Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna vitu havijakaa sawa kwenye muungano hatuwezi kukaa kmy kwa kigezo cha kuchochea chuki, mm naomba kuuliza inakuaje rasilimali za zenji ziwe za kule tu lkn za bara ziwe za wote? Au labda tuwekane sawa tujue kwamba bila zenji basi hakuna Tz bara, huu muungano ni wa kipumbavu sn huu, ok usiku mwema wakuu.
Yani icho kitu hakijakaa sawa kabisa na inafaa kibadlishwe haraka iwezekanavyoo ili kuulinda muungano wetu
 
Mtu yoyote asielewa umuhimu was uwekezaji kama huu zanzibar namuona kama punguani vile.

Kwa mfano (lakini ni fact ) zanzibar inatungizia 1bil dollars kwa mwaka. Fedha za kigeni. Hiyo tu inatosha kuwaelewesha watu. Kumbuka zanzibar haina benki kuu. Hizi zote zinakuja bara. Zanzibar ni sehemu muhimu sana kwenye uchumi wetu

Ilivyo sasa ni kama kuuza sushi soko la pale urafiki. Watakuja watu wa hovyo tu. Ili upate wateja wa maana lazima ufanye investment ifike hadhi kama ya mlimani city. Otherwise utabaki na watu wa hovyo hovyo tu.

Mzee sisi hatuna tatizo na uwekezaji huo tatizo letu wale walikua wanamuita jpm ni mkanda anapendelea Chato tuu na kanda ya ziwa je mbona saivi hayo mambo wanayafumbia macho
 
Ni kweli mimi mwenyewe nipo upande wako. Katika sehemu nchi hii ambayo iko underdeveloped Ni mwanza. Kwa kweli inasikitisha. Na magufuli alijitahidi sana kule.

Na magufuli hakuwa Na bifu Na zanzibar ndo maana akamuweka mwinyi.

Haya yote Ni Kwa manufaa yetu. Yana hata sielewi tunagombania nini
Mzee sisi hatuna tatizo na uwekezaji huo tatizo letu wale walikua wanamuita jpm ni mkanda anapendelea Chato tuu na kanda ya ziwa je mbona saivi hayo mambo wanayafumbia macho
 
And yet mnacontribute NOTHING kwa iyo bank like US.
Poor
Mkunya kama Mkunya, hebu guess mngekuwa na stake kubwa kama Nigeria sijui ingekuwaje!
adb_-_statement_of_subscriptions_and_voting_powers_as_at_31_december_2021_0-1_page-0001.jpg
 
Ni kweli mimi mwenyewe nipo upande wako. Katika sehemu nchi hii ambayo iko underdeveloped Ni mwanza. Kwa kweli inasikitisha. Na magufuli alijitahidi sana kule.

Na magufuli hakuwa Na bifu Na zanzibar ndo maana akamuweka mwinyi.

Haya yote Ni Kwa manufaa yetu. Yana hata sielewi tunagombania nini
waliskika Magovinda wakitiana ujinga bila kuzingatia mwendazake alipeleka zaidi ya $1 bln Mwanza pekee! Huku Chato nayo ikipelekewa kiasi kikubwa cha fedha tena kiupendeleo! Endeleeni kufikiria maendeleo yanaleta na serikali tu huku mkiendekeza ushirikina!
 
waliskika Magovinda wakitiana ujinga bila kuzingatia mwendazake alipeleka zaidi ya $1 bln Mwanza pekee! Huku Chato nayo ikipelekewa kiasi kikubwa cha fedha tena kiupendeleo! Endeleeni kufikiria maendeleo yanaleta na serikali tu huku mkiendekeza ushirikina!
$1B mwanza? Are you serious?
 
now AFDB going extra on our favor!
we will get it done means mambo tayari, tunasubir kurelease tu taarifa rasmi..
Tanzania tunaenda kuwa na inter-national SGR while kenyans wanabaki na intra-national sgr
IMG_4683.jpg
 
$1B mwanza? Are you serious?
yes hebu ingia humu uone!

Tuanze na JPM bridge $299 mln, Mwanza airport (PAX Terminal and radar), Nyamhongolo Bus stand, Nyegezi Bus stand, Mwanza market, Mwanza lorry parking, Mwanza shipyard, several roads, several water projects with Lake Victoria water pipeline leading, BOT headquarters, Mwanza referral hospitals expansion Sekou Toure and Bugando aside other hospitals and health centers, ferries, Cotton ginneries, Mwanza slaughter house etc. Nitajie mkoa mwingine nje ya Dar na Dodoma uliopata hivi vyote chini ya JPM!

NOTE:
BTW SGR Mwanza-Isaka sijaitaja nina uhakika at least $300 mln itabaki Mwanza! Msione watu wajinga aisee mkaanza kuleta siasa za kibaguzi! Let the others get the same treatment as there r no better n more deserving Tanzanians than others! Have patience just like the other had!
 
Mipango ya Magu ni mikubwa! Ujue ana lots 2 bado kwenda Mwanza then Ijiji-Msongati then Isaka-Kigali then Mtwara-Mbamba bay then LNG then ujenzi wa jiji la Dodoma! Akae mbali na "les Affaires" Kikwete maana soon tutaona Ridhiwani Waziri mara wakina Makamba wakina Nape! Wote wana ambitions za higher office na si watendaji bali wazee wa makundi!

time to sleep!
 
Back
Top Bottom