Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hio tunasemanga maskini kujipendekeza kwa tajiri, inferiority complex is the word
Wakati tulisimamisha shughuli zote za maendeleo yetu ili kuwakomboa, ninyi mlikua mkikenua meno na wakoloni, hamkutaka kusikia shida yoyote ya mtu mweusi

Ukishindwa kusikiliza yote, sikiliza dakika mbili za mwanzo, Ramaphosa anavyoizungumzia Tanzania
 
Wakati tulisimamisha shughuli zote za maendeleo yetu ili kuwakomboa, ninyi mlikua mkikenua meno na wakoloni, hamkutaka kusikia shida yoyote ya mtu mweusi

Ukishindwa kusikiliza yote, sikiliza dakika mbili za mwanzo, Ramaphosa anavyoizungumzia Tanzania
kwani unadhani hao chokoraa wa kikenya hawaelewi hilo,wanaelewa vizuri tu sema ni uzuzu tu unawasumbua hao kunguni

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Wakati tulisimamisha shughuli zote za maendeleo yetu ili kuwakomboa, ninyi mlikua mkikenua meno na wakoloni, hamkutaka kusikia shida yoyote ya mtu mweusi

Ukishindwa kusikiliza yote, sikiliza dakika mbili za mwanzo, Ramaphosa anavyoizungumzia Tanzania

Hivi kuna kiongozi wa Kunyaland alipewa nafasi kuongea kwa Podium?
 
Mama yuko kazini 👇

Screenshot_20220217-161521.png
 
Vipi mzee ...?whats your view
Brt infrastructure kama zinatengeneza faida kwann wasitumie domestic revenue maana hela yake inaonekana anaendelea kukopa tu? Huo mkopo wangeweza boresha nao eneo lingine lenye changamoto zaidi mfano...kuna maeneo ya uzalishaji njombe ndanindani sijui ni wilaya gani ile hawana barabara za lami au kilombero uko wangewapa wananchi hamasa kuwaboreshea izo barabara au kule wanakolima miti ya kuvuna mufindi nk
 
Back
Top Bottom