Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimekuelewa sana mkuu, lkn waachie wataalam mambo mengine
Kupanda majani kama hivyo inahitaji mawazo ya wataalamu? Yani we huoni kama hapo imeharibu muonekano? Hyo yote wanakwepa kufanya pavement chini kwa kuogopa gharama kuongezeka, flyover na interchange za kunyaland 90% haziko paved chini.
 
HII babu ni vile iko nusu nusu bado ikiisha yote....muonekano utakuwa tofauti
 
Kupanda majani kama hivyo inahitaji mawazo ya wataalamu? Yani we huoni kama hapo imeharibu muonekano? Hyo yote wanakwepa kufanya pavement chini kwa kuogopa gharama kuongezeka, flyover na interchange za kunyaland 90% haziko paved chini.
We hujui kitu mzee, mambo ya engineers we kapuku yankuhusia nini
 
Bora wewe umesema, yani hayo majani hapo wameharibu aesthetic ya road kabisa, wangeacha concrete na wafanye pavement chini pangependeza kama ubungo interchange.
Concrete inasaidia nini katika climate change, acha upuuzi we jamaa..
Yani ukipata negative review kutoka kw mkenya basi we unapandwa na nyege huku ukijikuta alikujua
 
Kwenye umeme huko usiguse kabisa, Kama ambavyo mlikua hamuamini kwamba tumewazidi Sana katika huduma za Afya(Hospitals), na namba kubwa ya $ millionaires hadi hivi karibuni ndio mumekubali huo ukweli, ndivyo ilivyo katika umeme, Tanzania inaongoza Africa Nzima katika kusambaza umeme nchi nzima, mwakani tutaingia katika orodha ya nchi 8 tu Africa Nzima zilizofikia "Universal electrification".
napenda sana jinzi nyinyi watanganyika mnavyo ienzi na kuiabudu saana❤ nchi yenu. mna imani nayo kweli.! ila jua tu ya kwamba, nchi flani kua na gdp karibu mara mbili ya nyingine, usitarajie kushidwa kwa basics kamavile stima, barabara, hospitali, elimu, financial sector, Agriculture, tourism, sport, aviation, maritime, industries etc etc etc.......... sekta ambayo tz inaizidi kenya pengine ni sekta ya madini na usanii ...
hii hapa takwimu ya uzalishaji wa stima duaniani, toka marekani yani electricity production ranking in Gigawatts

(nb: however hard you guys try in almost every sectors, lakini bado mtakuta kenya hamuiwezi..... kisa huge gdp difference)

Screenshot_20211228-111620_Chrome.jpg
Screenshot_20211228-111654_Chrome.jpg
 
Top 10 ya nchi za Afrika ambazo zimeelimika zaidi.

1. Equatorial Guinea (95.3%)
2. South Africa (94.3%)
3. Seychelles (91.8%)
4. Libya (91.0%)
5. Mauritius (90.6%)
6. Botswana (88.5%)
7. Cape Verde (87.6%)
8. Zimbabwe (86.5%)
9. Burundi (85.6%)
10. Gabon (83.2%)

Source : Tech Build Africa



Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
this pure scam!🤮 sababu burundi, nchi iliyo maskini zaidi duniani, ipo kwenye list
 
Wapi nilisema haipo kwenye red zone? Obviously debt to gdp ratio ya Kenya ipo juu lakini haipo vibaya kama ya Ghana au Sudan. Isitoshe nusu ya deni la Kenya ni domestic na nusu ndio iliyokopwa kutoka nje. Kwa hivyo wakati mtu kama joto la jiwe anakuja hapa kuongea eti Kenya ipo karibu kuwa bankrupt ukumbuke kuwa nusu ya mikopo hii ni ya Wakenya wenyewe wameikopesha serikali yao kupitia treasury bills and bonds. Kila wakati serikali ya Kenya inapouza treasury bills and bonds huwa Wakenya wengi wanajitokeza kuzinunua. Sijajua ni kwa nini serikali yenu haipendi kuuza treasury bills and bonds kwa Watanzania au ni kwa sababu wanajua Watanzania hawana pesa na hawatazinunua kwa wingi? By the way kama Wakenya hawana pesa, itakuwaje nusu ya deni ya serikali ya Kenya imekopwa ndani ya nchi? Wacheni propaganda za kipuuzi Wabongo.
Tony, Tanzania zaidi ya nusu ya deni ni domestic, weka rekodi zako sawasawa, Tanzania has twice number of $ millionaires than Kenya, we buy more Treasury bonds than you guys.
 
Concrete inasaidia nini katika climate change, acha upuuzi we jamaa..
Yani ukipata negative review kutoka kw mkenya basi we unapandwa na nyege huku ukijikuta alikujua
Ss unamkasirikia mkunya mwenzio baada ya kusema ukweli kwamba expressway ina muonekano mbaya
 
Back
Top Bottom