Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mm bado nashindwa kuelewa, nauliza tena wakuu zile train tulizokuwa tunaambiwa na kina kadogosa kwamba ni double decker cjui units cjui nininini... ndo haziji bali inakuja mitungi au? Mana nataka nijue ili tusichekane na hawa wakunya kwamba tujue wao wana mitungi ya chang'aa na cc tuna mitungi ya komoni basiiii.
Ni miguu utakuja tu utupigie utuambie pole maisha iendelee
 
Unapozungumzia native hata wewe inawezakua sio native. Mfano kwa TZ native ni Hardzabe, wasandawe na makonde. Hawa wengine kama wachagga, wamasai, wairaq, mbulu n.k wametokea Horn of Africa. Sukuma, Nyakyusa, Hehe, n.k West Africa. Ngoni South Africa. Acha ubaguzi dogo
Umemaliza asipoelewa hapo basi
 
haya kumekucha.. vitu vibaya lawama zote kwa Magu vitu vizur sifa kwa Mama

unakumbuka hii? ipo kwenye thread yako Cost & Comparison.. niliamua kukaa kimya mana nilijua “ukimya na muda” sikuzote zitaleta majibu
View attachment 2115349
tatizo mnakua wajuaji hata kwa vitu msivyo na utaalamu navyo.Tusubiri vitu vikifika na vianze hayo majaribio.Sote tunajua mzigo wenyewe upo Korea na kwenye behewa mzigo utaandaliwa na kampuni ya China.Nakumbuka hata kile kiberenge wanachotumia kiliangua siku moja maneno yakawa mengi na kila mtu anakua mtaalamu wakati hata baiskeli mtu hajua hata Nyororo inaungwaje ikikatika.
 
hili suala, viongozi waliopo saiz madarakani, mfano Msigwa, Dr Abbas, MD Kadogosa, Waziri Prof Mbarawa wote wajiuzuru wamedanganya umma wanaleta sijui za ujeruman sijui za wap, kumbe hizi OBB
kwanza kwanin hawakuonyesha hata tukio la kusain mkataba.. watanzania tujifunze kuhoji! mikataba yote mingine tunaona events zao, kwann hili la hizi vichwa viwili hatujaviona
wamedanganya wapi mkuu?Tatizo tunataka kujifanya tunajua wakati tuanyoyajua ni stori za vijiweni.
 
Kwenye hili suala la hii mitungi kutoka Austria naona wakunya wamekaa kimya wametuacha watu tunaostahili kuwa na treni za umeme tuongee, safi sn wakenya nawapongeza kwa hili mana nyie hamjui lolote kuhusu treni za umeme so ningeshangaa mngeanza kuchangia vitu ambavyo hamvijui na wala hamna ndoto ya kumiliki.
 
hivyo vya Hyundai Rotem tuliambiwa vitakuja nadhan 2024.. sasa reli inakamilika mwaka huu.. so vitakaa visubirie hivyo vya 2024.. pia, ishu yangu nyingine ni ule mkataba wa kwanza umesainiwa na nan, lin, na wap? kwann wanaficha!
nani kakwambia Reli inakamilika mwaka huu mkuu.Morogoro sio mwisho wa Reli mkuu
 
wewe unataka data gani kuhusu hizo locomotives wakati kila kitu kipo online! kama TRC wamenunua basi tumepigwa! Huo ndo ukweli!
haya tuseme wamenunua kwanini usisubiri vifike then tujue matumizi yake.Hatuko kwenye giza we have seen the signing of two contracts.Rotem and CRCR na serikali imekua clear kabisa kuwa kutakua na tren za majaribio kabla ya treni mahususi.Kwa akili yako ya kawaida unaweza kufanya majaribio kwa kutumia kitu kipya kabisa au utatumia kitu ambacho utakinunua kwa bei ndogo kabisa ili ujue strength and weakness za infrastructure yako?
 
haya tuseme wamenunua kwanini usisubiri vifike then tujue matumizi yake.Hatuko kwenye giza we have seen the signing of two contracts.Rotem and CRCR na serikali imekua clear kabisa kuwa kutakua na tren za majaribio kabla ya treni mahususi.Kwa akili yako ya kawaida unaweza kufanya majaribio kwa kutumia kitu kipya kabisa au utatumia kitu ambacho utakinunua kwa bei ndogo kabisa ili ujue strength and weakness za infrastructure yako?
Peleka ujinga! Kwani majaribio ya njia ya reli inafanyika Tanzania mara ya kwanza duniani hapa Tanzania isijulikane yanafanyika vp? Na kwanza hamna aliyesema certain kwamba vimenunuliwa na nani! Mimi binafsi nimetaka kujua nani kanunua hivyo vichwa vichakavu kati ya TRC na Yapi merkezi! Kama Yepi Merkezi naweza kuwaelewa ila si TRC!
 
Back
Top Bottom