Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,907
- 103,771
Wale waliokua wakitamani huyu mwamba afungwe jela leo jeshi limempost 👇
Hiyo page si credible!
Wale waliokua wakitamani huyu mwamba afungwe jela leo jeshi limempost 👇
your dodoma currently has no interchange......what a poor country. Poleni tanganyikansKenya mna road Kama ile inayojengwa Dodoma? Tangu lini mkajenga vitu standard nyie zaidi ya kufosi mambo? Mlipoona tumejenga 3level ya kwanza East and Central Africa na nyie mkaiga kuilazimisha expressway ipite maneno hata yasiyo lazima mradi tu na nyie mpate 3level![]()
kujenga maduara duara ya siyo na maana ndiyo urich ,kweli we kiazi
Haya Makenya ni majinga sn huwa yanajenga vitu low quality kwa ajili ya show off na co kwa ajili ya mahitaji Kama cc tunavyofanya na ndio maana mpk leo yanahangaika na njaa kwa kupenda sifa za kijinga, hayo maduara wala hayana faida kwao c unaona road iko empty hyo.UNAONGEA UTUMBO
nothing kamanda hakuna chamaana mnachofanya zaidi ya ushamba na matumizi mabaya ya pesa,
kwani bila hayo maduara duara ya siyo na maana hamuwezi kujenga road na car zikapita kuelekea otherside of town au ni ushamba tu na matumizi mabovu ya pesa,ingekuwa ni hivyo basi katika kila nchi kwenye hii dunia ingejenga hiyo miduara isiyo na faida ili cars ziende town na otherside,
huna akili kichwa chako box
hii ni nini sasa huko vichakani
View attachment 2115785
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
we unaonaje,Mr engeneerare you a civil engineer.!?. kwanza wee uli utimu ata kudato cha nne?
Huo ni uchawi wa wanasiasa wa Kenya ku justify matumizi ya hela kwa mazuzu kama hawa maana wanawajua ni washamba na wanapenda sifa na vitu vya kizungu. Kura kama zote![]()


kabisa na tatizo lao kuna vitu wanajenga for nothing yaani havina mantiki
kabisa ni wapuuzi sanaHaya Makenya ni majinga sn huwa yanajenga vitu low quality kwa ajili ya show off na co kwa ajili ya mahitaji Kama cc tunavyofanya na ndio maana mpk leo yanahangaika na njaa kwa kupenda sifa za kijinga, hayo maduara wala hayana faida kwao c unaona road iko empty hyo.
Hapo utakuta yamejenga hivyo ili pafanane na road fulani na kwa bahati mby huwa yanaishia kupigwa kama unavyoona hapo kwenye picha ni matuta mengi na vumbi, na ndiyo maana yanaona wivu tunapojenga infrastructure zetu za kiwango cz cc hatukurupuki Kama wao na hatujengi kwa kujionesha bali kwa uhitaji lkn vitu quality.
Hata expressway wameipitisha sehemu zingine zisizo stahili mradi tu na wao wawe na 3level Kama Tz lkn mwisho wa siku wanaambulia vitu ugly.
Parefu sana hapo ni zaidi ya kilomita 100
Kama itawezekana wafanye hivyo wasije wakainajisi SGR yetu bora Africa kwa kupitisha mtungi kabla ya EMU.Inawezekana, haya makubaliano yalivunjwa au , waliona bomu lausonlinakuja wamevificha kwanza wagize uko german then badae kukiw attation imepungua ndio wavilete
msipende kuongea sana wakati hamna dataaisee hili ni bomu linakuja nimejaribu ku-research tayari hii model 1014 ni ya mwaka 1993 na 1994 na ilikuwa retired na Ă–BB tangu 2009 na kampuni inaitwa Zeller Transport Technique (ZTT) ilizinunua kabla ya kufilisika! Kiufupi ni scrap! Inawezekana haya ni madudu ya Mawaziri waliopita ndo maana mama aliwapangua!
wish u only knew tht here in kenya we are very ignorant and very much less concern whts happening down there. a good no. of kenyans didn't even knew the late magaful! and so on... if you don't believe me now, you ll believe me laterKenya mna road Kama ile inayojengwa Dodoma? Tangu lini mkajenga vitu standard nyie zaidi ya kufosi mambo? Mlipoona tumejenga 3level ya kwanza East and Central Africa na nyie mkaiga kuilazimisha expressway ipite maneno hata yasiyo lazima mradi tu na nyie mpate 3level🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unaongea lugha chafu chafu asubuhi mpk usiku, hujui kingereza wala kiswahili, hukwenda shule?wish u only tht here in kenya we are very ignorant and very much less concern whts happening down there. a good no. of kenyans didn't even knew the late magaful! and so on... if you don't believe me now, you ll believe me later
bila kuongea hawa TRC watatuletea madudu maana hadi leo hawaeleweki,mi binafsi nishawatag kule twitter na nimeiacha isambae tu ili wajue kuwa kila kinachofanyika kwa hii project ya SGR kuna wazalendo nyuma tunafuatilia kila hatua na si kwa SGR peke yake bali kwa miradi yote yakimaendeleomsipende kuongea sana wakati hamna data
wewe unataka data gani kuhusu hizo locomotives wakati kila kitu kipo online! kama TRC wamenunua basi tumepigwa! Huo ndo ukweli!msipende kuongea sana wakati hamna data
Saa yoyote tawi linafunguliwaMzee umesahau kuna mradi wa MGR na SGR kwenda Karema port pia! Ila CRDB wanani-bore kusema kweli mbona wanauweka usiku kuingia DRC? Ile faida waliyopata si waongee na wenye hisa wafungue branches eastern DRC na Kinshasa!?