Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



nairobae ni wiki ya ngapi hii familia ipo Tanzania? kshasahau kitu kinaitwa Kunyalnd! na hapo last leg Zanzibar Island bado! hebuu soma nambaa...!


MY TAKE
ATCL iangalie how inaweza ku-capitalize na hili imagine the day Air Tanzania inakuwa na direct flights to the US! Yajayo yanafurahisha...
Hii direct flight to the US should be a big priority. Yani wangeweza anza huko kabla ya hata ulaya. Demand ni kubwa sasa. Tena waende DULLS au hata ATLANTA.
 
Huu mtungi ni wa karne
emoji116.png
emoji116.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
View attachment 2103261
Nahisi kuna makosa huu matungi ulikuwa unasafirihwa kwenda nchi ya kenya kwani aina hii ndio wanazotumia
 
Sasa sindiyo alivyo fanya JPM nyinyi wanuka kinyesi mkamkashifu humu au unadhani tumesahau
Kwenda huko ,angefanya hivyo sabaya asingekuwa kortini saizi wala makonda asingekuwa anashitakiwa..

Mwendazake alikuwa mporaji na mbambikia watu kesi Ili awapore pesa.Task force ya Sasa inatoa elimu na kufuatilia wakwepa Kodi..
 
Mabenk mengi madogo yaliokua yakitengeneza hasara Magufuli aliyaunganisha na haya ndio matunda yake, mengi saivi yanafanya biashara kubwa na faida kubwa kuliko awali, mama yako mtoe hapo




Eti aliyaunganisha 😀😀,yalijisalikisha kwa mabenki makubwa,mbona saizi hayaunganishwi na faida yanapata..

Kwa uchumi gani huo wa Mwendazake wa kupora watu pesa na kuulizwa ulikotoa kampuni zingepata pesa? Hata wakopeshaji binafsi waliongezewa masharti lukuki hadi wakapotea...

Mwendazake alijua kuswaga watu wajinga ila kwenye mambo ya uchumi alikuwa mweupe kama puto kajaa vacuum tuu.
 
Lini rushwa iliwahi Isha? Si afadhari rushwa kuliko kupora? Ukitakiwa kulipa faini mil.3,,ukalipa mil.1 afu ukawapa laki 5 TRA kuna shida gani hapo?

Huoni bila hivyo pesa yote ingepotea na hiyo rushwa ndio inawamotovate wana taskforce kupiga Kazi..

Mwendazake alianzisha mahakama ya mafisadi Kuna fisadi Hata 1 uliwahi kumuaona kizimbani? 😃😃😃😃..

Aliioshia kusingizia kesi wale maadui zake na kunegotiate walipe pesa,kwamba alihalalisha kununua haki kwa wenye pesa 😝😝
Mbona kuna kijana huko Mtwara kaporwa million 70 na police kisha kauawa nae katumwa na Samia?
 
Eti aliyaunganisha 😀😀,yalijisalikisha kwa mabenki makubwa,mbona saizi hayaunganishwi na faida yanapata..

Kwa uchumi gani huo wa Mwendazake wa kupora watu pesa na kuulizwa ulikotoa kampuni zingepata pesa? Hata wakopeshaji binafsi waliongezewa masharti lukuki hadi wakapotea...

Mwendazake alijua kuswaga watu wajinga ila kwenye mambo ya uchumi alikuwa mweupe kama puto kajaa vacuum tuu.
Sasa huoni tangazo na bot kuyaunganisha kwa sheria?



 
Mbona kuna kijana huko Mtwara kaporwa million 70 na police kisha kauawa nae katumwa na Samia?
Ni TRA au ni polisi wachache Wahuni? Mmoja wa hao polisi ni yule alikuwa kwenye kikundi cha wauaji kilichoratibiwa na Makinda na Sabaya..

Saizi wako ndani,enzi za Giza wangeporwa na hakuna media ingeripoti tungeishia kuona vifurushi vya maiti baharini.Majambazi wakubwa nyie.
 
Ni TRA au ni polisi wachache Wahuni? Mmoja wa hao polisi ni yule alikuwa kwenye kikundi cha wauaji kilichoratibiwa na Makinda na Sabaya..

Saizi wako ndani,enzi za Giza wangeporwa na hakuna media ingeripoti tungeishia kuona vifurushi vya maiti baharini.Majambazi wakubwa nyie.
Majambazi ni wanaohalalisha watumishi wa umma watafune mali za walalahoi kwa kauli ya kuleni kwa urefu wa kamba zenu na hata hicho kikundi cha police kilichoiba milioni 70 na kuua kulikua kinatekeleza maagizo ya mama yako.
 
Ujaelewa unacho ulizwa umeambiwa mchina akijua unao uwezo wa kumlipa awezi kukukopesha mpaka agunduwe hauta weza kumlipa kwa sababu mchina anatamani ukimkopa ushindwe kumlipa ili achukue hatua yenye kuinufaisha china mara5 zaidi ya manufaa ambayo angeyapata kama ungeweza kumlipa ,
Umeandika kinafiki sana
 
Back
Top Bottom