Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hakuna siku kenya na tanganyika watawahi kuwa marafiki.... hio ilianza kitambo enza za nyerere na j.kenyatta!.
mi ntaomba rais wenye atafunga border ya kenya/tanzania. infact at sometime tz wanted to withdraw from EAC... i just wish ingefanyika ivo
dah we jamaa leo nakuambia tena kwa mara ya pili Akili yko ni ndogo mnoo..
 
then why is kasarani always ranked highly than mkapa stadium, by ioc and fifa.!??.. because kenya will always remain a superpower in this eastern block!
Kasarani hipi hii juzi ilifungiwa kwa pitch kukosa viwango kuchezesha mechi za qualifiers!
 
Nairobi

1643743936061.png
 
Uwanja wa Kasarani haufiki capacity ya 50000 ukiwekwa viti! Na uwanja una ma-ramp ya kishamba kama ya JKIA! Yaani ni ukurutu kila kona! Juu kitu kina paa la mabati rollings likiwa limeshikiliwa na hundreds of steel poles!
Wakati kenya inajenga huo uwanja, watz walikua stone age
 
why do some Kenyans want to play kind with these nincompoops......
you knw these tanzanians wanajiona nikama wao wako very special... na ukichunguza ninini hasa kinawafanya kumea kiburi, unakuta hakuna hata.! kama ni vyakula zao,. tuna nunua.. hatupokei msaada wowote toka kwao!. we can as well buy from uganda virtualy almost everything tz produce. hii majivuno yao yote nadhani magaful kawa pumbaza. mara wanapiga auction ngombe zetu zote elfu moja, mara wanawauwa vifaranga zetu elfu6. think uhuru kenyatta has been very lenient with these pple, inge pata moi sasa ama jomo kenyatta. hope raila hatakua kama uhuru kwa hawa watu. infact we don't even need them, it's them who needs us more. cheki wasanii wao, brake yao ya kwanza baada ya release a single ni kenya! hizi hela zetu dollar kwao ndo maana wamerundika kamkunji constituency in their numbers.. na pia ombaomba zao kwenye streets zetu..... to hell with these crub 🤮🤮 i hate their ego. hate me luv me
20220101_193326.jpg
 
then why is kasarani always ranked highly than mkapa stadium, by ioc and fifa.!??.. because kenya will always remain a superpower in this eastern block!
Izo ranking zitakuwa zinafanywa na wakunya ...simnajijua kwa kufurce ujinga....nyie hata haipaswi kuongea juu ya viwanja vya mpira mana mko na uchafuu
 
Back
Top Bottom