Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Izo hadhi mmeanza kuziona awamu hii au sio kwani wanachato hawana hadhi yakupata miradi ya maendeleo ebu acha huo ujinga mzee tukienda kwa staili iyo hatutafika

Acha hisia, jibu maswali kwa facts, usiongee mambo usiyoyajua.
 
Brt infrastructure kama zinatengeneza faida kwann wasitumie domestic revenue maana hela yake inaonekana anaendelea kukopa tu? Huo mkopo wangeweza boresha nao eneo lingine lenye changamoto zaidi mfano...kuna maeneo ya uzalishaji njombe ndanindani sijui ni wilaya gani ile hawana barabara za lami au kilombero uko wangewapa wananchi hamasa kuwaboreshea izo barabara au kule wanakolima miti ya kuvuna mufindi nk
Kwa mujibu wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Mashirika ya Umma,Mwendokasi wanatengeneza hasara.
 

Bila mama angekuwa kunyea debe👇

Screenshot_20220219-164433.png
 
Tatizo halipo kwenye kupeleka maendeleo mahali. Tatizo lipo kwenye viability ya maendeleo unayoyapeleka. Huduma muhimu kama barabara, maji, afya na umeme zinapaswa kupelekwa kwenye kila Kona ya nchi Maana ni essential. Lakini huwezi kusema kuwa kujenga hospitali kubwa ya kanda kwenye mji usio na watu hata laki moja ni jambo la busara. Au kujenga international airport kwenye mji ambao clearly haustahili kuwa nayo. Ni heri hizo resources/funds ziwe allocated kwenye sehemu nyingine za nchi! Ama maendeleo yawe viable kutokana na maeneo yanayohudumiwa.


Maendeleo ya zanzibar yanawaumiza nini? Ama ni kwasababu Rais ana asili ya Zanzibar? Kwani Zanzibar ikiendelea, Tanzania inarudi nyuma au inaenda mbele? As long as pesa zinatumika accordingly kutekeleza maendeleo ambayo ni viable, mimi sioni tatizo lolote.
Wewe jamaa unajikanganya yani jpm alijenga hospitali Chato unasema haina umuhimu kwa sababu huko watu wachache ila mikopo inayopelekwa zenji ni mikubwa kuliko inayoletwa bara kwa kipimo icho icho cha kuangalia idadi ya watu mfano mdogo tuu mkopo wa juzi wa bilioni 700 kutoka japanii zenji imepokea zaidi ya bilioni 200 iyo ni kama theluthi moja huu ule mwinginee wa world Bank karibu robo moja ilipelekwa zanzibar sasa nakuuliza wewe je iyo ni sawa wakati zanibar yenyewe ina watu around Milioni moja ukifananisha na bara milioni 60
 
Inawezekana unawaza pono zaidi kuliko kufuatilia mambo ya serikali,la hasha unasumbuliwa na Chuki binafsi kwa Samia.

Yaani Samia aache kukamilisha miradi iliyomshinda Mwendazake kwa miaka 6 ,Utake aanzishe miradi mipya mikubwa ya ku stress uchumi kama zama za Giza?

Unaweza nipa sababu kwa nini Mwendazake alishindwa kwa miaka yote 6 aliyokaa madarakani?

Anyway,Ngoja ni summaries.
1.Kwa mara ya kwanza watoto wote wameanza shule kwa pamoja,hapo awali walikuwa wanaanza shule kwa mafungu kama nyanya ,tena watoto wa maskini.Samia kajenga madarasa 15,000 yenye dawati kabisa hakuna kuchangishana.

2.Samia anajenga vituo vya afya 207 kwa mpigo Nchi nzima,ikumbukwe mwendymiaka 6 havijafika hata 100,hapo bado x ray hospital zote na vituo vya afya vyote,CT Scan hospital zote za Mikoa,MRI machine hospital zote za Kanda na zile maalum,ma ambulances kama yote nk nk.

3.Sasahivi Tarura inakufungulia barabara kusikofikika,miradi ya barabara iko zaidi ya 2,000,,bajeti kutoka bil.270 hadi bil.900.

4.Maji ndio usiseme kila Kona ni miradi ila Kwa uchache ukiona kule Arusha na Mara,,miradi ya size ya Kati imetapakaa nchi nzima,saizi hatuhangaiki na Rais kuzindua vituo vya afya au stand za bil.2 ,tumewaachia mawaziri.

5.Uchumi unakua Kwa 5% kutoka negative .Ikumbukwe baada ya uchumi kuanguka ndio hapo zikatungwa sheria za Takwimu,kupora wafanyabiashara pesa,maduka ya forex nk na kufungua magazeti .

Saizi mapato yameongezeka kila sekta,walioko serikali wanakiri hakuna ukata tena.TRA ,bandari,madini,utalii na Halmashauri kote pesa zimeongezeka
Kwa mujibu wa PM utekelezaji wa bajeti ni zaidi ya 55% ,haijawahi tokea hii hapo kabla.

6.Mabarabara,bandari mapya kibao na zingine zilizomshinda Mwendazake tunazijenga.

7. Mikataba mipya ya reli imezinduliwa na wewe unajua.

8.Miradi yote ya Mwendazake inakwenda kama kawa,umeisha wa Salander na mingine itaisha kadiri ilivyopangwa.

Kiufupi mambo ni mengi,Summary ya yote utapata mwezi march siku ya kuadhimisha mwaka mmjo tangu SSH ale kiapo kuwa Rais na pia wakati wa ku wind up budget ya 2021/2022..Narudia tena hakuna Rais atamfikia Samia..

Samia hoyeee

View attachment 2124272

View attachment 2124273

View attachment 2124275

View attachment 2124276

View attachment 2124277

View attachment 2124278

View attachment 2124279

View attachment 2124280

View attachment 2124281

View attachment 2124282

View attachment 2124283

View attachment 2124284

View attachment 2124285

View attachment 2124286

View attachment 2124287

View attachment 2124288

View attachment 2124289

View attachment 2124290

View attachment 2124291

View attachment 2124292

View attachment 2124293

View attachment 2124294

View attachment 2124295
Mpumbavu wewe unaongelea vitu ambavyo vinaendelezwa, nmekuambia nitajie vitu alivyoanzisha Samia au uniambie bado tumpe muda na sio uanze kusema kafanya hiki kafanya kile viko wapi ss, kabla hata hajafikisha mwaka anapata wapi hizo pesa za kuanzisha miradi japo ni miradi ya kawaida kila Rais hata asiye na uwezo anafanya.

Mpk ss tunatembelea nyota za awamu ya 5, hakuna jipya lililofanyika zaidi ya tozo na mamikopo yasiyotija, yn tunakopa ili mradi tuonekane tunapambana lkn co kwa ajili ya plans.
 
Hapana,

Katiba inasema ni 25/75 kama sijakosea. Na hizi kelele za Bara na Visiwani hazina afya kabisa. Hao ndugu zetu they have nothing to loose hivyo twendeni nao taratibu tuu. We need them.

Naunga mkono, hizi kelele za Zanzibar this Zanzibar that hazina afya humu.
Niliandika comment nikafuta, thanks umeona hili.

Siku zote nawaambia waache mihemuko wabishane kwa facts.
 
Mpumbavu wewe unaongelea vitu ambavyo vinaendelezwa, nmekuambia nitajie vitu alivyoanzisha Samia au uniambie bado tumpe muda na sio uanze kusema kafanya hiki kafanya kile viko wapi ss, kabla hata hajafikisha mwaka anapata wapi hizo pesa za kuanzisha miradi japo ni miradi ya kawaida kila Rais hata asiye na uwezo anafanya.

Mpk ss tunatembelea nyota za awamu ya 5, hakuna jipya lililofanyika zaidi ya tozo na mamikopo yasiyotija, yn tunakopa ili mradi tuonekane tunapambana lkn co kwa ajili ya plans.
Naongea na Zuzu,mradi kwako maana yake ni nini? Kwa hiyo kwa mfano vituo vya afya 200 vilikuwepo sasa vinaendelezwa au?

Kwamba airport ya Msalato na ring road vyote vilikuwepo sasa vinaendelezwa au?

Kwamba mradi wa Kaibakari zaidi ya 75bln ulikuwepo sasa inaendelezwa au?

Bunkrampt of mind sio kosa lako.
 
Bado wanasema eti hiyo 25/75 ni kubwa..Hiki ni kichekesho Zanzibar sio Chato kwamba ipewe Mgao sawa na Mkoa hata kama ina eneo dogo au watu wachache.

Ikumbuwek kule kuna serikali inaendesha kila kitu kama Bara
Kama kuna serikali kwnn wanategemea pesa za Tz ilihali wao wakikopa pesa zinakuwa zao peke yao, wewe ni mjinga mwenye nyongo mbaya sana.
 
Wwe Ndio upunguze hisia mzee pesa tuombe wote ila kulipa alipe mtu mmoja alafu ukiangalia pesa nyingi zinaletwa huko ukiangalia idadi ya watu ni ndogo mzee kama zenji inataka inufaike na hii mikopo inafaa kitu kinaitwa muongano kiondolewe zenji iwe mkoa tuu
Kuna vitu havijakaa sawa kwenye muungano hatuwezi kukaa kmy kwa kigezo cha kuchochea chuki, mm naomba kuuliza inakuaje rasilimali za zenji ziwe za kule tu lkn za bara ziwe za wote? Au labda tuwekane sawa tujue kwamba bila zenji basi hakuna Tz bara, huu muungano ni wa kipumbavu sn huu, ok usiku mwema wakuu.
 
Wewe ni mnafki mbwa wewe, wala humkubali Samia sema una chuki binafsi na Magufuli ndiyo mana unajifanya kumkubali sa100 licha ya mapungufu makubwa aliyonayo, Magu ni km maji huwezi kumkwepa na atakuumiza sn km hutaki kukubali ukweli jibwa wewe
Magufuli kafa ila watu mnapiga kelele kama nini. Tumuacheni apumzike kwa amani. Mama ndo raisi kwa sasa mpende msipende. Usijiumize roho sana au hii miaka 9 itaishi kwa simanzi na majonzi. Achana na masiasa yasio na faida. Na mama hatoki pale. Ndo kishafika hivyo.
 
Naongea na Zuzu,mradi kwako maana yake ni nini? Kwa hiyo kwa mfano vituo vya afya 200 vilikuwepo sasa vinaendelezwa au?

Kwamba airport ya Msalato na ring road vyote vilikuwepo sasa vinaendelezwa au?

Kwamba mradi wa Kaibakari zaidi ya 75bln ulikuwepo sasa inaendelezwa au?

Bunkrampt of mind sio kosa lako.
Wewe msenge c ulikuwa unaponda wewe miradi ya kimkakati ya Dodoma au co wewe? Hizo Msalato, Ring road na Dodoma kuifanya imeremete muasisi ni nani babaako au? Wkt mwingine unaijaibisha na kuonekana malaya wa kisiasa humu ndani, anyways wacha nijipe likizo kwnz mana utaniharibia cku nipigwe ban kwa kubishana na choko km wewe.
 
Magufuli kafa ila watu mnapiga kelele kama nini. Tumuacheni apumzike kwa amani. Mama ndo raisi kwa sasa mpende msipende. Usijiumize roho sana au hii miaka 9 itaishi kwa simanzi na majonzi. Achana na masiasa yasio na faida. Na mama hatoki pale. Ndo kishafika hivyo.
Nani asiyekubali hilo au unadandia treni kwa mbele, kuna cku umeona nikisema Samia co Rais? Peleka upumbavu wako mbali na mm.
 
Inawezekana unawaza pono zaidi kuliko kufuatilia mambo ya serikali,la hasha unasumbuliwa na Chuki binafsi kwa Samia.

Yaani Samia aache kukamilisha miradi iliyomshinda Mwendazake kwa miaka 6 ,Utake aanzishe miradi mipya mikubwa ya ku stress uchumi kama zama za Giza?

Unaweza nipa sababu kwa nini Mwendazake alishindwa kwa miaka yote 6 aliyokaa madarakani?

Anyway,Ngoja ni summaries.
1.Kwa mara ya kwanza watoto wote wameanza shule kwa pamoja,hapo awali walikuwa wanaanza shule kwa mafungu kama nyanya ,tena watoto wa maskini.Samia kajenga madarasa 15,000 yenye dawati kabisa hakuna kuchangishana.

2.Samia anajenga vituo vya afya 207 kwa mpigo Nchi nzima,ikumbukwe mwendymiaka 6 havijafika hata 100,hapo bado x ray hospital zote na vituo vya afya vyote,CT Scan hospital zote za Mikoa,MRI machine hospital zote za Kanda na zile maalum,ma ambulances kama yote nk nk.

3.Sasahivi Tarura inakufungulia barabara kusikofikika,miradi ya barabara iko zaidi ya 2,000,,bajeti kutoka bil.270 hadi bil.900.

4.Maji ndio usiseme kila Kona ni miradi ila Kwa uchache ukiona kule Arusha na Mara,,miradi ya size ya Kati imetapakaa nchi nzima,saizi hatuhangaiki na Rais kuzindua vituo vya afya au stand za bil.2 ,tumewaachia mawaziri.

5.Uchumi unakua Kwa 5% kutoka negative .Ikumbukwe baada ya uchumi kuanguka ndio hapo zikatungwa sheria za Takwimu,kupora wafanyabiashara pesa,maduka ya forex nk na kufungua magazeti .

Saizi mapato yameongezeka kila sekta,walioko serikali wanakiri hakuna ukata tena.TRA ,bandari,madini,utalii na Halmashauri kote pesa zimeongezeka
Kwa mujibu wa PM utekelezaji wa bajeti ni zaidi ya 55% ,haijawahi tokea hii hapo kabla.

6.Mabarabara,bandari mapya kibao na zingine zilizomshinda Mwendazake tunazijenga.

7. Mikataba mipya ya reli imezinduliwa na wewe unajua.

8.Miradi yote ya Mwendazake inakwenda kama kawa,umeisha wa Salander na mingine itaisha kadiri ilivyopangwa.

Kiufupi mambo ni mengi,Summary ya yote utapata mwezi march siku ya kuadhimisha mwaka mmjo tangu SSH ale kiapo kuwa Rais na pia wakati wa ku wind up budget ya 2021/2022..Narudia tena hakuna Rais atamfikia Samia..

Samia hoyeee

View attachment 2124272

View attachment 2124273

View attachment 2124275

View attachment 2124276

View attachment 2124277

View attachment 2124278

View attachment 2124279

View attachment 2124280

View attachment 2124281

View attachment 2124282

View attachment 2124283

View attachment 2124284

View attachment 2124285

View attachment 2124286

View attachment 2124287

View attachment 2124288

View attachment 2124289

View attachment 2124290

View attachment 2124291

View attachment 2124292

View attachment 2124293

View attachment 2124294

View attachment 2124295
Matilioni aliyo chukua huyu mpuuzi kafayia mradi wa uchifu mafiii .....basi hakuna zaidi ya huo
 
Tatizo halipo kwenye kupeleka maendeleo mahali. Tatizo lipo kwenye viability ya maendeleo unayoyapeleka. Huduma muhimu kama barabara, maji, afya na umeme zinapaswa kupelekwa kwenye kila Kona ya nchi Maana ni essential. Lakini huwezi kusema kuwa kujenga hospitali kubwa ya kanda kwenye mji usio na watu hata laki moja ni jambo la busara. Au kujenga international airport kwenye mji ambao clearly haustahili kuwa nayo. Ni heri hizo resources/funds ziwe allocated kwenye sehemu nyingine za nchi! Ama maendeleo yawe viable kutokana na maeneo yanayohudumiwa.


Maendeleo ya zanzibar yanawaumiza nini? Ama ni kwasababu Rais ana asili ya Zanzibar? Kwani Zanzibar ikiendelea, Tanzania inarudi nyuma au inaenda mbele? As long as pesa zinatumika accordingly kutekeleza maendeleo ambayo ni viable, mimi sioni tatizo lolote.
Mtu yoyote asielewa umuhimu was uwekezaji kama huu zanzibar namuona kama punguani vile.

Kwa mfano (lakini ni fact ) zanzibar inatungizia 1bil dollars kwa mwaka. Fedha za kigeni. Hiyo tu inatosha kuwaelewesha watu. Kumbuka zanzibar haina benki kuu. Hizi zote zinakuja bara. Zanzibar ni sehemu muhimu sana kwenye uchumi wetu

Ilivyo sasa ni kama kuuza sushi soko la pale urafiki. Watakuja watu wa hovyo tu. Ili upate wateja wa maana lazima ufanye investment ifike hadhi kama ya mlimani city. Otherwise utabaki na watu wa hovyo hovyo tu.
 
Magufuli kafa ila watu mnapiga kelele kama nini. Tumuacheni apumzike kwa amani. Mama ndo raisi kwa sasa mpende msipende. Usijiumize roho sana au hii miaka 9 itaishi kwa simanzi na majonzi. Achana na masiasa yasio na faida. Na mama hatoki pale. Ndo kishafika hivyo.
Huyu vipi huyu? Umechanganya Id nn mzee? Mm namuunga mkono Rais yeyote wa Tz provided that matakwa ya katiba yamefuatwa, ila akikosea tunasema au unataka nikuoneshe post zangu za kuponda baadhi ya mambo ya awamu ya 5?
 
Wewe msenge c ulikuwa unaponda wewe miradi ya kimkakati ya Dodoma au co wewe? Hizo Msalato, Ring road na Dodoma kuifanya imeremete muasisi ni nani babaako au? Wkt mwingine unaijaibisha na kuonekana malaya wa kisiasa humu ndani, anyways wacha nijipe likizo kwnz mana utaniharibia cku nipigwe ban kwa kubishana na choko km wewe.
Unavyoshikishwa ukuta hadi akili zimeruka.Ujenzi wa Makao makuu ni miradi ya kimkakati? 😄😄😄.

Miradi tembo mweupe nayoipinda ujenzi wa masoko empty kama la Ndugai,Mastendi ya mabilioni na sgr ya mapambo.

Samia alisema tayari til.14 zimeshawekwa kwenye reli ukiacha ni hasara Bora kuimaliza ila angekuta ndio pesa chache zimeenda hiyo reli ingepigwa chini.
 
Back
Top Bottom