwa..another one. please The best 007 anzakuesabu kuanzia leo maana ya gdp kubwa. wacha tuanze na hii hapa leo
yani tutawazidi kwenye kila takwimu
View attachment 2131076
Na mzungu ukishamnogesha kwenye biashara yake ya mikopo anakupa bonus ya kupanua GDP yako ili ukope zaidi 😂😂😂😂😂Hapo kuna sehemu inaitwa Jamestown kuna slum inaitwa Sodom and Gomora! BTW hawa Ghana wanafanana na Kunyaland kwenye kukopa na madeni!