dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
yani hako kamoja tu ka dodoma, kanafanya mat*ko kulia mbwata! 💣💣💥Hizi ulizo post ni 3 tier interchange?
nb:- we have 100+ nationally
yani hako kamoja tu ka dodoma, kanafanya mat*ko kulia mbwata! 💣💣💥Hizi ulizo post ni 3 tier interchange?
Sio wewe ulikua ukisema JPM hajajenga barabara kabisa wakati kwenye mikoa ya ziwa Tanganyika kuna ujenzi wa zaidi ya kilometers 600 za lami unaendelea.Hapa sasa wamenikosha,huu ujenzi uanze hapo Mpanda to Karema port na Namanyere/Nkasi to Kipili port
Hivi vichwa haviwezi kuwa vilinunuliwa enzi za JPM zaidi ya mwaka mmoja nyuma vifike leo wakati ni used scraps, lazima vingeshakua vimefika tayari siku nyingi hii ni procurement ya Samiaaisee hili ni bomu linakuja nimejaribu ku-research tayari hii model 1014 ni ya mwaka 1993 na 1994 na ilikuwa retired na ÖBB tangu 2009 na kampuni inaitwa Zeller Transport Technique (ZTT) ilizinunua kabla ya kufilisika! Kiufupi ni scrap! Inawezekana haya ni madudu ya Mawaziri waliopita ndo maana mama aliwapangua!
Ila kama ni hivyo vya Tar 17 vinaingia vichwa vya Yapi Merkezi! Tusije kulaumu TRC bure!
BTW mkumbuke JPM aliondoka wizara ya Ujenzi na kashfa ya boti mbovu kutoka Bangladesh!
Hivi unajua maana ya Isliih? Eastleigh?Where did you read this bongolal? Can you substantiate your point?
Labda nikurekebishe kidogo trial runs hufanyika hata na passengers on board. Kuna different levels of trials.Mkuu nakushangaa umeng'ang'ania ni vichwa vya trial runs, ngoje nikupe uelewa kidogo.
1.
Trial runs kwa mkandarasi hakihitaji trc au waziri asaini mkataba ndio kije, maana hiyo ni mali ya mkandarasi.
2.
Trial runs ya TRC watatumia trains zenyewe kabisa tofauti haitabeba abiria, huwezi kufanya trial runs na kitu tofauti na utakachotumia.
Hivyo vichwa vilinunuliwa September 2021 as a matter of writting wakasema shipped to Tz but the difference in time inawezekana zilikuwa under refurbishment.Wikiwand
Sasa mbona hazijawasili tangu September?
Yap, na hakuna wa kuwajibishwa
Kuna port kama 3 hivi zinazoweza ku join na DRC ..Karema, Kasanga and Kigoma..after completion our focus should be adding many shipping..vessels as per demand...Update: Karema port
![]()
![]()
![]()
![]()
MY TAKE
Bring DRC Congo on!
hii ndiyo maana ya failed state, nyangau hawajielewi mpka kaburin, SHITHOLE COUNTRYAlafu watu wanajitamba wanagdp kubwa ata Burundi wenyeww wenye gdp ndogo hawana izi aibu ndogondogo
Wikiwand
Sasa mbona hazijawasili tangu September?
Lack of exposure is the major problem for these tanzanians....... vitu zile basic sana wanapigia kelele inatia aibu kwaoyani hako kamoja tu ka dodoma, kanakufanya mat*ko kulia mbwata!
nb:- we have 100+ nationally
Kuna Mikataba mitatu so far nnayojua kuhsu electric locomotives na mabehewaMm bado nashindwa kuelewa, nauliza tena wakuu zile train tulizokuwa tunaambiwa na kina kadogosa kwamba ni double decker cjui units cjui nininini... ndo haziji bali inakuja mitungi au? Mana nataka nijue ili tusichekane na hawa wakunya kwamba tujue wao wana mitungi ya chang'aa na cc tuna mitungi ya komoni basiiii.
Mm bado nashindwa kuelewa, nauliza tena wakuu zile train tulizokuwa tunaambiwa na kina kadogosa kwamba ni double decker cjui units cjui nininini... ndo haziji bali inakuja mitungi au? Mana nataka nijue ili tusichekane na hawa wakunya kwamba tujue wao wana mitungi ya chang'aa na cc tuna mitungi ya komoni basiiii.













Kuna port kama 3 hivi zinazoweza ku join na DRC ..Karema, Kasanga and Kigoma..after completion our focus should be adding many shipping..vessels as per demand...
And kuhakikisha Reli imefika kigoma na karema port ..tukishashika Transport ya Eastern DRC yote...
NMB na CRDB waingie sasa Congo...
Hata ningekuwa GOT ningestudy telecommunication ya Congo...kisha kufikiria kupeleka Mkongo wa mtandao kama hawana..plus TTCL kuanzisha mtandao kule ...
Hii ndo itafanya tu benefit na uchumi mkubwa wa DRC

Ila CRDB waende sasa tayari biashara inafanyika! Overy 55% of eastern DRC cargo inapitia Dar port! No excuses for further delays!Kuna port kama 3 hivi zinazoweza ku join na DRC ..Karema, Kasanga and Kigoma..after completion our focus should be adding many shipping..vessels as per demand...
And kuhakikisha Reli imefika kigoma na karema port ..tukishashika Transport ya Eastern DRC yote...
NMB na CRDB waingie sasa Congo...
Hata ningekuwa GOT ningestudy telecommunication ya Congo...kisha kufikiria kupeleka Mkongo wa mtandao kama hawana..plus TTCL kuanzisha mtandao kule ...
Hii ndo itafanya tu benefit na uchumi mkubwa wa DRC