chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,313
- 45,115
Why not kunyaland?
staki render ama proposals mzee
. leta vitu tangible

, they are here and I can tag them 
infact nilikua hapo hapo new yearLete hapa ya maintenance and repair tena nakurahisishia usilete kituko cha MGR bali lete ya SGR kabisa tucheke kidogo humu ndani.
Hampigi kelele wakati haipiti siku bila kupost hii expressway? It's impressive by the way.sasa 100m nnn?. hii ina stretch 27km nonstop na hatupigi mayowe View attachment 2104032
Hapa ulidhamiria kuonyesha nini? 😂😂infact nilikua hapo hapo new yearView attachment 2104075
Bahati mbaya haupo eneo la Mradi ndio hujui hata unachoongeaBRT phase 2 ilitakiwa kuwa tayari mwaka jana hakuna kiongozi anaye sukuma huu mradi ,sasa hivi huu mwaka tulitakiwa tuwe tuna anza phase 3 na 4 kwampigo ,wakenya watafungua brt yao sisi bado tunatafuta uchifu mafii
Wanajisumbua na upumbavu wao damu ya magufuli inawaita ndiyo maana daraja la tanzanite wamejaza picha za kikwete na samia kila kona na mwinyi ,hayo yote ni kutapatapa kwa damu waliyo mwaga dhidi ya maslai ya taifa
Hujui kitu mkuu.Kikwete ndie alieforce Magu amchukue ssh. Ndio maana ssh anaharibu kwakua anajua sio chaguo la Magu
kituo cha repair and maintenance ama?Hapa ulidhamiria kuonyesha nini? 😂😂
We kweli umepotea kabisa daraja reli ndio unaleta wakati kwenye SGR ya TZ kitu kimeenda almost 6 kilometa.Station Hadi vingungutiNyie mkipata km hili kutakalika kweli
View attachment 2104025
kwanza leo nimekupata atimaye gameover. nimekutegea sana urejee kwenye hichi kikao.Wazee wa shoddy works
Hahaha!!mbona umekasirika mzee, hilo bado sana hapaWe kweli umepotea kabisa daraja reli ndio unaleta wakati kwenye SGR ya TZ kitu kimeenda almost 6 kilometa.Station Hadi vingunguti
Tazama hii
View attachment 2104121
Hii Bay link Road tayari inaanza ku-take shape. What’s left is the widening of Mwai Kibaki Rd ( a section of it will also have BRT lanes), and the construction of an undersea tunnel to connect Barack Obama Dr with Kigamboni.
View attachment 2104137
Kwhyo km ni cable stayed ndio liwe la kawaida hvo aisee..Kwanza apo kunya kuna hata cable bridge?Wachana na chuki za kijinga, kwaiyo ilo bridge ww unalionaje?