Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Waarabu sio watu mzee? Ubaguzi umewaathiri sana
Nani kasema sii watu? Mnakuwanga na uelewa finyu. Shida ipo pale 70% ya utajiri wa nchi ya watu milion 60 ipo mikononi mwa watu laki 1 ambao sio natives wa nchi. Inaonyesha kuna kasoro kwa nchi ambayo imepuuzwa. Mjiangalie.
 
hii 150, ni 3000 Tsh kwa bongo
BRT ya kuungaunga afu wanalipishwa parefu



for their information, sisi tunaweza kulipa 650 Tsh (32 Ksh) kutoka Mbezi hadi Gerezan, over 22 km

Hiyo mbona ya test runs bei kamili bado haijatangazwa!
 
Nani kasema sii watu? Mnakuwanga na uelewa finyu. Shida ipo pale 70% ya utajiri wa nchi ya watu milion 60 ipo mikononi mwa watu laki 1 ambao sio natives wa nchi. Inaonyesha kuna kasoro kwa nchi ambayo imepuuzwa. Mjiangalie.
Kuwa Native lazima uwe black sio? Ungejua kuna waarabu ambao hawana trace zozote na nchi za Arabuni usingeongea, juu hapo umeambiwa Tabora na maeneo mengine mengi utakutana na waarabu ambao hata lugha ya kiarabu hawaijui... Huku kwetu wote ni Watanzania kazi ni huko kwenu.
 
Kuwa Native lazima uwe black sio? Ungejua kuna waarabu ambao hawana trace zozote na nchi za Arabuni usingeongea, juu hapo umeambiwa Tabora na maeneo mengine mengi utakutana na waarabu ambao hata lugha ya kiarabu hawaijui... Huku kwetu wote ni Watanzania kazi ni huko kwenu.
Nadhani unaelewa maana ya neno native. Siitaji kukueleza hilo na nadhani unaelewa nani natives wa Tanzania. Anyway, native or not, 100k people shouldn't be holding 60% of your economy.
 
Kuwa Native lazima uwe black sio? Ungejua kuna waarabu ambao hawana trace zozote na nchi za Arabuni usingeongea, juu hapo umeambiwa Tabora na maeneo mengine mengi utakutana na waarabu ambao hata lugha ya kiarabu hawaijui... Huku kwetu wote ni Watanzania kazi ni huko kwenu.

Tukiwatwanga hawa wakunya kuna wajinga wanajitokeza kuwatetea.
 
Nadhani unaelewa maana ya neno native. Siitaji kukueleza hilo na nadhani unaelewa nani natives wa Tanzania. Anyway, native or not, 100k people shouldn't be holding 60% of your economy.
Mzee mbona unaweweseka sana baada ya kuona namna Mzungu anavyomiliki zile hospitals zenu zote? Aga khan hospitals bado hatujaijumuisha

Eti 100k people holding our economy? 🤔

GDP ya Tanzania inaongozwa na kilimo na madini vyote hivyo ni Watanzania wanaongoza kwenye uzalishaji na ndio maana sisi ni number one most inclusive economy in Africa

Kunyaland kilimo ndio kinachangia GDP kubwa na kilimo chenyewe ni cha chai na maua na vyote hivyo ni Mali ya Mzungu

Bado sijaja kwa wamiliki wa majengo yote marefu kunyaland na industries

Bado sijaja kwenye barabara sababu mpaka barabara zenu zinamilikiwa na foreigners 🤣🤣🤣
 
Update: Karema port



FLQL9pCXMAo-2me



FLQMCDYWQAYClhr



FLQMD-EXsAYKKwH



FLQMH_tX0AgCxFL



MY TAKE
Bring DRC Congo on!

 
Naona hata ni bora kuliko Dodoma
For instance this is Dodoma 👇 t
Screenshot_20220128-020402_2.jpg
Screenshot_20220128-020710_1.jpg
Screenshot_20220128-020559_1.jpg
Screenshot_20220125-235414_1.jpg
J122-01-26.jpg
View attachment 2115230
FD65T6DWYAIJ2DJ.jpg
FD65UVxXwAQotit.jpg
Screenshot_20220124-121534_Instagram.jpg
DODOMA.jpg
EqfRwDhXYAAEI0L.jpg
JENGO.jpg
ifike mahala mtuheshimu bandugu hizi ni dharau 👇
Screenshot_20220210-212025_1.jpg
msilinganishe vijijini naDom please.. Dom is on it's way to join the league of Dar es Salaam and NAIROBI.. it will soon be on top three list of the most developed and beautiful EA's cities
 
Back
Top Bottom