Washapoteza imani nae kwa ishu gani? Not on economy bali kwa kuwa ni mwanamke na ni Mzanzibar,watu wa Bara hasa wafuasi wa marehemu ndio Wana chuki na sababu ni kwa vile ameamua kuwa opposite na staili ya Mwendazake ya uongozi na wengine kawatoa..
Keshawaweka pembeni kwenye madaraka na wengine wako mahakamani.
Otherwise kwenye metrics za Uchumi amesha mu outshine Mwendazake kwa mda mfupi Sana.
Lini uliwahi kuona Economy inakua kwa 5% kwa miaka yote ya Mwendazake? Ndio maana walipoona Hali mbaya wakaanzisha propaganda kali na sheria za kufuatilia watu mitandaoni na sheria za Takwimu Ili kuficha madudu,wakawa wanapika Takwimu..
Lakini saizi kila mradi unaenda,imagine mama anajenga vituo vya afya 202 at once wakati miaka yote Sita Mwendazake alijenga less than 100..
Ministry zote unazozijua wewe,Samia ka double budget,etc..Kwa mda mfupi tumeshawashikisha adabu nyie Wakenya,tuna trade surplus,kumbuka with Mwendazake ilikuwa ni migogoro daily..
Kwani wewe huoni Takwimu humu tunavyowakimbiza? 😄😆
View attachment 2100077
View attachment 2100079
View attachment 2100080