The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Umeuaa, alafu bora Mashashola kdg tunaelewa anachokipigania kuliko hili boga la NjombeKenya kuna [mention]Mashashola [/mention]
Tanzania kuna [mention]The Sunk Cost Fallacy [/mention]
hawa madogo bana. the same kind of person in two different countries![]()










Ila kusema ukweli haya matusi tuliyoyafanya hii miaka ya karibuni inafanya tuogopeke mno na majirani na wasiokuwa majirani, tunakimbia wkt wenzetu wanatambaa.Itakua balaa kama itazid terminal 3 that means record tutaivunja wenyewe airport nzur East Africa na kati
Safi sana mkuu, kuna mambo mengi watu hawayaoni ndio maana baada ya comment yangu nlikaa kimya cause watu wanashindwa kuelewa jinsi muungano unavyoturudisha nyuma. Maisha waliyonayo wazenji ni kutokana na kufanya kazi na biashara bara wakati bara hawamo zenji.Pamoja mkuu,yaani huu muungano mm unanikera Sana,mfano.
1.zanzibar walipogundua Mafuta,wakasema hayausiani na muungano,ina maana,bara SS hatumo.
2.Rais anatokea Zanzibar,anatwala pote,bara na Zanzibar,kule Zanzibar,mtu kutoka bara hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
3. Mtu wa bara huruhusiwi kununua ardh na kuimiliki,lakini huku bara wamejenga kila mahalo.
4. Mtu kutoka bara hawezi kupata Ajira kule hata kufagia Ofisi za serikali,Ila huku wamejaa majeshini,na tasisi nyeti.Wengi wao hawapendi kufanya kazi kwao sababu wanalipwa mishahara midogo Sana na hii imesabisha umasikini mkubwa Sana Zanzibar.
5.mtu kutoka bara ni ngumu kwake kufanya biashara kule lakini huku bara,wapemba wametapakaa kariakoo na huku mikoani na maduka ya simu na biashara zingine.
6. Ukiingiza bidhaa kutoka bara untozwa Kodi kule Zanzibar,eti ni nchi nyingine lakini huku wanaingiza vitu wanavyotaka.
Mm binafsi siutaki muunago hata kidogo,natamani uvunjwe kila mtu aishi Kwa kujitegemea. Bara hakuna tunchotegemea kutoka kule we have nothing to loose! Ila wao watapoteza vingi Sana,ule usemi kwamba muunngano ukivunjika watapata maendeleo haraka ni uwongo,Kwanza Wanaguana Sana Kati ya wapemba na waunguja. Kwa hiyo sio ajabu wakajitenga wao Kwa wao tena,pia ufisadi mkubwa Sana kule.
Muunngano unatinyonya Sana ss bara.
you don't have talent....and stadia tooBut we have everything needed in football
Nlikua na design yake tangu 2018 nimeitafuta siioni, iko poa sana. Nakumbuka nliipata youtubeAccording to H.E SSH renovation of JNIA terminal 2 the domestic terminal will exceed terminal 3 in beauty and state of the art facilities.
Karibu Zuwenna ,joto la jiwe alikuwa amekuficha wapi?😎Yaani watu kabisa Waende Kumpokea!!
Hii Dunia ina Mambo
Kwenye suala la ajira serikalini ndiyo aibu kabisa yani tunapoelekea ni bora Kikwete, Mama hana anachojua maskini ya Mungu, watu wanatangaza ajira alafu watu hawaitwi kwenye usaili lkn watu wanaingia kazini kama kawaida, mfano nafasi za TRA zimepigwa kimya kimya. Jamani watz tuna wakati mgumu sn lkn yatapita, wapo watu wanajifanya kusifia cz wana majeraha yao ya awamu ya 5 lkn ukweli wanaujua na itakapofika 2025 hutawaona wakisifia mana ukweli utakuwa hadharani kabisa.
Ngoja niitafute ile design tenaNimemsikia aisee sasa cjui itakuwaje mana balaa la terminal 3 c mchezo![]()
Hapa ni wapi
Aisee naomba uiweke humu mkuu mana nimemsikia Mama akisema utakuwa mzuri kuliko terminal 3, Kama ni hivyo basi itakuwa balaa sana hii nchi.Ngoja niitafute ile design tena
Hatari sn kaka.😀 Mtaalam nkiona comment yako hua nalike kwanza then ndio naisoma. Hata mabank yetu hususani haya makubwa sasaivi wanatoa ajira kwa kujuana
🚮🚮🚮
Losson ikisoma tofauti na disbursement not necessarily kwamba ni wafakazi hewa.Sibishani na kenge mm
View attachment 2124933
Top quality Unaweza kusema Europe au asiaUbungo.
Wivu utakupeleka kwa Mwendazake kuzimuYaani watu kabisa Waende Kumpokea!!
Hii Dunia ina Mambo