Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,889
- 103,757
Chizi wewe, unaleta data za 2018napenda sana jinzi ninyi watanganyika mlivyo na imani na uzalendo sana kwa nchi yenu. ila jua tu ya kwamba, nchi flani kua na gdp mara mbili ya nyingine, isitaraji kuishida kwa basics kama stima, barabara, hospitali, elimu, financial sector, Agriculture, tourism, aviation, maritime, industries etc etc etc.......... sekta ambayo tz inaizidi kenya ni sekta ya madini tu...
hii hapa takwimu ya stima duaniani, toka reporting ya merikani in electricity production in Gigawatts
(however hard you try in almost all sectors, lakini bado kenya hamtaiweza..... kisa, huge gdp difference)
View attachment 2120158View attachment 2120161

, kwahiyo hata haukubali kwamba Kenya Inategemea chakula toka Tanzania kwasababu Kenya GDP ni kubwa?, Kwamba wakenya wanategemea Hospitali za Tanzania, kwamba Kenya imeshindwa kumalizia kipande cha SGR baada ya China kukataa kutoa pesa wakati Tanzania inatumia pesa yake kujenga sehemu kubwa ya SGR?


Because Kenya is not in the listthis pure scam!sababu burundi, nchi iliyo maskini zaidi duniani, ipo kwenye list




Sasa hivi tunawapita hiko ki $6b kwa mwezi. Mwamko mkubwa sana kulipa kodi sahivi. Watu hawataki shida na serikali. Nawapa miaka 3 tu!
Wapi kasema km ina muonekano mbayaSs unamkasirikia mkunya mwenzio baada ya kusema ukweli kwamba expressway ina muonekano mbaya![]()


Wakuu kusema ukweli hili shirika la Air Tanzania kwa ss linapiga kazi wacha mchezo, ndege zinazokwenda nje especially B787 Dream liner inajaa kinoma mfano jana tu iliyokwenda Mumbai ilikuwa iko vzr, hata ile ya Nairobi nayo imeanza kufanya vzr, achilia mbali domestic flights ambazo zinajaza mfano Airbus inayoelekea Mwanza ni kawaida kuwa full flight, hapo cjagusa Q400 ambazo ni kawaida kuwa full kwa safari zote za ndani ya nchi na nje, pia kuna ndege inayokwenda Hahaya kule Comoro huwa inajaa mpk juu, ndugu zetu wacoro huwa wana mizigo mingi sn mana hii ndio Dubai yao, I will be shocked nkisikia Atcl ime make big loss this year japo hata iki make loss itakuwa ndogo sn ila effect ya uchumi inayoletwa na hizi ndege ni kubwa sn.ndege mpya tano kuwasili mwaka huu






Lkn hizi ndege c zilishanunuliwa? Huyu anasemaje eti serkali kununua ndege tano mwaka huu, upumbavu wa kisiasa huu kumanina.ndege mpya tano kuwasili mwaka huu
Lkn hizi ndege c zilishanunuliwa? Huyu anasemaje eti serkali kununua ndege tano mwaka huu, upumbavu wa kisiasa huu kumanina.
Mana haiwezekani ununue ndege mwaka huu na ije mwaka huu alafu ndege kubwa labda uwe mtumba a.k.a used kama wanavyofanya wakunya. Ila kama ni advance payment zen tunamalizia tuchukue mwali wetu hapo sawa.advance payment ilikuwa tayar.. so anamaanisha kumalizia full payments










😪😪😪😪 iiiiiiiiiii...... poleni aky wadanganyika, mzidi tu kuji console woiyee..😪😪..Chizi wewe, unaleta data za 2018, kwahiyo hata haukubali kwamba Kenya Inategemea chakula toka Tanzania kwasababu Kenya GDP ni kubwa?, Kwamba wakenya wanategemea Hospitali za Tanzania, kwamba Kenya imeshindwa kumalizia kipande cha SGR baada ya China kukataa kutoa pesa wakati Tanzania inatumia pesa yake kujenga sehemu kubwa ya SGR?
![]()
























65 + 41 = 109 🤔🤔Kumbukumbu: Raisi Yoweri Museveni akiwa na mtoto wake Muhoozi Katika chuo cha ushirika Moshi Miaka ya 1970s
Huyu ndugu yetu hawezi kutusahau hata kidogo!
View attachment 2120262
wakenya ishawaingia hiindege mpya tano kuwasili mwaka huu