The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,536
Hee kwahiyo cku hz inasafirisha Wakenya pekee?
MY TAKE
kelele nyingi huku KQ ikienda mswaki, saahii inasafirisha monkeys!![]()
Hee kwahiyo cku hz inasafirisha Wakenya pekee?
MY TAKE
kelele nyingi huku KQ ikienda mswaki, saahii inasafirisha monkeys!![]()
Ila kumepaukaaa.Airport North Rd (Eastern Bypass) InterchangeView attachment 2102717View attachment 2102718View attachment 2102719
Hizi picha zimepigwa katika angle moja lkn moja road markings zinaonekana nyingine kama kawaida yake, Kenya is the father of unmarked roads in the WorldAirport North Rd (Eastern Bypass) InterchangeView attachment 2102717View attachment 2102718View attachment 2102719





heri aliye na baiskeli shida yule wa kalesakwani huoni hizo structure zenu ni za kijuakali? mabarabara yenyu yamepindapinda!
Muda achana na data za ajabu just use common sense mzeeView attachment 2102402
View attachment 2102403
Danganyikas ni walala hoi msee
Stori za njaa enda kabishane na Sudan
Upumbavu wa karne huu, ndiyo nn ssHivi hivi vitimbi ni wapi duniani vinatokea zaidi ya Tanzania ya leo ya kiwendawazimu?
Hapa kuna mazingira kweli ya kufundishia na kujifunzia au hii ni clinic?
View attachment 2102763View attachment 2102764
![]()


































Aiseee ila nyie jamaa akili zenu duuuWako very desperate to attract American tourists baada ya kuona America ndio number one source for tourist in Kenya na wengi hawafiki bongo.
Kaka i beg to differ mzee...elimu inasaidia sana kwenye development..unataka tuongeze Poverty rate kisa tu hujawaruhusu kurudi shule.....ninachotaka wawe na special school zao wasiwe mixed na wengne ambao sio wazazi .Upumbavu wa karne huu, ndiyo nn ss![]()
Muheshi usitusahau after mambo zote hizo..I am logging off from JF for a very long time., it has been fun being here, nimejifunza Kiswahili sana humu, guess have improved tremendously in comparison to when I joined JF, ahsante sana watanzania kwa hilo. My countrymen keep on debating in a positive way, post positives with undeniable facts. I wish you all success, may Tanzania grow to become a force not only in Africa but in the World, may Kenya ascend even higher and create more opportunities for prosperity and success for all and be a role model in Africa. May both countries succeed in alleviating poverty, corruption and bad governance. May EAC become the King of Africa soonest! We are both in the right track I can tell, miundo mbinu inanyooshwa pole pole, it is just a few structural adjustments here and there; socially, politically and economically and then we are good to go. God bless Africa. Goodbye y'all.
Just to add, to those have hurt by my aggression, forgive me, ni debate, nothing serious, much love.![]()
![]()




hungoji kuona FID EACOP ikisainiwa maana wewe na wenzio mlikuwa mkibisha humu!I am logging off from JF for a very long time., it has been fun being here, nimejifunza Kiswahili sana humu, guess have improved tremendously in comparison to when I joined JF, ahsante sana watanzania kwa hilo. My countrymen keep on debating in a positive way, post positives with undeniable facts. I wish you all success, may Tanzania grow to become a force not only in Africa but in the World, may Kenya ascend even higher and create more opportunities for prosperity and success for all and be a role model in Africa. May both countries succeed in alleviating poverty, corruption and bad governance. May EAC become the King of Africa soonest! We are both in the right track I can tell, miundo mbinu inanyooshwa pole pole, it is just a few structural adjustments here and there; socially, politically and economically and then we are good to go. God bless Africa. Goodbye y'all.
Just to add, to those have hurt by my aggression, forgive me, ni debate, nothing serious, much love. 🤞 🙏


kwani imetengenezwa kutumia karatasi?Hivi tena mmenza lini kununua vitu sura mbovu, lkn siwezi shutuka kw sababu tz treni zote sura mbovuhio reli umeona ni SGRau MGR kweny ni SGR alaf unichukie bure tu
Mikweche ndio yao
Na save hii comment for future..haya oneni sasasource nairobi wire yani jamaa wanatengeza habari za kuichafua tanzania sijui kwa faida ya nani
Mkuu katafte vyetu mkuu hata British school, utalalamika hadi lini na gamba hunaaNdio maana ni wachache kwa sababu Dunia haipendi watu wapumbavu kama Mwendazake bali watu wanaotumia akili..
Mkuu kuna kasumba imesambazwa kwamba waliojifungua wamekatazwa kusoma, hiyo sio kweli kabisa, ni kwamba wanaweza kusoma private schools au akawa mtahiniwa wa kujitegemea, lengo ni kutowamix na watoto wadogo kama hapo walivyofanya.Kaka i beg to differ mzee...elimu inasaidia sana kwenye development..unataka tuongeze Poverty rate kisa tu hujawaruhusu kurudi shule.....ninachotaka wawe na special school zao wasiwe mixed na wengne ambao sio wazazi .
Cable car ndiyo mbaya kwa vijana local, hao vijana wataendelea na kazi za kupandisha na kushusha watalii ,tusiwe vipofu wa kutokuona mbali kwa sababu ya hofu ya ajira ,maana kama kwa kufanya hivyo navyo sema watalii wataongezeka mara 4 ya wanaokuja wewe huoni tutakuwa tumetengeneza ajira zaidi,maana sijui watu wanaopanda huo mlima wanakwenda toilet wapi?wakiwa huko juu kuhusu hotel siyo za gorofa ni ni vijumba vya kitalii na open restaurantMmmhh Hotel mlimani ??? Tuache hiv hiv asee ndio poa kwanza inasaidia vijana local sanaaa kiuchumi..
Hata hiyo cable car wasiweke na ka wanaweka inatakiwa iwe ghali sana ili matajiri wavivu ndio watumie hizo car kwa bei kali na majority waendelee na upandaji kawaida
Hayo ni matunda ya mjambiani mpumbavuu .Hivi hivi vitimbi ni wapi duniani vinatokea zaidi ya Tanzania ya leo ya kiwendawazimu?
Hapa kuna mazingira kweli ya kufundishia na kujifunzia au hii ni clinic?
View attachment 2102763View attachment 2102764
![]()
Leo komora kwa furaha uliyonayo lazima utakesha humu ila hiyo siyo sgr tutakayo nunua kwanza itakuja sgr ya umeme ya majaribio hiyo inaweza kuwa na sura mbaya siyo tatizo ila tutaleta za ukweli wewe subiri tuNa save hii comment for future..
Yani nakuchapa nayo vibaya