Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndo nashangaa na mimi wakati alitamka mwenyewe kuwa ''Task force'' sio nzuri na haifai.
Task force ya zamani ilikuwa inabambikia watu Kodi za miaka ya nyuma,task force ya Sasa inakulima faini kwa mda huo na haihusishi majambazi kama kina Sabaya,makonda na wengine..

Lipa Kodi kwa hiari kabla ya kukumbana na rungu hakuna visingizio vya sijui alisema and suck nonsense..Tii sheria bila shuruti.
 
Task force ya zamani ilikuwa inabambikia watu Kodi za miaka ya nyuma,task force ya Sasa inakulima faini kwa mda huo na haihusishi majambazi kama kina Sabaya,makonda na wengine..

Lipa Kodi kwa hiari kabla ya kukumbana na rungu hakuna visingizio vya sijui alisema and suck nonsense..Tii sheria bila shuruti.
Kujaribu Kulainisha Jiwe liwe Kitumbua
Kazi kwelikweli
 
Task force ya zamani ilikuwa inabambikia watu Kodi za miaka ya nyuma,task force ya Sasa inakulima faini kwa mda huo na haihusishi majambazi kama kina Sabaya,makonda na wengine..

Lipa Kodi kwa hiari kabla ya kukumbana na rungu hakuna visingizio vya sijui alisema and suck nonsense..Tii sheria bila shuruti.

Mimi ni mlipa kodi na nalipa kodi vizuri tu.
Nachoshangaa ni ''Task force'' kurudi.
 
toptorn anadanganya. Sasa hivi uwezo wa Kenya kulipa mkopo wa SGR phase 2B Naivasha-Kisumu upo chini mno. Sasa hivi tumezongwa na madeni. Sasa mbona Mchina hajakimbia kutukopesha SGR phase 2B ikiwa anachosema Toptorn ni ukweli?
Yaani ngurue keshanasa kwenye mtego n then utege mtego mwingine wa nini tena
 
Si nyie ndo mlikuwa mnalalamika awamu ya 5 njia kama hiyo ikitumika kukusanya kodi?

Mbona hamueleweki!
Wewe acha ujinga, awamu ya 5 ilikuwa inatumia task force kubambikia watu Kodi za nyuma na kupora pesa..

Saizi Wana enforce kulipa Kodi kwa hiari kama hujalipa nyundo inakuhusu,kulipa Kodi ni sheria na lazima utimize wajibu..

Tangazo la hiyo kampeni liko toka mwezi July mwaka Jana implementation ndio imeanza saizi..

Tunataka pesa nyingi saizi hakuna kisingizio,the economy is doing well.
 
Wewe acha ujinga, awamu ya 5 ilikuwa inatumia task force kubambikia watu Kodi za nyuma na kupora pesa..

Saizi Wana enforce kulipa Kodi kwa hiari kama hujalipa nyundo inakuhusu,kulipa Kodi ni sheria na lazima utimize wajibu..

Tangazo la hiyo kampeni liko toka mwezi July mwaka Jana implementation ndio imeanza saizi..

Tunataka pesa nyingi saizi hakuna kisingizio,the economy is doing well.

Hivi unafahamu hii ''Task force'' ya sasa hivi inatengeneza mazingira ya rushwa?
 
Back
Top Bottom