ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hebu fananisha maelezo yako sawa?🤣Sai upo chali
Mpka catholic church kitui wamewapiga bao
Nilikwambia kenya zipo ukaniona mimi zukaee
Geza UloleView attachment 2125871
hebu fananisha maelezo yako sawa?🤣Sai upo chali
Mpka catholic church kitui wamewapiga bao
Nilikwambia kenya zipo ukaniona mimi zukaee
Geza UloleView attachment 2125871
sio miaka mitatu tena? is Aga Khan private or government hopsital?
Agakhan wali aquire 2019, piga hesabu mzeesio miaka mitatu tena? is Aga Khan private or government hopsital?



Mpo hoiz chezea magoli ya mkono wewehebu fananisha maelezo yako sawa?


NSSF huku wanajenga majumba mzee wala sio barabara za public kw ajili ya toll
Kwani unadhani huku nssf hawana majumba?
Halfu Huku mifuko ya hifadhi za jamii ni mingi sio NSSF tu,
Kuna PPF, PSPF, LAPF nk, mind u all of them are public funds na
Hawa ndio wamiliki 90% ya majengo yote marefu na ya kisasa Tz
Huyu komora sijui kama anajielewa 😂😂 Angalia claim zake za mwanzo.. bro game over akamjibu tu vizur .. haya Angalia upuuzi alikuja kuongea tena 😂😂😂, wewe komora humu JF hakuna mtu size ya akili yako please kindly endelea kubishana na watu wa vijiweni kwenu uko failures wenzakoHahaha!!mzee mbona povu, huku mpaka makanisa wana majumba, vikundi vya wa mama pia wanamiliki..
Unafikiria huku kila kitu ni serekali au machothara
Oya mnafeli wapi wakunya sahizi hamna project nyingine mjisifie mbona kila saa ni haka kauchafu"Kimara yao ni kama Posta yetu" Baba LevoView attachment 2125699
Guess the ironyHuyu komora sijui kama anajielewaAngalia claim zake za mwanzo.. bro game over akamjibu tu vizur .. haya Angalia upuuzi alikuja kuongea tena
, wewe komora humu JF hakuna mtu size ya akili yako please kindly endelea kubishana na watu wa vijiweni kwenu uko failures wenzako


🤣🤣🤣🤣🤣 Hii bei kakupa nani?Bongolala, wacha kujisumbua na masuala ya Kenya na kushangilia keyboard warriors wa Twitter. Kenya 1kg ya sukari ni kati ya Ksh110 - Ksh120 depending with the brand. Hiyo ya ksh250 a kg labda ni kwenu Tanganyika View attachment 2125840View attachment 2125843
Sasa linganisha na hizi prices zenu then tell me ni wapi bei ipo juuView attachment 2125848
Tanganyika kilo moja ya sukari ni shilingi 150 za Kenya wakati mimi nanunua the same quantity at Ksh110 na bado unatoa povu. Si unaona ulivyo mjinga?
Kawaambie hivyo Wakunya wenzio sio mimi 😅😅😅😅😅hehehe.... tebu ona huyu.! as in, mm sasa of all the pple nihame kenya nikue mdanganyika. yani ni toke from an Emerging Market niende LDC. yani kwa uhandisi nilipwe hela za kidanganyika na sio dollar za kikenya.! yani niwache kuchana gomba na jaba, kiongozi wangu akue nyabo na sio ssebo .. yani mji wangu mkuu uwe dar na sio nairobi.!? kenya sihami, less ntakua punguani wa akili
Sai mpo hoi, mambo hayaendi kabisa...Oya mnafeli wapi wakunya sahizi hamna project nyingine mjisifie mbona kila saa ni haka kauchafu
Wewe ni mmama au ni binti mdogo. Nipo single unajua . Natafuta kigori nijifungie nacho next weekendGuess the irony![]()
Kwn hapo kwako tayari watu wanajifungia magoliWewe ni mmama au ni binti mdogo. Nipo single unajua . Natafuta kigori nijifungie nacho next weekend
Toka nje ya uswazi hapo Gongo la Mboto ujue yanayoendelea duniani. Kenyans have been enjoying PET CT Scan services since 2017Nadhani unafananisha na ordinary CT SCAN wewe hiyo ni PET CT only SA na TZ ndio wanayo kwa Sub Saharan Africa the rest are in North Africa. Tena only 4 countries in Africa ndio wana hizo machines.
www.akdn.org
Kama Kenya mkiwa na hizo mashine nahisi itakuwa ni 25 century tena mtapewa mitumba ambayo China au Germany watakuwa wametumia kama SGR zenuWakati huku kwetu hzo mashine zipo kitamb
Na hiyo uliyoleta nani kakupa? Shenzi type
Nyinyi malazy mna nini cha kusifia?Oya mnafeli wapi wakunya sahizi hamna project nyingine mjisifie mbona kila saa ni haka kauchafu
Wivu wa karne huu sasaKama Kenya mkiwa na hizo mashine nahisi itakuwa ni 25 century tena mtapewa mitumba ambayo China au Germany watakuwa wametumia kama SGR zenu


Mamaee, haya ndio maradhi ya kukesha twitterKumbe KG 1 ya sukari Kenya ni 5000sasa naiona Zimbabwe mpya


Hawa jamaa wanateseka sana, kwn unafikiria niliposema tz wananchi kiuchumi wapo hoi sana ubafikiria nataniaBongolala, wacha kujisumbua na masuala ya Kenya na kushangilia keyboard warriors wa Twitter. Kenya 1kg ya sukari ni kati ya Ksh110 - Ksh120 depending with the brand. Hiyo ya ksh250 a kg labda ni kwenu Tanganyika View attachment 2125840View attachment 2125843
Sasa linganisha na hizi prices zenu then tell me ni wapi bei ipo juuView attachment 2125848
Tanganyika kilo moja ya sukari ni shilingi 150 za Kenya wakati mimi nanunua the same quantity at Ksh110 na bado unatoa povu. Si unaona ulivyo mjinga?