Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha
IMG_9586.jpg

IMG_7310.jpg
 
I hope the next president will be like Uhuru in his second term. The next President akianza term yake na speed yenye Uhuru saa hii anaendesha nayo nchi then I`m sure we will be far by 2025.
do you realy think we are on track as far as vision2030 is concern, or we are lagging behind or we are ahead of schedule, your take please
 
Washajua hawawezipita Kenya on a level playground so they are praying that Al Shabaab should attack Kenya very hard, drought should hit kenya for at least five years non-stop and finally, Kenya should have a civil war and that`s why they are heavily banking on our August election hoping that there will be a serious conflict😂😂
If they didn't succeed in 2007-2008 and magufuli's error am telling you it won't be possible
 
Washapoteza imani nae kwa ishu gani? Not on economy bali kwa kuwa ni mwanamke na ni Mzanzibar,watu wa Bara hasa wafuasi wa marehemu ndio Wana chuki na sababu ni kwa vile ameamua kuwa opposite na staili ya Mwendazake ya uongozi na wengine kawatoa..

Keshawaweka pembeni kwenye madaraka na wengine wako mahakamani.

Otherwise kwenye metrics za Uchumi amesha mu outshine Mwendazake kwa mda mfupi Sana.

Lini uliwahi kuona Economy inakua kwa 5% kwa miaka yote ya Mwendazake? Ndio maana walipoona Hali mbaya wakaanzisha propaganda kali na sheria za kufuatilia watu mitandaoni na sheria za Takwimu Ili kuficha madudu,wakawa wanapika Takwimu..

Lakini saizi kila mradi unaenda,imagine mama anajenga vituo vya afya 202 at once wakati miaka yote Sita Mwendazake alijenga less than 100..

Ministry zote unazozijua wewe,Samia ka double budget,etc..Kwa mda mfupi tumeshawashikisha adabu nyie Wakenya,tuna trade surplus,kumbuka with Mwendazake ilikuwa ni migogoro daily..

Kwani wewe huoni Takwimu humu tunavyowakimbiza? 😄😆

View attachment 2100077

View attachment 2100079

View attachment 2100080
Kaka bangi mbaya.
Miradi gani ambayo mama kaianzisha na inaenda?
Miradi ya kukatika umeme kila uchwao?
Au miradi ipi?
Miradi ya marehemu pekeake inazoroteshwa.
Yani katika kipindi Tanzania imekua na serikali mbovu ni kipindi cha awamu ya sita.
 
Kaka bangi mbaya.
Miradi gani ambayo mama kaianzisha na inaenda?
Miradi ya kukatika umeme kila uchwao?
Au miradi ipi?
Miradi ya marehemu pekeake inazoroteshwa.
Yani katika kipindi Tanzania imekua na serikali mbovu ni kipindi cha awamu ya sita.
Wewe utakuwa ni mwehu kabisaa, siwezi hata kujisumbua ku list hapa jukwaani na statistics kila siku zinatolewa humu jukwaani..

Tayari keshasaizi mradi mpya wa reli.Unasema miradi imezoroteshwa ipi hiyo?

Nakuuliza swali dogo tuu,mwaka huu kuna mtoto wa maskini hata mmja kashindwa kwenda shule Kisa madarasa hayapo au hakuna dawati?

Kilicho tofauti saizi ni mapambio na propaganda..Mwezi February katikati PM anakuja mkoani kwetu kuzindua barabara mpya za lami tumezijenga mwaka huu kwa pesa za tozo sijui wewe unaongea nini..

Punguza kungalia porno zinapunguza uwezo wako wa ku reason

Screenshot_20220129-225521.png


Screenshot_20220128-082942.png


Screenshot_20220129-231540.png


Screenshot_20220129-231604.png


Screenshot_20220129-231423.png


Screenshot_20220129-231247.png


Screenshot_20220129-231048.png
 
Back
Top Bottom