The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Lini rushwa iliwahi Isha? Si afadhari rushwa kuliko kupora? Ukitakiwa kulipa faini mil.3,,ukalipa mil.1 afu ukawapa laki 5 TRA kuna shida gani hapo?Hivi unafahamu hii ''Task force'' ya sasa hivi inatengeneza mazingira ya rushwa?
Huoni bila hivyo pesa yote ingepotea na hiyo rushwa ndio inawamotovate wana taskforce kupiga Kazi..
Mwendazake alianzisha mahakama ya mafisadi Kuna fisadi Hata 1 uliwahi kumuaona kizimbani? 😃😃😃😃..
Aliioshia kusingizia kesi wale maadui zake na kunegotiate walipe pesa,kwamba alihalalisha kununua haki kwa wenye pesa 😝😝



naona mama anazidi kuji
