Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 592
- 1,698
Kaka hesabu hizi,ukichoka uniambie;Nyinyi malazy mna nini cha kusifia?
JNHP mafundi wapo site wanachapa kazi.
SGR na hii sio kama ile kerosene train ya pale kwenu,hii hamtowahi kumiliki.
Kigongo-busisi itakuwa longest bridge in east and central Africa apart from salender and kigamboni bridges in tz.
Ujenzi wa mji mpya wa dodoma-huu mji unajengwa kwa kuzingatia vigezo vyote vya kimataifa nahisi miaka 05 ijayo itakuwa inakimbizana na Nairobi.
Ujenzi wa BRT phase 3 ambayo pale kwenu ndio bado mnang'ang'ana nayo ata km 4 haifiki na
Nimetaja kwa uchache tu na uwa hatujisifu kama nyie kuanzia asubuhi mpaka jioni ni project moja tu yaani ata hamuoni aibu na shida zenu zimewajaa


