joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Dignity of feeding ourselves, something that you are struggling to achieve since your independence but you can't
wengi wao ni Sukumagang hawaoni yaliyokuwa yakifanyika kipindi cha mwendazake!Wenye chuki na Samia wanahangaika na visingizio vya kijinga ila mama hayumbishwi.👇
View attachment 2124129
Wanatubembeleza tusaini EPASio kuomba,wanaikubali Tzn na wanapenda iwe mshirika wao hapa EAC..
Hapa ni wivu unakusumbua kwa sababu nyie mnapata misaada ya chakula.
Kwa taarifa yako hata Marekani iko mbioni kuirudisha Tzn kwenye MCC baada ya Wazungu sio tuu kutoa msaada bali wameachia pesa walizokuwa wame zi freeze kutokana na mambo ya kisiasa awamu ya 5👇
View attachment 2124092
View attachment 2124093
View attachment 2124094
Kwahiyo wewe hawakunyooshi? Huwa unapenda ligi za kipumbavu sn that's why no one cares about you.Aliyelazimisha Muungano ni nani? Ile ilikuwa Nchi toka Ukoloni ,ngoja wawanyooshe kwanza.
Ahwapi, tukijitenga wageni wataloea na mwishowe wazanzibari kimbilio lao litakua Bara. Wee cheki Seychelles ipo East Africa lakini utadhani ipo australia huko, wazawa wanakimbia nchi yao. Cheki Madagascar na ukubwa wote ila wazawa hawana chaoRubbish 🚮🚮🚮..Tzn imeanza Kukopa leo?
Toka enzi za Mwalimu alikopa na akapeleka Msumbiji,Angola,S.Africa,Zimbabwe nk kwa kisingizio cha ukombozi.
Kwani hukulipa? Anakopa kupeleka kwake au Tzn?
Kama vipi katoe hoja ya kuvunjwa Muungano.Hata hivyo Zanzibar imedhulimiwa Sana na Bara ngoja nao wapate haki yao stahiki.
Mwisho Zanzibar hata kesho wanatamani wajitenge ila Bara inalazimisha,na wakijitenga kwa jinsi walivyo wachache na connection Duniani na utalii ,haichukui miaka 5 wanakuwa wameendelea afu Bara tunabakia na fitina kama unavyofanya wewe hapa.
View attachment 2124107
View attachment 2124108
View attachment 2124109
Nshajua, kumbe wewe ni mla urojo 😀 huu mjadala hauwezi kuishaWanakula parefu au wanakula haki yao? Ile ni Nchi na infact ilitakiwa 50/50 sema ndio hivyo Nyerere alitumia janja janja..
Kenge la Njombe hilo kinachomfanya aipigie debe zenji ni chuki zake kwa MaguNshajua, kumbe wewe ni mla urojo 😀 huu mjadala hauwezi kuisha









Yani hilo Kenge likilala likiamka linamuwaza Magu, mtu hayupo duniani lkn mpk kesho anamtawala, usidhani kwamba anamkubali Samia, wala hamkubali sema anajifariji baada ya kupigwa na Magu kipigo kitakatifuNshajua, kumbe wewe ni mla urojo 😀 huu mjadala hauwezi kuisha













Nikila urojo na wewe ugali unanizidi nini? Acha ushamba wewe,siko hapa kusifia upumbavu.Nshajua, kumbe wewe ni mla urojo 😀 huu mjadala hauwezi kuisha
Wanakimbia wanaenda wapi?Ahwapi, tukijitenga wageni wataloea na mwishowe wazanzibari kimbilio lao litakua Bara. Wee cheki Seychelles ipo East Africa lakini utadhani ipo australia huko, wazawa wanakimbia nchi yao. Cheki Madagascar na ukubwa wote ila wazawa hawana chao
If you don't care kwa nini unajibu na ku quote comment yangu?Kwahiyo wewe hawakunyooshi? Huwa unapenda ligi za kipumbavu sn that's why no one cares about you.
Misaada haijaanza leo wala Jana?Wanatubembeleza tusaini EPA
Ingia google utapaa majibuWanakimbia wanaenda wapi?
Basi, sina haja ya kujadili nae kitu 😀Kenge la Njombe hilo kinachomfanya aipigie debe zenji ni chuki zake kwa Magu![]()
Kipindi kigumuu maana nashangaa kila mKopo unaokuja lazima zenji ipate ila watu wapo kimya tuu wale walikua wanahoji kuhusu jpm kupeleka miradi kadhaa Chato
Zanzibar ni Nchi ina hadhi ya kupata mgao wa 50/50Kwani Katiba inasemaje juu ya mapato na misaada ambayo iko chini ya Muungano? Kwa mawazo yako Zanzibar na Chato zina hadhi sawa?
Miradi ya Magu 😀😀😀😀.Miaka 6 alikuwa anafanya nini cha maana? Chuki itakuua wewe kenge wa mwendakuzimu.Mpaka leo bado tunatembea na miradi ya Magu![]()