Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii case vipi hii? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Anatafuna mishahara ya Wakunya kumbe roho na nafsi vipo Mogadishu home 😂😂😂😂

View attachment 2101962

View attachment 2101963

View attachment 2101964
FB_IMG_1636968632050.jpg

Hivi si ndo huyu mwanamke aliyekatikati?
 
Signs of a dying economy

View attachment 2102032
Sasa itokee wapigane hiyo August
Signs of a dying economy

View attachment 2102032
Sasa itokee hiyo August wapigane watajichukia! huku njaa huku Machafuko huku Al Shabaab!
 


😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
At least one of you has a brain. To foreigners who want to see animals it's heaven but to the local burukenges it's a hellhole

hellhole kuliko huko Kunyaland kwenye njaa?
 
Nyie sema huwa mnapenda kuongozwa kidikteta. Mkiongozwa kiupolepole mnamchukia huyo kiongozi. Mnapenda watu kama Nyerere au Magufuli kwa sababu hawakuwa wanapenda upinzani na walikuwa wakali mno. Mnawachukia JK na mama huyu kwa sababu ni wapole na wastaarabu ambao hawapendi fujo na sinema. Nyie huwa mnapenda mtu anayewapiga ngumi na mateke ili mhisi kwamba mna kiongozi shujaa. Magufuli alikuwa amewasoma saikolojia yenu vizuri sana. Alijua asipowapiga mangumi na mateke, mtaanza kulalamika kwamba rais hajui kufanya kazi yake.
Sio tunaoenda,ni wale washenzi wa Mwendazake wamewekwa pembeni wanalia Lia tuu,achana nao hao mbuzi..

Ujue walijiaminisha kwamba mwendazake ni mfano wote wanatakiwa kufuata kumbe alikuwa mwehu walikuwa wanafunika Kombe mwanaharamu apite..

Mwambie hadi saizi kuna kitu gani cha maana mwendazake alifanya na kukamilisha kwa miaka 6 yote, nothing lakini kwa Samia ndani mwaka mmja mengi keshafanya.

Na hivi ni Mzanzibar na pia mwanamke tena muislam, baadhi ya Sukuma gang hawamkubali ila majority tuko na mama.
 
Chengdu wako vizuri sana...yaweza Kua ndio Chicago ya China...ila kuna vitu unajua utapata states usivipate china...state itabaki Kua state mkuu,ukipata fursa ya kwenda state ndio utaona tofauti...Chedgu nmesalute wako moto nao sio mchezo
Mkuu cjafika marekan lakin china noma sana hasa kwenye upande wa barabara marekan akasome
 
Viongozi wanaolinda rasilimali zetu unawaitaje madikteta? Sisi tunataka asiyecheka katika masuala ya rushwa na anayelinda rasilimali zetu. Unafikiri ni kwa nini Afrika tunaongoza kwa umasikini wakati tunaongoza kwa rasilimali? Ni kwa sababu tumekosa viongozi wazalendo kama Magufuli na Nyerere. Fikiria Afrika nzima tungelikua na maraisi kama Magufuli angalau kwa miaka ishirini tuu hivi sasa tungekua wapi? Umasikini tulionao Afrika ni sababu ya uroho wa viongozi ndugu yangu na kukosa akili.
Ndio maana ni wachache kwa sababu Dunia haipendi watu wapumbavu kama Mwendazake bali watu wanaotumia akili..
 
Juu ja huo mlima wajenge japo hotel 4 zenye restaurant ili watalii na watz wapate pakufikia na kupumzika japo siku mbili ,ubunifu ni muhimu sana ili watalii wakija tz wakute mambo ni mengi ya kutalii siyo mtalii anakuja na kuondoka kamaliza kila kitu ndani ya week 1 tu,ili watalii wakija mara moja watamani kurudi tena na tena
Uharibifu wa nature,hakuna mtu atafanya huu ujinga wako.
 
View attachment 2102392
Hivi si ndo huyu mwanamke aliyekatikati?
Mama wa kisomali huyo lakini ni mbunge kunyaland, katundika picture ya Rais wake wa moyoni na bendera yake officeni, wakunya wakamnyang'anya ulinzi, hapo naona kaorder snipers from home, KDF mavi chupini 😂😂😂😂😂😂

2022-1-31_1-35-11.PNG
 
Back
Top Bottom