Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

lorry limekunjwa kunjwa body ovyo linabeba binaasamu aloo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
View attachment 2106538
don't shoot the messenger #nofilter
zanzibar.jpg
 
Unataka kujua idadi ya Madaraja yanayotengenezwa Tanzania kwasasa.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Don't dare, utakimbia humu.. ikija kwenye suala la madaraja wachukueni Uganda fungueni battle mshindane
Huyo bwege tangu waanze project ya daraja pale Mombasa basi kelele ni nyingii!
 
Mkuu miradi iliyojadiliwa siku za nyuma ni Kigamboni bridge ikaja BRT mbona wakati huo JPM hakua Rais.Engine ya ujenzi TZ alikua mfugale ila kama hakuna waliojifunza vizuri toka kwa mfugale tutapata shida hasa kwenye bridge.Tz ilikuwepo na itaendelea kuwepo
Africa nzima sasa inaijadili Tz, Magufuli huyu Mungu amuweke mahala pema peponi, amsamehe dhambi zake zote za kibinadamu.
 
Mkuu miradi iliyojadiliwa siku za nyuma ni Kigamboni bridge ikaja BRT mbona wakati huo JPM hakua Rais.Engine ya ujenzi TZ alikua mfugale ila kama hakuna waliojifunza vizuri toka kwa mfugale tutapata shida hasa kwenye bridge.Tz ilikuwepo na itaendelea kuwepo
Kitu ambacho hujui ni kwamba Magufuli wkt wote huo alikuwa Boss wa Mfugale.
 
Mkuu miradi iliyojadiliwa siku za nyuma ni Kigamboni bridge ikaja BRT mbona wakati huo JPM hakua Rais.Engine ya ujenzi TZ alikua mfugale ila kama hakuna waliojifunza vizuri toka kwa mfugale tutapata shida hasa kwenye bridge.Tz ilikuwepo na itaendelea kuwepo
Unasema Mfugale sababu ni kabila lako? Punguza ukabila.
 
Back
Top Bottom