Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

haya kumekucha.. vitu vibaya lawama zote kwa Magu vitu vizur sifa kwa Mama

unakumbuka hii? niliamua kukaa kimya mana nilijua “ukimya na muda” sikuzote zitaleta majibu
View attachment 2115349
Hivi vichwa vimenunuliwa September 2021 from Austria ila kabla ya hapo walishasema wameorder electric locomotives from Germany maybe hizo za Germany ni nyingine hivi ni vya trial lets wait and see.
 
bila shaka ndo hiv vichwa viwili ambayo mkataba wake haujawekwa ulisainiwa lini, wap n akina nan tusubir April..
zikiwa tofauti njoeni mnipige mawe .. napatikana masaki sandvik st au regent st mikochen

View attachment 2115336
View attachment 2115337
View attachment 2115338

Kwenye pitapita zangu nikakutana na hii.

''After the bankruptcy of Zeller Transport Technik, four locomotives were sold to Tanzania Railways Limited and shipped to Tanzania in september 2021.''
 
Kwenye pitapita zangu nikakutana na hii.

''After the bankruptcy of Zeller Transport Technik, four locomotives were sold to Tanzania Railways Limited and shipped to Tanzania in september 2021.''

ebu lete link.. mim hii kitu nilijua mapema.. mkataba hatujawah kuuona au kutangazwa.. nilipokuwa nahoji watu walisema nina muhemuko
 
ebu lete link.. mim hii kitu nilijua mapema.. mkataba hatujawah kuuona au kutangazwa.. nilipokuwa nahoji watu walisema nina muhemuko

 
Ila kama ni hivyo vya Tar 17 vinaingia vichwa vya Yapi Merkezi! Tusije kulaumu TRC bure!
BTW mkumbuke JPM aliondoka wizara ya Ujenzi na kashfa ya boti mbovu kutoka Bangladesh!


 
Ila kama ni hivyo vya Tar 17 vinaingia vichwa vya Yapi Merkezi! Tusije kulaumu TRC bure!
BTW mkumbuke JPM aliondoka wizara ya Ujenzi na kashfa ya boti mbovu kutoka Bangladesh!

ona sasa unaleta hadi habari za boti.. ungelala tu mzee, habari za jpm achana nazo... naona sasa lawama zote kwa magu sijui kwann nacheka sana
 


IMG_4638.jpg
 
hili suala, viongozi waliopo saiz madarakani, mfano Msigwa, Dr Abbas, MD Kadogosa, Waziri Prof Mbarawa wote wajiuzuru wamedanganya umma wanaleta sijui za ujeruman sijui za wap, kumbe hizi OBB
kwanza kwanin hawakuonyesha hata tukio la kusain mkataba.. watanzania tujifunze kuhoji! mikataba yote mingine tunaona events zao, kwann hili la hizi vichwa viwili hatujaviona
 
hili suala, viongozi waliopo saiz madarakani, mfano Msigwa, Dr Abbas, MD Kadogosa, Waziri Prof Mbarawa wote wajiuzuru wamedanganya umma wanaleta sijui za ujeruman sijui za wap, kumbe hizi OBB
kwanza kwanin hawakuonyesha hata tukio la kusain mkataba.. watanzania tujifunze kuhoji! mikataba yote mingine tunaona events zao, kwann hili la hizi vichwa viwili hatujaviona
Lakini pamoja na hayo yooote hivi vichwa bado ni modern in comparison to our swahibas they are set to run at 175km/hr, 4559HP
 
Back
Top Bottom