Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That is During Peak time and it's like that in every corner of the World, Nenda Asia, Europe etc Hadi subway za wazungu watu Wanajaa na wengine husimama, I can't imagine a peak time ride in Matatu [emoji23][emoji23][emoji23]
In matatu hakuna excess passengers, that was banned during Kibaki's regime.., yenu sio kama Europe., shida sio kusimama, ni kusukumana na kufinyana kama kondoo kwa Lorry in peak hours 😂 😂 😂 😂
 
Boost for our tourism and business

Screenshot_20220128-082009.png
 
Kuna watu walikuwa wanatupiga pesa kwa mgongo wa uzalendo, haiwezekani mapato yaongeseke overnight kiasi hiki kutoka mil.500 to 2bln.

Hao ndio Wanauliza eti Rais Samia anatoa wapi pesa,zinatoka huku👇

Screenshot_20220128-082747.png


Screenshot_20220128-082842.png
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii ni sawa na 240k tz shillings, kwa mshahara huu, huwezi ishi DSM utakufa [emoji23][emoji23][emoji23]..si bora ile report inayosema 60% of kenyan civil servants receive about 30k them salaries monthly.. hii umejitia kidole kabisa.. uku bongo hakuna civil servants wanalipwa hiyo pesa brathee. Mwalimu wa shule ya msingi hapa bongo ndio civil servant anaelipwa mshahara mdogo kabisa hapa bongo, kwa mwalimu anaenza kazi mshahara ni kati ya 389,283 hadi 811,114 Tz sh.. uko kwenu muhame nyie watu mtakufa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuletee the lowest earning person wa tz mzee acha upuuzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hyo 12k hku ni basic salary ya the lowest earning person, we unaleta za walimu..hko utawezana kweli...

Enhee sasa leta data hapa na mm nikuletee za walimu hku kwetu km hukukimbia mbio...
Ushaingia kumi na nane sasa

Yani the lowest earning person kenya anakaribia mshara wa mwalimu tz, nimecheka sana[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Back
Top Bottom