Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Makasiriko pelekea nyanya yako[emoji23][emoji23][emoji23]by kenyans swaahiliWakati kenya inajenga huo uwanja, watz walikua stone age
Makasiriko pelekea nyanya yako[emoji23][emoji23][emoji23]by kenyans swaahiliWakati kenya inajenga huo uwanja, watz walikua stone age
hio ndio faida ya loan na ndio faida ya mchina kwao 😂😂😂😂karne hii watu wanajengewa likitu lina ma-pillar tu!
Kwa niaba ya Wakenya nasema nimetii [emoji119][emoji119][emoji119]
Sisi ndiyo the giant of East and Central Africa.
Hakuna cha two wala four river, check hii [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji116][emoji116][emoji116]
Wakati Mwl akikomboa Mataifa mengine, Kenyatta snr alikuwa akila mtura na kulamba tanyee za wa Magharibi! Ona rewards za good deeds sasa na msipate wivu..!hakuna siku kenya na tanganyika watawahi kuwa marafiki.... hio ilianza kitambo enza za nyerere na j.kenyatta!.
mi ntaomba rais wenye atafunga border ya kenya/tanzania. infact at sometime tz wanted to withdraw from EAC... i just wish ingefanyika ivo
Goli lingine hili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakati Mwl akikomboa Mataifa mengine, Kenyatta snr alikuwa akila mtura na kulamba tanyee za wa Magharibi! Ona rewards sasa na msipate wivu..!
Ww ndio unaonyesha jinsi gani nyie niwajinga, tunawalisha fukara nyie , hakuna utali wamana mtafanya bila Tz, ndio mana mlitaka kutumia pazia la EAC kuingiz watali Tz(mlima kilimaajaro na serenget) tukawapiga chini, mnakusanyan kuja kutafuta kazi tz,leo unaongea km umetoka choo cha kibera eti huoni impact yetu kwenu[emoji23][emoji23][emoji23]you knw these tanzanians wanajiona nikama wao wako very special, na ukichunguza ninini hasa kinawafanya wamee kiburi, unakuta hakuna hata. kama ni vyakula vyao,. tuna nunua.. hatupokei msaada wowote toka kwao!. we can as well buy from uganda virtually everything tz produce. hii majivuno yao yote nadhani magaful kawa pumbaza. mara wanapiga auction ngombe zetu zote na kuwauwa vifaranga elfu6. uhuru kenyatta has been very lenient with these pple, inge pata moi sasa ama jomo kenyatta. infact we don't need them, it's them who needs us. cheki wasanii wao, break yao ya kwanza baada ya release a single ni kenya! hizi hela zetu dollar kwao ndo maana wamerundika kamkunji constituency na ombaomba kwenye streets zetu in their Numbers..... to hell with these crub [emoji2961][emoji2961] View attachment 2104460
Maneno mengi ya nini leta MFV ya Kenya tuione mkuu.infact nilikua hapo hapo new yearView attachment 2104075
dredging si solution, kunaweza kutokea reverse flow na salt water kuja Jangwani!naombeni kueleweshwa.. hapo tayar si kuna bridge?[emoji3]
kilichotakiwa kufanywa ni kudeepen huo mto hapo kwenye daraja kuelekea baharin na kuprotect kingo zake ili maji yapite katikat vizur
anyway wakijenga hilo jingine hilo la saiz linabomolewa au litabaki litumike kipindi hamna mvua?
au mwenye picha ya hilo daraja jipya apost pengine nitaelewa
mwenye hii asset kafa na wealth of $200 mln saahii kitu kinagoma kuuzika!