Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Njia ya BRT iko-reserved kati kati, pia BRT stations zitakuwa kati. Lakini pia BRT stations zitaunganishwa na stations za elevated metro rail. Kwenye hii picha ukiangalia kushoto Kwa Bagamoyo road kuna space wameacha na ndipo njia ya treni za mwendokasi ilipo. Then katikati ni BRT na stations zake.
View attachment 2098995


Hii illustration inaonyesha integration ya metro rail na BRT.
View attachment 2098997
Wao wanajenga expressway kwaajili ya watu matajiri sisi tunajenga kwaajili ya common people. Ifikapo 2050 Nairobi itakua on a traffic deadlock due to poor choices in infrastructure investment.
 
Wao wanajenga expressway kwaajili ya watu matajiri sisi tunajenga kwaajili ya common people. Ifikapo 2050 Nairobi itakua on a traffic deadlock due to poor choices in infrastructure investment.
Pia transport systems zetu zitakuwa environmentally friendly. Mabasi ya BRT yatatumia gesi asilia na treni za mwendokasi zitatumia umeme, sio kama za Nairobi zinazotumia diesel. Mass transit systems ziliimarishwa, that is idadi ya mabasi kuongwezwa na metro system kuwa operational, the need to use cars will be reduced na hivyo vehicle exhaust emissions zitapungua. As a result, air quality ya Dar itakuwa Poa.
 
Kijana wa degree mbona uko desperate hivi? We all know Nairobi expressway is still under construction. Unategemeaje iwe marked at that stage? Au akili ndio huna?
Hii ni expressway au sio
Screenshot_20220129-070215.jpg
 
Njia ya BRT iko-reserved kati kati, pia BRT stations zitakuwa kati. Lakini pia BRT stations zitaunganishwa na stations za elevated metro rail. Kwenye hii picha ukiangalia kushoto Kwa Bagamoyo road kuna space wameacha na ndipo njia ya treni za mwendokasi ilipo. Then katikati ni BRT na stations zake.
View attachment 2098995


Hii illustration inaonyesha integration ya metro rail na BRT.
View attachment 2098997
Hii ramani Ndio ya tanroad au wewe umeitoa wapi kama unayo masterplan nzima ebu tutumie tuicheki
 
azamtv in zimbabwe
Hii Safi sana. Na Bodi ya Utalii waliona mbali kuingia mkataba na Azam.

Azam wajitahidi kupenya pia upande wa Kaskazini na Magharibi mwa Afrika. Hapo tutakuwa tumeiweka Tanzania katika ramani ya Afrika. Na kujitahidi kuweka maudhui ya maana tu ya Kiafrika zaidi na kuitambulisha Tanzania, Mila, Tamaduni na Desturi zake Kwa nchi za Afrika. Haswa Lugha yetu adhimu ya Kiswahili.

Hili hata Serikali inaweza kumpigia chapuo mzee Bhakresa kufanikisha hili. Maana ni kazi kubwa inafanywa kupitia vyombo vya Habari. Mifano ipo kibao Kwa vyombo vya Habari vinavyochangia katika kuleta ushawishi katika maswala kadhaa.
 
Glass floor Bongo ipo sana tuu, Pale NHC House Samora

View attachment 2099004


Glass floor hii hapa

View attachment 2099005


Na tunachill hapa kupata view kali kama hizi.

View attachment 2099006

In fact glass floor ya Bongo ipo miaka karibia 20 kuliko hiyo yao ya juzi ya le Mac .maana hilo jengo ni la muda sana
Huwa nawaambia hakuna infrastructure yoyote ambayo ipo Nairobi ikakosa kuwepo Dar lkn kuna infrastructures kibao zipo Dar huwezi kukuta East and Central Africa, hawataki
 
Sikutaka kuchangia hii mada ila quotes zako zimenilazimu.
Mimi siyo mshabiki wa siasa na sizikubali siasa za bongo ila unapotaja viongozi huwezi sema mama samia ni kiongozi,shika adabu yako unakosea viongozi.
Unapokosea pakubwa ni kumfananisha huyo mama mbulula na Mheshimiwa Magufuli.
Magufuli alikua mtu aliyeweka nidhamu kazini,Magufuli ni mtu aliyeua social classes,Magufuli alikua ni mtu aliyeweka morali ktk kuchapa kazi,Magufuli ni mtu ambae aliangalia wananchi kwanza kuliko kingine,Magufuli ni kiongozi ambae alionesha mfano kuwa ukisema unatakiwa kutenda,Miradi mingi aliiweka ktk utekelezaji na ikawa inatekelezwa na inaenda kwa kasi.
Leo hii mama yenu mvaa ushungi ona anavyoizorotesha miradi,nidhamu ya kazi imeondoka kabisa ktk mashirika ya umma ya kiserikali,social class zimerudi,ukandamizwaji wa wanyonge hususan (wafanyabiashara wadogo wadogo)umerudi tena.
Nani ameuzorotesha uchumi kati ya Marehemu na Mama yenu mjambiani??
Embu kuweni na heshima msimfananishe Magufuli na vitu vya hovyo hovyo .
Well said mkuu👍
 
Pia transport systems zetu zitakuwa environmentally friendly. Mabasi ya BRT yatatumia gesi asilia na treni za mwendokasi zitatumia umeme, sio kama za Nairobi zinazotumia diesel. Mass transit systems ziliimarishwa, that is idadi ya mabasi kuongwezwa na metro system kuwa operational, the need to use cars will be reduced na hivyo vehicle exhaust emissions zitapungua. As a result, air quality ya Dar itakuwa Poa.
Wakunya oneni akili kubwa za Watz
 
Back
Top Bottom