Hapa hakuna hope. Ni kujipa tu matumaini posipo na matumaini. Na vile naona mnamrushia maneno makali mama Samia humu ndani! Wengi wenu washapoteza imani nayeHilo gap limeongezeka.zaidi miaka 6 iliyopita,tumepoteza kwenye economy Sana.
Ila naamini kwa mwendo tunaoenda sasa ,tutapunguza hilo gap ndani ya miaka ya Samia.
We kigamboni umefika?Sasa kati yangu na wewe nani mbishi. Mimi natumia picha kudhibitisha madai yangu wewe unatumia maneno umetoa akilini. Kojoa ulale nanii!
Let's cross our fingers. Naona wenzetu wanatuombea sana tuwe na civil strive after elections but God will not grant them their wishI hope the next president will be like Uhuru in his second term. The next President akianza term yake na speed yenye Uhuru saa hii anaendesha nayo nchi then I`m sure we will be far by 2025.
Hawatafungua, wewe huoni tangu 2015 hadi saa hii 2022 hakuna any encouraging progress.
Huo uchumi wenyewe hauna tija kwa wananchi kiasi karne hii mnapewa misaada ya chakula.Yani in just 17 years tushawapiga gepu la kufa mtu. Na ile wimbo wa "tutaipiku Kenya" ndio inazidi kunoga! Nakuambia wenzetu wako na mtihani kweli kweli
Huenda tunapokea misaada ya chakula but we don't have 28 million people living in extreme poverty. That's almost half your populationHuo uchumi wenyewe hauna tija kwa wananchi kiasi karne hii mnapewa misaada ya chakula.
Washapoteza imani nae kwa ishu gani? Not on economy bali kwa kuwa ni mwanamke na ni Mzanzibar,watu wa Bara hasa wafuasi wa marehemu ndio Wana chuki na sababu ni kwa vile ameamua kuwa opposite na staili ya Mwendazake ya uongozi na wengine kawatoa..Hapa hakuna hope. Ni kujipa tu matumaini posipo na matumaini. Na vile naona mnamrushia maneno makali mama Samia humu ndani! Wengi wenu washapoteza imani naye
the mikakati nation is always forever planning.......they are still planning their economy 🤣🤣🤣🤣🤣naomba mentalityUkweli ni kuwa wameshindwa kuingia huko🤣🤣
Maskin wa Tanzania anaishi vizuri kuliko wa Kenya.Huenda tunapokea misaada ya chakula but we don't have 28 million people living in extreme poverty. That's almost half your population
And the gap kept on widening amid COVID economic turmoil very interestingAnd the gap keeps on widening. In 2021 Kenya is at $106B and Tanzania is still stuck at $64B
.
.. hii ni fursa kubwa sana kwa wafanyabiashara kutajirikaThey always copy what Kenya does, they can`t make their own decision.
Aisee!Apartments deprive people of privacy and shouldn't be found in secluded neighbourhoods, where privacy is of utmost importance to residents. That's my point. And that's why Karen was named one of the leading residential areas in the world
hapana nicxie, we never 'pokea' but rather we 'purchase' frm whichever country that can fix our needs, even as far as mexico coz we have the financial muscle, we have the economyHuenda tunapokea misaada ya chakula but we don't have 28 million people living in extreme poverty. That's almost half your population