komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Nimekuelewa sana mkuu, lkn waachie wataalam mambo menginesijapenda sana hio greenery on columns, wange iwacha tu hio concrete jinsi ilivyo View attachment 2120006
Nimekuelewa sana mkuu, lkn waachie wataalam mambo menginesijapenda sana hio greenery on columns, wange iwacha tu hio concrete jinsi ilivyo View attachment 2120006
Wikipedia tena. Nyie wakenya hamjifunzi tu. You still stupid 2022!!!
(95.3%)
(94.3%)
(91.8%)
(91.0%)
(90.6%)
(88.5%)
(87.6%)
(86.5%)
(85.6%)
(83.2%)wale wasomi wa broken english wako wapi🤣🤣🤣🤣🤣Top 10 ya nchi za Afrika ambazo zimeelimika zaidi.
1. Equatorial Guinea(95.3%)
2. South Africa(94.3%)
3. Seychelles(91.8%)
4. Libya(91.0%)
5. Mauritius(90.6%)
6. Botswana(88.5%)
7. Cape Verde(87.6%)
8. Zimbabwe(86.5%)
9. Burundi(85.6%)
10. Gabon(83.2%)
Source : Tech Build Africa
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Hapo Mkunya atadai ile scania imetengenezwa Mombasa!
CC: Tony254 @teagas komora096 nairobae n NairobiWalker


wakenya huwa ni wajinga sana$150bn umetoa kwa website gani mkuu hama umepima tu na akili ya kibongo bongo😹😹😹Mambo ya GDP ya Tz wala isikuumize kichwa, cc watz tunaojua hili jambo huwa tunawaeleza humu wakenya wenzako ila wanajifanya vichwa ngumu japo ukweli wanaujua.
Ni kweli unavyosema bwanaTony kwamba uchumi wetu unaowekwa kwenye karatasi co halisia bali uchumi wetu ni $150bn take it from me bro.
wale wasomi wa broken english wako wapi![]()


kazi yao kuu ni huwa wanapenda kujivimbisha tuWalianzisha route za Dar kusini (newala)Hili basi nowadays silioni route ya Dar-Kigali?
Wewe kijana wa mama Ngina umekula lakini!?🤣🤣🤣$150bn umetoa kwa website gani mkuu hama umepima tu na akili ya kibongo bongo😹😹😹
Kwa hiyo unadhani kila mtu anabet?Watanzania kiuchumi mpo hoi
Mpka mashirika yenu ya "government owned"yanahaha kisa returns kutoka kw mwananchi wa kawaida ni kidogo hawana nguvu hyo kiuchumi
Kw mfano sportpesa tz hata sijui mara ya mwisho kuingiza faida hata nusu ile walikua wakipata kenya ni lini..
Bora wewe umesema, yani hayo majani hapo wameharibu aesthetic ya road kabisa, wangeacha concrete na wafanye pavement chini pangependeza kama ubungo interchange.sijapenda sana hio greenery on columns, wange iwacha tu hio concrete jinsi ilivyo View attachment 2120006