Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata kama bei ni cheap labda why procure used equipment for trial runs? Kwani sheria ya manunuzi inasemaje kuhusu procurement of used equipment.
Mkuu nakushangaa umeng'ang'ania ni vichwa vya trial runs, ngoje nikupe uelewa kidogo.

1.
Trial runs kwa mkandarasi hakihitaji trc au waziri asaini mkataba ndio kije, maana hiyo ni mali ya mkandarasi.

2.
Trial runs ya TRC watatumia trains zenyewe kabisa tofauti haitabeba abiria, huwezi kufanya trial runs na kitu tofauti na utakachotumia.
 
Mkuu nakushangaa umeng'ang'ania ni vichwa vya trial runs, ngoje nikupe uelewa kidogo.

1.
Trial runs kwa mkandarasi hakihitaji trc au waziri asaini mkataba ndio kije, maana hiyo ni mali ya mkandarasi.

2.
Trial runs ya TRC watatumia trains zenyewe kabisa tofauti haitabeba abiria, huwezi kufanya trial runs na kitu tofauti na utakachotumia.
Kwaiyo ni upigajii umefanyika chini ya maza au marehemu🤔
 
Mkuu nakushangaa umeng'ang'ania ni vichwa vya trial runs, ngoje nikupe uelewa kidogo.

1.
Trial runs kwa mkandarasi hakihitaji trc au waziri asaini mkataba ndio kije, maana hiyo ni mali ya mkandarasi.

2.
Trial runs ya TRC watatumia trains zenyewe kabisa tofauti haitabeba abiria, huwezi kufanya trial runs na kitu tofauti na utakachotumia.
Mm bado nashindwa kuelewa, nauliza tena wakuu zile train tulizokuwa tunaambiwa na kina kadogosa kwamba ni double decker cjui units cjui nininini... ndo haziji bali inakuja mitungi au? Mana nataka nijue ili tusichekane na hawa wakunya kwamba tujue wao wana mitungi ya chang'aa na cc tuna mitungi ya komoni basiiii.
 
Lakini pamoja na hayo yooote hivi vichwa bado ni modern in comparison to our swahibas they are set to run at 175km/hr, 4559HP
Hamna cha icho mzee hapa kuna watu washapiga hela we fikiria 2018 viliuzwa kwa 15000 from its original price ya 4m sasa sisi bongo tutakua tumevinunua kwa sh ngapi dola Mia au tumepewa bure 🤔 hapa kuna watu wamepiga hela ndefuu sanaa aisee inasikitisha
 
Mkuu nakushangaa umeng'ang'ania ni vichwa vya trial runs, ngoje nikupe uelewa kidogo.

1.
Trial runs kwa mkandarasi hakihitaji trc au waziri asaini mkataba ndio kije, maana hiyo ni mali ya mkandarasi.

2.
Trial runs ya TRC watatumia trains zenyewe kabisa tofauti haitabeba abiria, huwezi kufanya trial runs na kitu tofauti na utakachotumia.
Sisi tuna mkataba na South Korea.
 
Eastleigh ndio largest shopping area in Kenya by area and by value na Eastleigh yote ni Mali binafsi ya msomali, you can't change it 😑
Where did you read this bongolal? Can you substantiate your point?
 
haya kumekucha.. vitu vibaya lawama zote kwa Magu vitu vizur sifa kwa Mama

unakumbuka hii? ipo kwenye thread yako Cost & Comparison.. niliamua kukaa kimya mana nilijua “ukimya na muda” sikuzote zitaleta majibu
View attachment 2115349
Kuna watu wanataka sana iwe hovyo ili Magu alaumiwe!

hivyo ni vya trial, sisi tuna mkataba na Hyundai Rotem.
 
Screenshot_20220210-225049.png

Arusha
 
Back
Top Bottom