Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tafutaga Picha zingine
unatujazia Upuuzi huu huu jf
Kwani jf ni ya mamako? Mwambie aniban
tapatalk_1644678655234.jpg
 



Kshs 240 mln PAX Terminal expansion from capacity of 250,000 PAX per annum! 🤣🤣🤣
CC: Teargas


See the grammar of the company that is to oversee expansion!
 
Vipi mnachukia pale anapokamata Ng'ombe wanaoingizwa Tanzania bila kibali eti kwasababu tu wamasai wa Kenya na Tanzania ni ndugu?, Ina maana undugu unafuta Sheria za nchi?, Mbona zaidi ya Ng'ombe 3000 za Rwanda zilitaifishwa na hatukusikia Rwanda ikisema Magufuli anachukia Rwanda?, Vivyo hivyo kwa vifaranga?
Hao wakikuyu wenyewe wanawafanyiaga roho mbaya wakulima wa kichagga kwa mambo kama haya miaka nenda rudi sema wachagga sio watu wa kulalamika na vile wanaona hapa hatukufanya dili kwa kutumia vibali basi wanakaa kimya
 
Hao wakikuyu wenyewe wanawafanyiaga roho mbaya wakulima wa kichagga kwa mambo kama haya miaka nenda rudi sema wachagga sio watu wa kulalamika na vile wanaona hapa hatukufanya dili kwa kutumia vibali basi wanakaa kimya
Halafu ukikutana nao ni unafiki kwenda mbele tena ukabila wao upo wazi cha kwanza ni utaulizwa wewe ni kabila gani, then ukiwa si Mchagga utaskia wakibagua live wakijidai wao ni kama Wachagga! Utaskia sisi hufanyaga biashara na Wachagga na ukitaka kuwatumia jifanye Mchagga! Hawa jamaa ni wapuuzi sana!
 
Ikumbukwe Kenya ilifunga uchumi wake wakati TZ haijawahi kufunga uchumi wake. Halafu wajinga wanasema uchumi wa Kenya ni wa makaratasi.
Subiri nikueleweshe kidogo bro, mapato ya kodi kuwa chini hapa Tz haitokani na uzalishaji kuwa chini, lahasha! Ispokuwa inatokana na mifumo mibuvu ya ukusanyaji kodi na mengi kati ya makampuni kutolipa au kukwepa kodi,na ndio maana Magufuli alileta mfumo wa ukusanyaji kodi kwa kutumia vikosi kazi (task force), mf Bakresa mwenyewe alikua halipi kodi kabisa, kuna makampuni ya uchimbaji madini yalisamehewa kodi milele na kampuni nyingi tu. Ila mama alivyoingia madarakani alijitia umbea kuondoa tasks force) na ndio maana makusanyo ya kodi yanashuka zaidi, ila upo uwezekano mkubwa mno kwamba sisi tunazalisha kuwazidi hata mara mbili, huu ni ukweli ambao kila mtanzania anaujua haswaa wapinzani wa serikali
 
Back
Top Bottom