Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Umewahi kupanda BRT wewe.? Si unaishia kuziona kwenye picha tu kama hivi.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Crazy
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Umewahi kupanda BRT wewe.? Si unaishia kuziona kwenye picha tu kama hivi.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Crazy

Nikajua hii video ni wewe ndio umepanda, kumbe unapost videos za watu waliopanda .? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.. umewahi kupanda BRT wewe.?
 
Baada ya maisha yake Dar na Tanzania.., na pia alijionea BRT na kuitumia.,.,


Jamaa akatoa conclusion na kumaliza ubishi..., beberu na baba levo sio watu wazuri Sama boy 255
 
ni dar πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 2096105
sasa TZ oneni...barabara safwiii kabisa lakini hela za kununua magari hamna...ndio maana akina yahye imewabidi waitumie bara bara kwa miguu...Reimnds of our politicians who used to promise us ...ntawajengea bara bara muwe mkivuka....or ntawajengea daraja hahafu tuchimbe mto chini yake.....
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Umewahi kupanda BRT wewe.? Si unaishia kuziona kwenye picha tu kama hivi.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Crazy

And that shows how busy those buses are, ulikua unaleta story za efficiency kwa hizo buses na upuuzi wenu sijui comuter rail, usjie ukapima kabisa kijana, stay on your lane
 
And that shows how busy those buses are, ulikua unaleta story za efficiency kwa hizo buses na upuuzi wenu sijui comuter rail, usjie ukapima kabisa kijana, stay on your lane
Crazy bullshit BRT.., mnafinyana kama makondoo ndio cha kuambia watu humu, masaibu ya uchumi hafifu, mnajenga vitu vidogo ilhali mko wengi ona sasa kiatu kipya tayari kinawafinya πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
kwamba waliopo ndan sio expert?
View attachment 2095632

juzijuzi wizara hii walisainisha na kampuni ya kihindi deal la $30m na Tanesco

mambo ya escrow , dowans yanaanzaga hivhiv, wizara hiihii

kampuni ya nje inakuja kukushauri wew kweny resources zako wew mwenyewe?.. wakikushauri wew chukua 10% wengine wachukue 90% kwa sababu hii na hii.. utakataa? wakat wew ndo umewatafuta!
Hii sijaelewa, kwani sisi hatuwezi kudiscuss na kunegotiate hiyo mikataba wenyewe?
 
Crazy bullshit BRT.., mnafinyana kama makondoo ndio cha kuambia watu humu, masaibu ya uchumi hafifu, mnajenga vitu vidogo ilhali mko wengi ona sasa kiatu kipya tayari kinawafinya πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Uzuri ni kwamba dadaako kutoka kenya aishafika na kujioΓ±ea pitia hapa πŸ‘‡.
 

Jambojet diversifies into cargo, eyes share of regional market​

TUESDAY JANUARY 25 2022
jambo

Passengers board an airplane at Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) during the launch of Jambojet's direct flight to the Eastern DRC city of Goma on September 10, 2021. PHOTO | LUCY WANJIRU | NMG

Budget carrier Jambojet will start cargo operations next month after receiving regulatory approvals from the aviation regulator to fly goods on its passenger flights on both local and regional destinations.

The airline, a subsidiary of Kenya Airways (KQ) , said on Tuesday that cargo operations starting in the second week of February will target regional routes such as Goma in the Eastern Democratic Republic of Congo.

Jambojet, which has been in operations since April 2014, will also ferry cargo to its local markets that include Kisumu, Mombasa, Eldoret and Malindi.

It will use the Dash 8-Q400 type of aircraft that it is currently using to ferry passengers on its routes to transport cargo on its routes.

The flight type that can accommodate up to 78 passengers can carry up to 1.2 tonnes of cargo on a single trip.

β€œJambojet has received regulatory approvals from the Kenya Civil Aviation Authority (KCAA) to start ferrying cargo across local and regional markets where we operate and we are set to start next month,” said Jambojet managing director Karanja Ndegwa in an interview with Business Daily yesterday.

ALSO READ​


He said that cargo transported in the domestic market weighing 45 kilogrammes and above, 100 kilogrammess and above and 250 kilogrammes and above will cost $45 (Sh5, 109), $60 (Sh6,813) and $70 (Sh7, 948) respectively.

Cargo transported in the domestic market such as Mombasa that weighs less than 45 kilogrammes will attract a fee of $35 (Sh3,974).

Cargo from Nairobi to Goma that weigh less than 45 kilogrammes will attract a fee of $100 (Sh11,355).

Those measuring 45 kilogrammes and above, 100 kilogrammes and above, 250 kilogrammes and above, 500 kilogrammes and above and 1,000 kilogrammes and above will attract a fee of $2.30 (Sh261), $2.26 (Sh256), $ 2.10 (Sh238), $2.05 (Sh232) and $2 (Sh227) respectively.

β€œThe charges exclude third party charges which include handling and screening payable directly to the ground handling agents,” said Mr Ndegwa.

Jambojet currently has passenger operations in routes such as Mombasa, Kisumu, Eldoret, Lamu, Ukunda, Malindi and Nairobi.

The carrier flew 730,000 passengers last year out of a total target of 855,000 passengers. This was mainly in partnership with hoteliers and other tourism players in Coast that saw it offer low-cost tickets and packages to increase its market share.

It shelved plans to restart direct flights to Entebbe and Kigali last year due to strict Covid-19 containment measures, which have reduced demand on the route.

The airline plans to start cargo business on both local and regional routes barely a few months after it launched operations on the Goma route.

Jambojet started flying the route on September 10, becoming the first airline to directly connect the capital of North Kivu province and Nairobi.

The carrier said that passengers heading to Goma in the Eastern Democratic Republic of Congo will pay an average fare of Sh43,749 ($384.95) on a return ticket.

A one-way ticket will initially cost $190 (Sh21, 593) from Goma but $207 (Sh23,535) from Nairobi.

DRC market is currently served by the national carrier Congo Airways, which flies to eight domestic destinations, including Goma, Kinshasa and Lubumbashi.

The DRC route is becoming one of the favourite routes for carriers with airlines taking advantage of poor connectivity in that market.

Kenya, just like many other countries, is looking to leverage on the DRC market by diversifying its export destinations, particularly at a time the Covid-19 induced disruption has brought into focus the need for deeper inter-regional trade.

The airline is taking advantage of the huge opportunities the African market has to offer and the rising demand for air connectivity in the region.

β€œThere is a growing demand for air transport across the continent, with the International Air Transport Association projecting that Africa will become one of the fastest-growing aviation regions within the next 20 years, with an average annual expansion rate of almost five per cent. We, as Jambojet, are keen to be part of this growth,” said Jambojet in a past interview.
 
This is why we always call you dumb! After all the years you spent in school you still come here and talk about LEVELS of in English in EA.

Hivi when will you people grow up mentally. Hivi kuna mzungu yoyote ushawahi kumsikia akilallamika Tanzania hawajui kingereza?

Dumbass! !!
Yeah.. but at least they communicate fluent English unlike our brothers in TZ who will shock you to death if they open their mouths to speak English. Ugandans I know their accent sucks but their English is quite impressive.
 

Nakuru hotels fully booked ahead of June Safari Rally​

WEDNESDAY JANUARY 26 2022
rally

Ian Duncan finished second overall in Rover v8 car in the 2021 Safari Classic Rally. PHOTO | ANWAR SIDI | NMG

Hoteliers in Nakuru have started receiving bookings for the Safari Rally in June, as residents brace for increased business.

The county signed a pact last Sunday to keep the event in the World Rally Championship until 2026. This year it is scheduled between June 23 to 26.

Hylise Hotel General Manager, Geoffrey Mariga said they have already started receiving guests ahead of the global event.

"We have reservations from those involved in logistics ahead of the sport. As for the June event, our rooms are full to capacity," he revealed.

Mr Mariga also disclosed that they are having a busy calendar of events, especially from foreigners who have scheduled meetings in the lakeside town of Naivasha.

During last year’s event, hoteliers got a boost, with laid-off employees getting their jobs back.

ALSO READ​


β€œThis is the best news I have heard in years…we expected the global event to happen but the signing of the pact has cemented everything,” Nakuru Country Tourism Association (NCTA) Chairman, David Mwangi said.

Mr Mwangi said despite Covid-19 restrictions, the hospitality industry raked in billions of shillings during last year’s event.

β€œWith countries across the globe relaxing the pandemic limitations, we expect the Safari Rally event to be bigger and better. We are now well-equipped in terms of logistics and other hospitality protocols,” said the seasoned hotelier.

During the 2021 event, the number of foreign guests was capped at 10,000 and close to 100,000 local visitors.

Mr Mwangi expects a high number of international travellers which will translate to high accommodation and increased cash flow.

β€œWe have hoteliers who have put up modern tents to accommodate a high number of rally fans. Last year, we had people spending nights in their cars. We don’t want a repeat of the same,” assured the hospitality boss.

He described rally lovers β€œas heavy spenders” with some even hiring choppers to fly to the rallying zones, terming a boon for the hotel sector.

Mr Njuguna Kamau a former route marshal during the yesteryear events, war over the moon with the latest development.

He termed the latest development a blessing in disguise, citing the trickle-down event from the ordinary Kenyan in the streets of Naivasha to the 'big boys' of the town.

β€œLocal small businesses, restaurants, hawkers, fishmongers and even carwashing shops reaped big. I personally never missed eating fish every time I was in Naivasha for preparations,” said Mr Kamau.

He cited car washing service providers as among the biggest beneficiaries.
 
Uzuri ni kwamba dadaako kutoka kenya aishafika na kujioΓ±ea pitia hapa πŸ‘‡.

Nilichmbua kitambo, am a fan of African Tigress.., well after the visits alisema nini kwa hii πŸ‘‡ πŸ‘‡ clip? ila I don't use her views kwa vile ni mkenya, napenda maoni ya wageni kuliko wenyeji who might be blinded by patriotism..,
Licha ya hiyo BRT yenu anasema "Discover East Africa Most developed City".., pitia hapa pole pole usiwe na haraka..,
 
Crazy bullshit BRT.., mnafinyana kama makondoo ndio cha kuambia watu humu, masaibu ya uchumi hafifu, mnajenga vitu vidogo ilhali mko wengi ona sasa kiatu kipya tayari kinawafinya πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Ila hapa umetapika nyongo Bro πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, kinaitwa kipigo cha mbwa koko πŸ˜‚πŸ˜‚.. kumbe BRT inakuuma sana, mtapata na nyie usijali.. na ndio maana tunawashangaa inakuaje mnajenga vituo vya BRT vidogo kiasi hicho kwenye City yenye watu wengi kama NAIROBI.? Miji yenyewe ni hii ya kiafrika wanaopanda public buses ni wengi kuliko wenye wako na private cars, hii case siku mkikamilisha BRT yenu you must experience.. save hii comment ukifika 2026 when u go get your BRT system done utanikumbuka, and by that time population ya NAIROBI itakua about 6-7 million people..
 
Ila hapa umetapika nyongo Bro πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, kinaitwa kipigo cha mbwa koko πŸ˜‚πŸ˜‚.. kumbe BRT inakuuma sana, mtapata na nyie usijali.. na ndio maana tunawashangaa inakuaje mnajenga vituo vya BRT vidogo kiasi hicho kwenye City yenye watu wengi kama NAIROBI.? Miji yenyewe ni hii ya kiafrika wanaopanda public buses ni wengi kuliko wenye wako na private cars, hii case siku mkikamilisha BRT yenu you must experience.. save hii comment ukifika 2026 when u go get your BRT system done utanikumbuka, and by that time population ya NAIROBI itakua about 6-7 million people..
Asante kwa insha., Kiswahili kiko safi sana.., nakupa 8/10.., just a blub πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Nilichmbua kitambo, am a fan of African Tigress.., well after the visitis alisema nini kwa hii πŸ‘‡ πŸ‘‡ clip? ila I don't use her views kwa vile ni mkenya, napenda maoni ya wageni kuliko wenyeji who might be blinded by patriotism..,
Licha ya hiyo BRT yenu anasema "Discover East Africa Most developed City".., pitia hapa pole pole usiwe na haraka..,

Case mbona ni ya BRT tu bro πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ umeenda kukusanya kavideo kibao, vipi kaka unachanganyikiwa, baki kwenye mada husika
 
Back
Top Bottom