Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
Mahn !A 30 years old man thinking like this 🤔Benefit how? kwani kuna benki gani ipo Kunyaland haipo Tanzania? Who told u tunataka mabenki ya Kikunya Tanzania!
How many of ur companies couldn`t survive the market?Mahn !A 30 years old man thinking like this 🤔
Anyway I'm not loosing anything either.
Chang'aa media plus confused authorities at their peak notch performance 🤣🤣🤣🤣
And they still dream of making their electric sgr a success 😂a country with 39% connectivity and to add salt to injury power rationing....poor souls
Tz dar es salaam ugali wenye mboga 3 mfano ugali + samaki + njegere + dagaa = tsh 1000 sawa sawa na kenya ksh 50Unaongelea purchasing power na bei ya maziwa, sukari, unga in Kenya is cheaper than TZ. Hakuna kitu unatuambia hapa, wenzako hapa tuliwaambia walete bei ya unga au sukari wakatoroka wote.
alafu utasikia hadithi za abunuasi eti Kenya haiwezijenga hata kilometre moja ya barabara bila mkopo!Uhuru is overworking
View attachment 2098730
Mama mwenyewe mgonjwa au nikuambie anaumwa nini? Kama ujaanza kubisha hapa kuwa siyo kweliUtajua hujui.
Kijana wa degree mbona uko desperate hivi? We all know Nairobi expressway is still under construction. Unategemeaje iwe marked at that stage? Au akili ndio huna?
He's as stupid as a TanzanianKijana wa degree mbona uko desperate hivi? We all know Nairobi expressway is still under construction. Unategemeaje iwe marked at that stage? Au akili ndio huna?
So unadhani hizo ndio metrics za kuangalia Purchasing Power. Bei ya chakula kwa vibanda na nauli ya daladala.🤣🤣🤣🤣 Sasa nime elewa mbona wengi wenu wanataka mfumo wenu wa elimu ubadilishwe. Na hakuna stat bongo ina rank juu ya Kenya kwa Purchasing Power, pengine kwa umbea tu.Tz dar es salaam ugali wenye mboga 3 mfano ugali + samaki + njegere + dagaa = tsh 1000 sawa sawa na kenya ksh 50
Nauli ya basi dar ni tsh 400 hadi tsh600 kwa umbali wowote dar 24km au zaidi sawa sawa na kenya ksh20 to ksh30 bei ya bia ni tsh1000 had tsh 2000 sawa na kenya ksh50 to ksh100
Haya taja hizo bei kenya tuone
Wewe ni mzima? 😆😆..cha ajabu nini kuwa mgonjwa? Yule mahiri wa push ups kumkejeli Lowasa yuko wapi?Mama mwenyewe mganjwa au nikuambie anaumwa nini? Kama ujaanza kubisha hapa kuwa siyo kweli
Walipewa Rites ya India back then, wakaiua reli kabisa, JPM kaifufua kujenga SGR juu na mapato ya TRC yamekua maradufu, hii serikali ya kifisadi inayoongozwa na wendawazimu haitaki kuona hivyo.
naona munajazana ujinga 😂😂😂😂 tanzania ya leo inawanyima usingiziAnd they still dream of making their electric sgr a success 😂