The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Watu wanakariri maisha.Watanzania ndio wapumbavu, kwn mkiambiwa waliozaa warudi shule ndio wawe hvo...
Tukiwaambie nyie nchi nzima matahira huaga mnakataa, sasa hzo ni akili gani
Influential kitu gani wacha zero brains zipungue, wewe pia ukisepa itapendeza ☺️sad that Don u are leaving this house. u've been a very influential figure
Ni kukariri tu na kutaka kumfurahisha Rais, watendaji wengi wa serikali ni incompetent kama anavyosemaga LwivaUpo mfumo wa elimu miaka yote unaitwa Mpango wa Elimu Kwa Watu Wazima (MEMKWA) na ni mfumo Rasmi kwenye shule za serikali, wanakua na madara yao lakini mtihani ni uleule, sasa nashangaa hiki kituko cha wapi! Yaani ni kuiharibu elimu yetu moja kwa moja, saivi watabeba mimba mno sababu wanajua watarudi tu darasa lilelile
Wanafunzi watasoma, watasikiliza kelele za vichanga darasani?
Hivi hivi vitimbi ni wapi duniani vinatokea zaidi ya Tanzania ya leo ya kiwendawazimu?
Hapa kuna mazingira kweli ya kufundishia na kujifunzia au hii ni clinic?
View attachment 2102763View attachment 2102764
![]()




Rais mwenyewe ndio anataka hivi ili aonekane mkombozi wa wajawazito kumbe ndio kuiharibu elimu moja kwa mojaNi kukariri tu na kutaka kumfurahisha Rais, watendaji wengi wa serikali ni incompetent kama anavyosemaga Lwiva
Kumepauka vinoma.Ukitaka kuumiza mtanzania just post this road and then wait for bitter responses from them. To put matters straight, this is the fourth 3-level interchange in Nairobi. Dar only has one
View attachment 2103119
View attachment 2103120
View attachment 2103122
Does that prevent Nairobi from being 50 times better than Dar is slum?😂😂Kumepauka vinoma.
Wewe mwehu nini. .....usitutukanie raisi wetu. Kama anakukera tafuta taifa jingine lakuhamia. ....mxmIla Samia hatuna Rais pale, *****
Ndio ujue nini tunamaanisha tukisema hatuamini kila kinachoandikwa (articles), Waandishi wenu hawana research za kutosha kuhusu Tz wao wanaamua kuji position juu ya Tz tu 😂😂, ni Waandishi takatakaSasa ikiwa ni kweli mwandishi anadanganya mbona afanye hivyo? Nia yake ni gani?
ku left group isiwe issue mzazi. ku left tuta left tu skumoja, tuwaache nyie watanganyika mbambane na hali yenu. jf was actualy ment for tzs, to discuss issues affecting their country, and not kenya in particular. so isiwe issueInfluential kitu gani wacha zero brains zipungue, wewe pia ukisepa itapendeza ☺️
Hiyo siyo SgrThe battle is very tough from down south. TRC new trains Vs BJ 50 Cars from Laikipia
View attachment 2103127
Vs
View attachment 2103128
Kwa akili yako hiyo ni treni ya umeme subiri mwezi wa Nne uone mapinduzi ya usafiri wa reli afrika mashariki na Kati.The battle is very tough from down south. TRC new trains Vs BJ 50 Cars from Laikipia
View attachment 2103127
Vs
View attachment 2103128
Mbona mnakuanga wajinga hivi? Tangu lini train ikawa SGR?🤣🤣🤣Hiyo siyo Sgr
Mbona mnaniletea hasira, kwani mimi ndio niliagiza hiyo takataka?🤣🤣Kwa akili yako hiyo ni treni ya umeme subiri mwezi wa Nne uone mapinduzi ya usafiri wa reli afrika mashariki na Kati.