Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwone mwehu anasema Rostam Aziz ni Mwafrika Mweusi. 🤣🤣🤣

View attachment 2113246
Huko Tabora wapo waarabu tofauti kidogo na waarabu wengine wa maeneo mengine ya Tanzania, waarabu wa huko wanaongea kinyamwezi typically na wengi wao hawana trace yoyote ya ndugu zao huko uarabuni, % zaidi ya 90 sio waarabu purely bali ni machotara na hata lugha ya kiarabu wengi wao hawajui kabisa

Wanaishi maisha ya kawaida kabisa kama Watanzania wa kawaida vijijini

Screenshot_20220208-233438.png
 
Huko Tabora wapo waarabu tofauti kidogo na waarabu wengine wa maeneo mengine ya Tanzania, waarabu wa huko wanaongea kinyamwezi typically na wengi wao hawana trace yoyote ya ndugu zao huko uarabuni, % zaidi ya 90 sio waarabu purely bali ni machotara na hata lugha ya kiarabu wengi wao hawajui kabisa

Wanaishi maisha ya kawaida kabisa kama Watanzania wa kawaida vijijini

View attachment 2113249
Yani nyinyi ni wajinga heri mbwa. Yani Mwarabu akizaliwa Tanzania atabadilika asiwe Mwarabu? Hizo hadithi njoo pelekea Paukwa Pakawa boss, hata huku Kenya Waarabu wazawa wapo lakini ni Waarabu bado. Ng'ang'aneni muache kutawaliwa na waarabu.🚮🚮
 
Yani nyinyi ni wajinga heri mbwa. Yani Mwarabu akizaliwa Tanzania atabadilika asiwe Mwarabu? Hizo hadithi njoo pelekea Paukwa Pakawa boss, hata huku Kenya Waarabu wazawa wapo lakini ni Waarabu bado. Ng'ang'aneni muache kutawaliwa na waarabu.🚮🚮
Aliesema hawaitwi waarabu nani? 😅😅😅

Mbona unapaniki?
Na mbona huwasemi Wasomali walioikamata Kenya yote kwamba sio wakenya? Sio ninyi mnaosema Wasomali ni 4th largest tribe of kunyaland?

Lakini wenyewe hawaitambui kunyaland pamoja na kwamba wao ndio wenye uchumi wenu wote 🤣🤣🤣🤣

images (38).jpeg
 
Kenya, Uganda na South Sudan, mpo karibu Sana na IKWETA, ndio sababu ngozi zenu ni nyeusi Kama crude oil, sisi ni tofauti kidogo, hatufanani msilazimishe
Ethiopia na somalia vipi, we jamaa kumbe bwege sana
Yani kutokua kwenye equator lkn bado mna idadi kubwa sana ya watu wanaojichubua kw hapa EA..

Mikorogo EA soko kubwa lipo tz
 
Aliesema hawaitwi waarabu nani? 😅😅😅

Mbona unapaniki?
Na mbona huwasemi Wasomali walioikamata Kenya yote kwamba sio wakenya? Sio ninyi mnaosema Wasomali ni 4th largest tribe of kunyaland?

Lakini wenyewe hawaitambui kunyaland pamoja na kwamba wao ndio wenye uchumi wenu wote 🤣🤣🤣🤣

View attachment 2113265
Somalis are natives, Arabs are not. They also don't own that much as you think.
 
Wacha kukimbia ukweli, Je Ethiopians sio waafrika?, Waafrika ni weusi lakini sio Kama ninyi hapo karibu na IKWETA, weusi wenu umepitiliza hadi sisi waafrika wengine tunawaogopa
Colorism si kitu cha kujivunia! Kuwa na aibu! Tanzania ina watu wengi tu wenye darker skinned tone, na haimaanishi kuwa wakenya wenye rangi nyeusi ni wanyama au ni wabaya kwasababu ya rangi yao! Umekuwa-brainwashed kufikiri kuwa lighter skin tones are the true standard of beauty. Ni uongo! Hata watu wenye darker skin tones ni wazuri pia! Kwa hili umekosea!
 
Hauwezi Kuta light skin Kenya labda Kama wamechanganya na waarabu au watanzania Kama kule pwani ya Kenya. Sababu Moja ya mademu wa Kenya kuwapapatikia watanzania ni pamoja na hiyo ya kupunguza weusi kwa watoto, Ninyi ni weusi kupitiliza, huo weusi wenu sio uafrika, huo ni Ugonjwa.

Ubaguzi wa rangi Kwa waafrika wenzako ni ushenzi wa kupitiliza! Hata kama Wewe ni light skin, kuna uwezekano mkubwa tu ancestry yako kuna mtu ana dark skin! Na kama hujui science naomba nikueleweshe tu kuwa kupata mtoto mweupe huhitaji kuwa na partner mwenye ngozi nyeupe! Parents wenye ngozi nyeusi wanaweza kuwa na recessive genes za ngozi nyeupe na zinaweza kuwa expressed na kuwa dominant Kwa watoto wanaowazaa!

Ndio Maana kuna stories za Wazazi waafrika kuzaa watoto wenye features za wazungu, ngozi nyeupe na hata blonde hair!

Mnasema wakenya wana ukabila huku ninyi ni wabaguzi wa rangi! You’re not any better!

Kinachonikera ni kujenga standards za urembo za kipumbavu! Ndio nyie mnaowafanya wadada kutokujikubali na kuanza ku-bleach ngozi zao, wakiamini kuwa sio warembo unless ni weupe! Shame on you! You’re uneducated and stupid! Go fix your brain!
 
Back
Top Bottom