Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Majambazi ni wanaohalalisha watumishi wa umma watafune mali za walalahoi kwa kauli ya kuleni kwa urefu wa kamba zenu na hata hicho kikundi cha police kilichoiba milioni 70 na kuua kulikua kinatekeleza maagizo ya mama yako.
Wewe ni mjinga,ulitaka ule kulingana na urefu wa kamba ya nani? Kama kamba yako ni salary kwa nini uvuke mipaka? Usilazimishe tafsiri yako unayoipenda.

Ujambazi wenu ulivuka mipaka,sisi tunakuza uchumi 👇





Screenshot_20220203-152536.png


Screenshot_20220203-152207.png


Screenshot_20220203-152323.png
 
Express way cost 72.5 billion Kenya shillings Tanzanite cost 12.68 billion Kenya shillings so the express way cost can build 5 tanzanite bridges in Nairobi
to cost 72.5b shs hio pesa nani katoa 🤣🤣 au hujui hio ni ya mchina na project ni yamchina na mmiliki ni mchina kwa miaka 30 na hakuna mkenya atapita bila fee kwenda kwa mchina 😂😂😂😂 unafananisha range na vits
 
Hakuna construction board. Expressway does not existView attachment 2106148
uhehehheheh mm bahat nzuri nishakujua wewe nani ile id yako nyingine mbona hutumii sasa 🤣🤣🤣🤣👇👇👇
to cost 72.5b shs hio pesa nani katoa 🤣🤣 au hujui hio ni ya mchina na project ni yamchina na mmiliki ni mchina kwa miaka 30 na hakuna mkenya atapita bila fee kwenda kwa mchina 😂😂😂😂 unafananisha range na vits
 
Kwenda huko ,angefanya hivyo sabaya asingekuwa kortini saizi wala makonda asingekuwa anashitakiwa..

Mwendazake alikuwa mporaji na mbambikia watu kesi Ili awapore pesa.Task force ya Sasa inatoa elimu na kufuatilia wakwepa Kodi..[/QUOTENamwona singasinga yupo huru
 
Back
Top Bottom