Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua Accra ni rich kuliko dar?iyo inamaanisha nn?
RICH Ila hawana hela ya mafuta na ya kuendesha BRT yao ?, Dar toka ianze haijawahi simamisha huduma pamoja na changmoto zote. Mpaka hapo hatufanani😎

Screen Shot 2022-02-25 at 17.58.25.png
 
Ila leo nimecheka humu , huyu tuusan sijui kama ni mzima sawa sawa, hiv kwaakili zako ka mtaa haka katakuwa kana shughuli za kiuchumi nyingi zinazozalisha kipato kingi zaidi kuliko Dar.? owky tufanye majengo marefu sio kigezo bas twende kwenye shughuli za kiuchumi tu.. wachana na vi article vya kuokota okota mpuuzi wewe..View attachment 2130846View attachment 2130850
Huo mji wa ghana hauna hata CBD hata wao wenyewe wa ghana wanasema kuwa mji wao bado sana hauna hata cbd ukubwa wa accra ni km²171 tu na unawatu mil1.8 to mil 2 tu
Magari yaliyopo accra hayafiki hata 12% ya magari yaliyopo dar
 
Huoni Takukuru wanafanya yao? Uliwahi kuona serikali ya awamu ya 5 imekamata mwizi hata mmja? You know why?

Maswali ya Kijinga hayo,kamuulize Waziri husika harafu tuambizane hizi pesa zilitolewa lini? Maana hakuna anaesema mwaka upi zilitolewa.
Singasinga aliye achiwa na mama unamjua ?
 
Back
Top Bottom