Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The second deepest...
labda wajenge floating bridge! Na ni lazma DRC wahusike maana ni transboundary lake! So far ni muhimu kuwa realistic na kuweka nguvu kujenga locomotive ferries kama nane hivi (rough estimates at a budget of around $300 mln) maana daraja across the lake sidhani kama litakuwa chini ya $5 bln maana Lake Tanganyika depth ni around 1.5 km!
 
Ile cku Kenya itapata 3level interchange kama ya Ubungo au kama hii ya Dodoma ndiyo cku naachana na hii battle

Hili dude bhn hata Kama linavuta double decker lkn silo tulilokubaliana.
Ya dodoma tayari mnatembelea nyota ya wakenya
 
Hivi hatuwezi kupiga daraja toka Karema mpaka Kalemie DRC tuiunganishe kabisa DRC na reli na Barabara?
Karema.png
 
Mm bado nashindwa kuelewa, nauliza tena wakuu zile train tulizokuwa tunaambiwa na kina kadogosa kwamba ni double decker cjui units cjui nininini... ndo haziji bali inakuja mitungi au? Mana nataka nijue ili tusichekane na hawa wakunya kwamba tujue wao wana mitungi ya chang'aa na cc tuna mitungi ya komoni basiiii.
Daah
 
sorry my friend... if you see an interchange in a vegetated area, it means a bypass!, you need not drive thru the city centre to get to the otherside of town if you don't have any business inside the town!.. everything has a purpose here..
UNAONGEA UTUMBO

nothing kamanda hakuna chamaana mnachofanya zaidi ya ushamba na matumizi mabaya ya pesa,
kwani bila hayo maduara duara ya siyo na maana hamuwezi kujenga road na car zikapita kuelekea otherside of town au ni ushamba tu na matumizi mabovu ya pesa,ingekuwa ni hivyo basi katika kila nchi kwenye hii dunia ingejenga hiyo miduara isiyo na faida ili cars ziende town na otherside,

huna akili kichwa chako box
hii ni nini sasa huko vichakani
images.jpg


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
UNAONGEA UTUMBO

nothing kamanda hakuna chamaana mnachofanya zaidi ya ushamba na matumizi mabaya ya pesa,
kwani bila hayo maduara duara ya siyo na maana hamuwezi kujenga road na car zikapita kuelekea otherside of town au ni ushamba tu na matumizi mabovu ya pesa,ingekuwa ni hivyo basi katika kila nchi kwenye hii dunia ingejenga hiyo miduara isiyo na faida ili cars ziende town na otherside,

huna akili kichwa chako box
hii ni nini sasa huko vichakani
View attachment 2115785

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
1644568185891.png


1644568264512.png
 
Back
Top Bottom