Wapi nilisema haipo kwenye red zone? Obviously debt to gdp ratio ya Kenya ipo juu lakini haipo vibaya kama ya Ghana au Sudan. Isitoshe nusu ya deni la Kenya ni domestic na nusu ndio iliyokopwa kutoka nje. Kwa hivyo wakati mtu kama
joto la jiwe anakuja hapa kuongea eti Kenya ipo karibu kuwa bankrupt ukumbuke kuwa nusu ya mikopo hii ni ya Wakenya wenyewe wameikopesha serikali yao kupitia treasury bills and bonds. Kila wakati serikali ya Kenya inapouza treasury bills and bonds huwa Wakenya wengi wanajitokeza kuzinunua. Sijajua ni kwa nini serikali yenu haipendi kuuza treasury bills and bonds kwa Watanzania au ni kwa sababu wanajua Watanzania hawana pesa na hawatazinunua kwa wingi? By the way kama Wakenya hawana pesa, itakuwaje nusu ya deni ya serikali ya Kenya imekopwa ndani ya nchi? Wacheni propaganda za kipuuzi Wabongo.