Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


🤣🤣🤣🤣 Nini cha 100 million hapo?

Hivi hiyo library inalingana na hii ikulu ya 98 million KES?

Yaani Wakunya kuanzia viongozi wenu mpaka wananchi wa kawaida wote majizi na waongo

Linganisha hicho choo cha 100 million KES na hii Ikulu ya 98 million KES (2 Billion Tsh)

images (42).jpeg


images (41).jpeg
 
🤣🤣🤣🤣 Nini cha 100 million hapo?

Hivi hiyo library inalingana na hii ikulu ya 98 million KES?

Yaani Wakunya kuanzia viongozi wenu mpaka wananchi wa kawaida wote majizi na waongo

Linganisha hicho choo cha 100 million KES na hii Ikulu ya 98 million KES (2 Billion Tsh)

View attachment 2106156

View attachment 2106157
Note hii ikulu ina 2 basement floors
 
Kama siyo kifo cha GREAT JPM HADI SASA 2022 TUNGEKUWA TUMEFIKA MAITAJI YA CEMENT MAKUBWA SANA MAANA JAMAA ALIKUWA ANA JENGA USIKU NA MCHANA VITU VYA KILA AINA VYUO MIJI MIPYA ,BUS TERMINAL, NEW BRIDGE ,VIWANJA VYA NDEGE ,VIWANJA VYA MPIRA ,NK
Kwahyo sahv hakuna ujenzi kisa jpm hayupo?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom