Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunampa kutokana na ukubwa wa GDP yetu on the ground considering the vastness of our country and state of rural roads Toyota Land Cruiser Vx ni best option that comes with comfy and reliability
So in short you just confirming to us that rural roads in Tanzania are in deplorable state? Continue giving them those fuel-guezzlers waendelee kuchafua nazo vumbi vijijini as the poor rural folk choke in the resulting air pollution ocassioned by poor roads
 
Stop embarrassing yourself.So you want all the planes to be at the airbrigde at the same time🤔
modern airports hazina ramps unataka more evidence?

OT international airport
Ekurhuleni_Aerotropolis.jpg


Hata JNIA Terminal II hamna
dar-es-salaam-airport-useful-information.jpg



jnia-front.jpg
 
So unadhani hizo ndio metrics za kuangalia Purchasing Power. Bei ya chakula kwa vibanda na nauli ya daladala. Sasa nime elewa mbona wengi wenu wanataka mfumo wenu wa elimu ubadilishwe. Na hakuna stat bongo ina rank juu ya Kenya kwa Purchasing Power, pengine kwa umbea tu.
Umeme, maji, nimengi tu na kubwa kuliko yote ni LAND.... ARDHI BEI CHINI SANA hapa dar ardhi Square meter 400 unapata hadi kwa Tsh1,500,000 =Ksh75,000
 
Umesahau social classes za Sukumagang sio? kupewa miradi ya taasisi za kitaifa kuifanya level ya Halmashauri kinyume na sheria za nchi? Umesahau watu waliporwa fedha na sukumagang na hat hazikuingizwa serikalini, ule si ujambazi? Dotto James atueleze fedha za Bureau de Change zilizofungwa zilienda wapi? Mbona hamna records?
Sijasema Magufuli hakuwa na makosa.
Halafu acha urongo hakukuwa na social classes kipindi cha Magufuli.Wasukuma na wazaramo walipewa haki sawa,habari za unanijua mm nani kisa una pesa km kipindi cha Kikwete zilikufa.Km masuala ya nepotism kwenye siasa kwa kiasi nakubali Magufuli alikua nayo.
Angalia vitu alivyofanya Magufuli na anayoyafanya mama utaelewa,km unaijua political science na polieconomics utaelewa kuwa mama yenu anaharibu kila uchwao.
Kaja na madai serikali haina pesa ndio maana miradi inazorota akaamua kupandisha tozo.Swali kipind cha Magufuli miradi ilikua inaenda kwa kasi na toka afe Magufuli ni mwaka tu hizo pesa serikalini hamna kvp??
Tuje ktk suala la umeme,hivi Tanzania kwa wiki inaweza salia bila umeme kukatwa??
Mbona kipindi cha Magufuli umeme ulikua sufficient?
Magufuli alikua anawezaje mama anashindwaje??
Halafu hiyo miradi kinyume na sharia naomba unitajie mkuu.
 
Sijasema Magufuli hakuwa na makosa.
Halafu acha urongo hakukuwa na social classes kipindi cha Magufuli.Wasukuma na wazaramo walipewa haki sawa,habari za unanijua mm nani kisa una pesa km kipindi cha Kikwete zilikufa.Km masuala ya nepotism kwenye siasa kwa kiasi nakubali Magufuli alikua nayo.
Angalia vitu alivyofanya Magufuli na anayoyafanya mama utaelewa,km unaijua political science na polieconomics utaelewa kuwa mama yenu anaharibu kila uchwao.
Kaja na madai serikali haina pesa ndio maana miradi inazorota akaamua kupandisha tozo.Swali kipind cha Magufuli miradi ilikua inaenda kwa kasi na toka afe Magufuli ni mwaka tu hizo pesa serikalini hamna kvp??
Tuje ktk suala la umeme,hivi Tanzania kwa wiki inaweza salia bila umeme kukatwa??
Mbona kipindi cha Magufuli umeme ulikua sufficient?
Magufuli alikua anawezaje mama anashindwaje??
Halafu hiyo miradi kinyume na sharia naomba unitajie mkuu.
Aawapii Wasukuma walikuwa juu ya wengine angalia nominations! Huwezi tambua kwavile inawezekana nawe ni ngosha! Wee acha bwana kuna watu wamenyanyaswa kinoma kisa itikadi! Huo utakatifu unajaribu kumpa mwendazake hakuwa nao! Funika kombe mwanaharamu apite!
 
niliwaambia mtanganyika wa kawaida, hatawezana na bei za kenya, sa, egypt, uae etc.. heri tu wabaki kwao, huku ndiko watapata afueni
Ndiyo maana hatuji kwenu gharama za maisha ni kubwa sana dar maji ya chupa take away lita moja na nusu tsh500 sawa na ksh25
Ardhi dar kwa viwanja vilivyo pimwa na vina hati ni tsh1,500,000 sawa na ksh75,000 chenye ukubwa wa Square meter 400.
Umeme Tsh10000 sawa na ksh500 unapata unit 28 za umeme .
* gharama za kuunganisha umeme kwenye nyumba ni tsh26,000 sawa na ksh1,300
Sasa tuambieni hizo gharama kenya
 
Aawapii Wasukuma walikuwa juu ya wengine angalia nominations! Huwezi tambua kwavile inawezekana nawe ni ngosha! Wee acha bwana kuna watu wamenyanyaswa kinoma kisa itikadi! Huo utakatifu unajaribu kumpa mwendzake hakuwa nao! Funika kombe mwanaharamu apite!
Bro mie siyo msukuma 😂😂😂😂😂😂😂😂.
Walionyanyasika huwenda ktk masuala ya uongozi ndio maana kaka nikasema nepotism Marehem alikua nayo.
Ila ktk jamii sikuona mizani ikipunjwa kisa ukabila.
YOTE YA YOTE KAKAANGU HAKUNA ALIYE MSAFI 100% NA HAKUNA ALIYE MBAYA 100%.
ILA KUMFANANISHA MAREHEMU NA SAMIA DAH UNAKOSEA MKUU.
 
Bro mie siyo msukuma 😂😂😂😂😂😂😂😂.
Walionyanyasika huwenda ktk masuala ya uongozi ndio maana kaka nikasema nepotism Marehem alikua nayo.
Ila ktk jamii sikuona mizani ikipunjwa kisa ukabila.
YOTE YA YOTE KAKAANGU HAKUNA ALIYE MSAFI 100% NA HAKUNA ALIYE MBAYA 100%.
ILA KUMFANANISHA MAREHEMU NA SAMIA DAH UNAKOSEA MKUU.
wafanyabiashara kibao sio watu wa uongozi tena wa Kaskazini wamenyang´anywa fedha zao kwa kesi za kuzusha hawajapelekwa mahakamani wala hawajatozwa faini ila account zilifungwa fedha zikaporwa na zisiingizwe serikalini! Kama si siasa zenye ukabila hiyo ni nini? JPM alikuwa mkabila tena mwenye roho ya kwanini ukweli usemwe bila kupepesa! Saahii wanahangaika kudai fedha zao! Plse nyamaza mzee utanifanya niongee mengi niwaudhi wenzio wanaomwabudu! Taifa bila haki ni majanga pia!
 
Njia ya BRT iko-reserved kati kati, pia BRT stations zitakuwa kati. Lakini pia BRT stations zitaunganishwa na stations za elevated metro rail. Kwenye hii picha ukiangalia kushoto Kwa Bagamoyo road kuna space wameacha na ndipo njia ya treni za mwendokasi ilipo. Then katikati ni BRT na stations zake.
View attachment 2098995


Hii illustration inaonyesha integration ya metro rail na BRT.
View attachment 2098997
hapo sawa

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Aawapii Wasukuma walikuwa juu ya wengine angalia nominations! Huwezi tambua kwavile inawezekana nawe ni ngosha! Wee acha bwana kuna watu wamenyanyaswa kinoma kisa itikadi! Huo utakatifu unajaribu kumpa mwendazake hakuwa nao! Funika kombe mwanaharamu apite!
Tunaangalia uchapa kazi siyo kabila,tafuta hotuba za nyerere alisema hatakama mtu atakuwa kabila gani kinacho takiwa ni uwezo wa kiuongozi
 
wafanyabiashara kibao sio watu wa uongozi tena wa Kaskazini wamenyang´anywa fedha zao kwa kesi za kuzusha hawajapelekwa mahakamani wala hawajatozwa faini ila account zilifungwa fedha zikaporwa na zisiingizwe serikalini! Kama si siasa zenye ukabila hiyo ni nini? JPM alikuwa mkabila tena mwenye roho ya kwanini ukweli usemwe bila kupepesa! Saahii wanahangaika kudai fedha zao! Plse nyamaza mzee utanifanya niongee mengi niwaudhi wenzio wanaomwabudu! Taifa bila haki ni majanga pia!
Kwani ndugu umebishiwa!?
😂😂😂😂😂 umeelewa mie nimelenga nini!?
Sijakataa usemacho hata Trump baada ya uongozi wake ana kesi za lobbying zinamuandama.
HAKUNA ANAYEMUABUDU MAREHEM FUTA HUO UJINGA.
NARUDIA HAKUNA MWENYE MEMA YOT AU MABAYA YOTE.
ILA UNAKOSEA KUMFANANISHA MAREHEM NA SAMIA.
MKUU UKITULIZA KICHWA UTAELEWA NIMELENGA NN.
 
Back
Top Bottom